Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!

Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawala…..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!
 
Ndio nasikia leo
IMG_3778.jpeg
 
Sasa nimepata nguvu ya kukupa ushauri bibie nimechafukwa Mahondaw kitu cha wengi hakiliki nasii riziki . Teksi ni gari ila sio pekee yako unaipanda , kufungua box tupu sio heri, heri nikufungua zawadi yako pekee yako.

Nimekusanya point humu humu kwa wajibu post

Ila inakata sana kuwa na mwanaume mwenye wanawake wengi utavimba humu jf na kujikakamua kuwarusha roho watu kumbe unajichafua kuaibika huku moyon huna raha kabisa na huwezi kuwa na raha
 
uduguuuu kuna watu kesho wata amkia mloganzira, wallah nakuambiaaa hiviii.

Kiharusi cha ghaflaa unakijua wee?

Unajua hiyo ni kunyanyaswa kihisia na mtu anakuwa anajifariji kwa uongo maana mwanaume anakuwa manipulator,kutoka kwa hayo mahusiano mpaka ukae ujitafakari haswa uwe na msimamo,maana unakuwa unajizibia riziki yako kwa mtu wa kweli humu wako wanaume wazuri tu na wametulia
 
ila coca unajua kukera khaaa sema mnajuana nyiee,, maan nmeshangaa kuona unamsapoti shost ako kweny huu uzi wakat selfika2 ulikua unamchamba kuhus penzi lake siku mambo yakibadilika najua lazima umgeuke na kicheko juuu.

Coca alimuambia ukweli lakin ila aliaibika mi niliwaambia tu kuwa mnahangaika kuchamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom