Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Haya kuanzia leo nimeacha utani wa kisengee nasintokusumbua tena na nimefuta mazoea ya kibogaz nitakusahau kuwa na mtani humu kiki kwio unausupastaa upi ?? Wala hujulikani kwanza nimie ndio ninakutaniaga wadada wanakukimbiaga kazi kujitag na kuwatag wao kimya
Shida uni una uwaki mnooo, why uni mention naye???
👉Hi sio Mara ya kwanza ujue??, Last Time nime kuambia Acha kuni husisha na habari hizo- hauelewi tu.

Mi siko nae, Sija wahi, na sito wahi kuwa nae Kwenye mahusiano🙏🙏
 
Hahahaha...
Achana na hayo mambo, ningekua ni mtu wa kupiga au kupigana, ningekudunda siku ile...
Nina neno moja, wewe tayari ushangea maneno kama yote...

Baada ya hapo...
Ungeanzaje kunipiga vileee!!?🤭 🤠! Ile siku sitaki kukumbuka kabisa smart

"Here we are
Beat me Tonniah beat me
Si ulisema una hasira namimi nipige mpaka hasira zako ziishe"


😌😢😢😥!
 
Shida uni una uwaki mnooo, why uni mention naye???
👉Hi sio Mara ya kwanza ujue??, Last Time nime kuambia Acha kuni husisha na habari hizo- hauelewi tu.

Mi siko nae, Sija wahi, na sito wahi kuwa nae Kwenye mahusiano🙏🙏
Ndio unitukane mbona mimi unaniambia mengi sikutukani umesema wewe una best mwingine kuwa naye sio.mbaya iwe heri kwenu niache mie msenge niishi nilivyoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom