Lowassa adaiwa kutaka kuuawa!

Lowassa adaiwa kutaka kuuawa!

Jamani eeh yule Dictator wa kikwele,mzee wa double standard haaminik.i
kikwete sio dictator..., hata kama ana mapungufu kiasi gani, hili la udikteta sio fair kabisa!!!
 
"Polisi walitaka Fred aandike maelezo ambayo pia alitakiwa kuyatolea ufafanuzi ili jeshi liweze kutunza kumbukumbu dhidi ya tuhuma hizo na kuzifanyia kazi, lakini aligoma kabisa na alipobanwa aliangua kilio huku akidai kuwa ni pombe alizokunywa ndizo zilizosababisha amshambulie Mombo. Utetezi huo ulikubaliwa na polisi na kumtana kurejea kituoni hapo siku inayofuata."

Nimesema awali ni ulevi tu unamsumbua huyu hata hivyo Polisi wanatakiwa kuchukua hatua dhidi yake na kuhakikisha Afisa wa UWT anakuwa salama pia dhidi ya vitisho vya FEL.

hihi wewe unaweza kuamini kwamba haao polisi, tena wa asrusha wanaaminika kweli kwenda kuandika maelezo yako??? Mwakyembe na kupelekea ushahidi wote kuna nini kimetokea??

Siamini hii ila kama nikweli Fred will never andika maelezo ya hiyo issue polisi tena arusha... maana lazima watakua wameshaanza kukabiliana na huo mpango
 
kikwete sio dictator..., hata kama ana mapungufu kiasi gani, hili la udikteta sio fair kabisa!!!

NAAFIKI!

At the same time nataka kuongezea kuwa! Baba mdhaifu nyumbani, ambaye hadhubutu kufanya maamuzi magumu na muhimu kwa familia yake ... Atashindwa kupitia udhaifu wake ... Kusimamia na kumchukulia HATUA stahili mtoto mnyanyasaji kwa wenzake na hatimaye ..Huyo Bull .... ataishia kuwa Dictator baadaye mazingira yakimruhusu kwani kafugwa na kulelewa na BABA MDHAIFU anayefanya kila jambo ni mzaha wa kuchekeana na kuchekesha chekesha kwenye familia!

Bottom line; Style ya unogozi wa Kikwete uko mbioni kutenegeneza Ma dictator ambao hawajawahi kutotea tangu Taifa kupata Uhuru na vibaya zaidi ... Ma dictator hao wata MRUDI and totally compromise HIM ... If he wont CHANGE NOW!!!
 
Hizi naona ni propaganda za kisiasa na kujihami baada ya kuona yaliyotokea kwa wengine,
 
N VIZURI MTUPATIE DATA ACHENI umbea, hii ni forum ya great thinkers, au siku hizi imebadilika mwelekeo?
 
rudisheni hizo hela za watz mlizojilimbikizia
siyo kulalama ati wanataka kumuua mdingi wako,
mnatujaribu eeeh.
 
Kama walishindwa kumvua gamba, basi this is possible, ccm ina tofauti na mafioso?Mtandao si cartel?
 
El ndiye rais analindwa sana. Anayetaka kumuua hana siku nyingi. Huyo ni mwanaume wa shoka ameshanunua tz yote
 
El ndiye rais analindwa sana. Anayetaka kumuua hana siku nyingi. Huyo ni mwanaume wa shoka ameshanunua tz yote

what a poop attitude.... unauza wewe hadi akununue??
 
Hatutaki source za vijiweni bana. Wewe unatuletea habari ambayo chanzo chake ni KWENYE VILABU VYA ULABU! Acheni hizo jamani. Tuna mambo ya msingi sana ya ku-discuss kuhusiana na Taifa letu na siyo hizi porojo za kimbeya.
 
Hatutaki source za vijiweni bana. Wewe unatuletea habari ambayo chanzo chake ni KWENYE VILABU VYA ULABU! Acheni hizo jamani. Tuna mambo ya msingi sana ya ku-discuss kuhusiana na Taifa letu na siyo hizi porojo za kimbeya.

good point mkuu....

tatizo hapa ni source ya kilabuni ila anayekuwa quoted ndio issue:A S embarassed:
 
kumbe nae muoga walivyomlisha sumu mwakyembe hawakujua kuwa nao kuna wababe wao, wametishiwa kidogo wanaanza kutetemeka wanakimbilia kwenye vyombo vya habari. nitarudi baadae kidogo
 
El ndiye rais analindwa sana. Anayetaka kumuua hana siku nyingi. Huyo ni mwanaume wa shoka ameshanunua tz yote
Hajanunua Tz yote kama kakununua wewe wengine wengi bado hajatununua na hana uwezo wa kutununua
 
Shee! Mimi hapana nunuliwa ila iko mchagua mbunge wangu kwa kura yangu. Nashangaa hiyo watu inasema yataka kuua yeye, ingekuwa nawajua ningewapga sime kwan wataka ua mbunge na rais wetu mtarajiwa.
 
Back
Top Bottom