Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,496
- 17,372
Wakuu heshima mbele, kwenye magazeti ya leo imefahamika kuwa Fredrick Lowassa mtoto mkubwa wa EL amereport kuwa UWT wana mpango wa kumuua baba yake kwa kile ambacho hakijawekwa bayana!
Kama ada wanajamvi kwa weledi, tunapenda kujua kimetokea nini ghafla hivyo au ni kujihami baada kushukiwa na kuwalisha sumu baadhi ya wapambanaji wa ufisadi?
Nawasilisha
Kama ada wanajamvi kwa weledi, tunapenda kujua kimetokea nini ghafla hivyo au ni kujihami baada kushukiwa na kuwalisha sumu baadhi ya wapambanaji wa ufisadi?
Nawasilisha
Hii habari niliiona kwenye gazeti la DIRA toleo la jtano last week kama sijakosea. Ni kwamba Fredrick alikuwa na washkaj zake kule AR kwenye hotel ya Mount Meru (sina uhakika na hotel name) ila ilikuwa hotelini wanapata kilevi na mara akapita jamaa mmoja wa UWT Arusha ambaye maisha yake ya starehe yanategemea mfuko wa Fredrick (huwa anawekwa mjini na mtoto wa EL) kwa hiyo ni washkaj.
Kwa kuwa FL alishalewa akaanza kumkunja mshkaj kuwa anaandaa njama za kumuua mdingi wake (EL). Ilitokea zogo pale ikabidi jamaa wa UWT akimbilie kufungua file pale Arusha Central. Huku FL alitoweka na akazima simu zake zote kwa kuogopa hiyo issue kuwa kubwa na kutafutwa maana alijua EL hatafurahia hizo habari na ingembidi mwanae atoe ushahidi polisi kwa aliyoyasema.
Japo habari zinasema pale AR familia ya EL inaogopwa kama mafuriko ya jangwani na hakuna mtu wa kuwagusa na ndio maana FL hajatafutwa na polisi na hiyo issue haijasikika tena.