Lowassa Afunika Iringa

Lowassa Afunika Iringa

Afya Afya siukaijadili afya yako yani jitu ata kufanya total medical check up halijawahi ila kujadili afya za watu malofa km aya ndo huwa yanaomba msaada daily yakiugua.....Mabadiriko lazima hatuitaji MC sisi wala JOHN CENA ikulu.....

mbona unatoka povu tu, jibu swali.
 
Duh jangwani siku hizi kuna miti kama mafinga vile...mabadilikooo
 
point yako itaondoa UJINGA, MARADHI, UMASIKINI, UFISADI, MAISHA MAGUMU? ... CCM hamna cha kujivunia ...
 
Kurugenzi ya habari hamko makini kipindi hiki... mnazidiwa hata na updates za ACT wasaliti ... angalieni walivo toa updates vizuri kwenye mkutano wao wa leo... kwa hili makene tumahitaji crew itakayo kuwa inatupa updates on the spot na kwa uhakika kwenye kila mkutano wa raisi mtarajuwa.... nimecheki pia kwenye website ya chadema hamana chochote kuhusu kinacho endelea Iringa.... hii hapana makamanda....
.

Lowasa kaja na timu ya chadema Makene hana mamlaka tena ya kutoa habari za lowasa
 
Washinde kwa uongo huo wa picha?
Tulia dawa ikuingie vizuri
ccm na mdindiko.jpg
 
Mwenyekiti wa wachuma Mchicha Mafisadi CCM akiona hivi atasema picha zemeungwa ... Wananchi tayari wameamua kufanya mabadiliko... CCM na masalia yake hawaaminiki tena ..


Hivi sijui anapokimbilia kusema zimeungwa anakuwa amezichunguza mwenyewe kitaalamu au anakuwa amesomewa na wanaompa ahueni ya maiigizo
 
Back
Top Bottom