Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Ila inakata sana kuwa na mwanaume mwenye wanawake wengi utavimba humu jf na kujikakamua kuwarusha roho watu kumbe unajichafua kuaibika huku moyon huna raha kabisa na huwezi kuwa na raha
Ni kweli inaonyesha jamaa ameshikiwa kisu kutoa hii post halafu mwisho wasiku hata hilo penzi hapewi usiku humu wanaume wa humu wanaringaga sana . Sana mie nimeacha kiherehere kila daily post zisizo za msingi. Nje wapo wengi tu hawaringi kama hawa wanajitambua sura ni matata hadi raha . Humu umkute anahiyo sura utalia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom