Lowassa adaiwa kutaka kuuawa!

Lowassa adaiwa kutaka kuuawa!

Edward Lowassa sio mgonjwa huyu mzee ana sumu mwilini wake mungu siku moja atawavua nguo waliomfanyia mambo hayo....mungu yuko nawe mzee wangu haki ni hapa hapa duniani
 
Wakuu heshima mbele, kwenye magazeti ya leo imefahamika kuwa Fredrick Lowassa mtoto mkubwa wa EL amereport kuwa UWT wana mpango wa kumuua baba yake kwa kile ambacho hakijawekwa bayana!

Kama ada wanajamvi kwa weledi, tunapenda kujua kimetokea nini ghafla hivyo au ni kujihami baada kushukiwa na kuwalisha sumu baadhi ya wapambanaji wa ufisadi?

Nawasilisha

Huyu mzee Mungu amsaidie ila hawezi kuficha tena, ana Parkinson disease. Asitake kumsingizia binadamu mwenzake labda ye mwenyewe maana zile brandy alizokuwa anakunywa ndo zime-accelerate PD symptoms. Anatakiwa apumzike kwa wingi na kwa mwendo huu muda si mrefu atajikuta katika wheelchair. Tuendelee kumwombea.
 
ndo maana naomba lowasa awe rais,ili wadanganyika wajionee wenyewe,jinsi watu wanavyojua kula nchi....
 
Huyu mzee Mungu amsaidie ila hawezi kuficha tena, ana Parkinson disease. Asitake kumsingizia binadamu mwenzake labda ye mwenyewe maana zile brandy alizokuwa anakunywa ndo zime-accelerate PD symptoms. Anatakiwa apumzike kwa wingi na kwa mwendo huu muda si mrefu atajikuta katika wheelchair. Tuendelee kumwombea.

laana ikuangukie wewe na kizazi chako chote...wewe sio binaadamu bali ni shetani
 
Anatafuta huruma za wabongo.... hiyo ni straregy tu kwa wenye akili tunajua, nani atamuua huko UWT wakati wapambe wake hapa kutwa wanatuaminisha usalama wa taifa wanamuunga mkono yeye?

lowasa ni popo la ajabu sana yeye alikuwa anatumia aliyekuwa usalama wa taifa Apson mwangoda kuwapa sumu mwakyembena mwandosya sababu ikiwa ni kuondoa list ya baba wa taifa leo hii anajifanya anaongopa
lowasa amekuwa akilipa mishahara ya pekee baadhi ya vibaraka wake walioko ndani ya usalama wa taifa ili kuvurunga mwendnendo wa nchi ,ni mpuuzi sana
anayoyafanya ni upuuzi mtupu,

 
laana ikuangukie wewe na kizazi chako chote...wewe sio binaadamu bali ni shetani

laana ipi
mungu anasema malipo ni duniani,wakati lowasa anawapa magojwa ya hajabu mwakyembe na mwandosya alizani yeye ni jiwe hawezi guswa lakini,
mungu alivyo shujaa akampa kiarusi cha maisha azunguke nacho dunia nzima ili aone faida ya kuwatesa wenzake,

 
Edward Lowassa sio mgonjwa huyu mzee ana sumu mwilini wake mungu siku moja atawavua nguo waliomfanyia mambo hayo....mungu yuko nawe mzee wangu haki ni hapa hapa duniani

kama mungu unaemtaja yupo na atatenda haki itakuwa ni shagwe kwa mwakyembe,unajua nyie mnaoishi kwa ajira za mitandaoni mnatia aibu kama haujui omba tukusaidie ili ujue kwanini anatetemeka hata kuongea hawezi na tukupe historia ya ugojwa wake ,ili usiwe msukule humu,

 
ndo maana naomba lowasa awe rais,ili wadanganyika wajionee wenyewe,jinsi watu wanavyojua kula nchi....

labda kwa nguvu za
1,KINEIJERIA,Nabii joshua
2,kakobe na gwajima
kwa pamoja hizo nguvu ndo zinaweza kufanya hata wenye nchi kuwa vipofu,

mkuu hayo maombi yako acha kabisa kama unalipenda taifa letu,

 
Hivi ugonjwa WA mtu utakusaidia nini ukimsema vibaya na kishabiki hivo ?nani kakwambia weye utakua mzima WA afya milele?
 
Kwiiiiiiiiiikwiiiiiiiiii hahahahhhaaaaaaaaaa Baraza la vichaa Chadema (Bavicha) on duty. Nani amuue aliyekwisha kufa? Mnafikiri Mbowe mjinga kuchagua hilo dudu?
 
lowasa ni popo la ajabu sana yeye alikuwa anatumia aliyekuwa usalama wa taifa Apson mwangoda kuwapa sumu mwakyembena mwandosya sababu ikiwa ni kuondoa list ya baba wa taifa leo hii anajifanya anaongopa
lowasa amekuwa akilipa mishahara ya pekee baadhi ya vibaraka wake walioko ndani ya usalama wa taifa ili kuvurunga mwendnendo wa nchi ,ni mpuuzi sana
anayoyafanya ni upuuzi mtupu,


Kama unayo nafasi ya kuyajua yote haya, basi na wewe ni UWT la sivyo huu ni umbea kama ulivyo umbea mwingine wowote.

Tiba
 
Back
Top Bottom