Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,415
Tuko tunakupenda kitambo tuNani anaonyesha kunipenda na nisijue flower?
🥺
Hebu niambie natakiwa nifungue vipi milango mrembo?
Tuko tunakupenda kitambo tuNani anaonyesha kunipenda na nisijue flower?
🥺
Hebu niambie natakiwa nifungue vipi milango mrembo?
Mmh inaonyesha unawaelewa🙌🙌🤣Coca alimuambia ukweli lakinila aliaibika mi niliwaambia tu kuwa mnahangaika kuchamba
![]()
Sasa mbona hujawahi kuniambia?Tuko tunakupenda kitambo tu
Coca alimuambia ukweli lakinila aliaibika mi niliwaambia tu kuwa mnahangaika kuchamba
![]()


yani ni anamsapoti kwa spidi ya 5G, huy binti sio mtu kwa kweli

yan kama sio yeye vile ambae alikua anatami hili penzii lipotee mazimaKipenzi mie ndio sijawahi kukuambia au ulinipa cha mbavu ?Sasa mbona hujawahi kuniambia?
Shosti nisaidie namba ya mganga wako
Jo... Umeanza lini uchawi?
Hizo za jokes hazina shida🤣Acha woga wewe. Mwenzako tupo mbioni kulianzisha na Joannah 🤣🤣, tutakuwa na episodes za kutosha.
Shimba ya Buyenze umeonekana huku🤣🤣🤣Daah! Hatari sana
Unaeza kujikuta umemnyima mchezo Watu8 akaamua kujivua gamba akajiita Shimba ya Buyenze akakupata 😂😂
Mie ndio maana naambia watu ukiamua kumkataa mtu humu basi wakatae wote tu manake unaweza kujikuta unazunguka bure tu
Wewe ni mkuda sana 🤣🤣🤣Hivi ID ya cute wife nayo ilikuwa ya miaka mingi e?
Ban ilikuwa ya muda mrefu sana?
Duh...Shosti nisaidie namba ya mganga wako
Mwenye picha yumo humu ?
Umenikumbusha mbali sana! Kuna picha moja waliitumia Watu wa TACAIDS inaonesha unaweza kuingiza kichwa chako katika mdomo wa mamba?Weee ndo unajua leo??!!! Namjua Smart na mambo yake yoooooteee yanii yooooote hata usiyoyajuaa mimi nayajuaa!
Anyways asante kwa muongozo mwaego😊!
Polee relaxx unywe maji mengi
Nazima na data sasa mrare unono!!
Peace and love ✌️✌️✌️✌️✌️!
Mahondaw wa Smart911
We si tume kubaliana lime Isha Hilo😄, just relax 🤗🤗Si ndo hapo sasa ndugu yangu🥺🥺
Unaweza Nila mbinu nini nifanye lakini mkuu wangu
liana na nani!We si tume kubaliana lime Isha Hilo😄, just relax 🤗🤗