Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,068
- 95,661
Hlyaani uki guswa hauitaki interview ya kuji tambulisha🤣😄Haha. Kuranduka.. yan unakuwa kama mzima, afu kumbe sio mzima kwenye audience.
Hlyaani uki guswa hauitaki interview ya kuji tambulisha🤣😄Haha. Kuranduka.. yan unakuwa kama mzima, afu kumbe sio mzima kwenye audience.
HayaaSamahani dada Maua, ila kuanzia leo WiFi yako ni Nuzulati 💓💓
Siamini naweza kupata mwenza serious kupitia mitandao ya kijamii.Hata ikiwa kweli shida iko wapi?? Utamfanya shem ajitupe ajue hauko serious naye 😂😂😂
Mi nawajulia hali ndugu, jamaa na marafiki kwani kuna ubaya??![]()



nyie mie kesho nitaulizwa na neibazi, so kwa kuchekaa huku afu kwanguvuuu sasa.😂😂😂😏Nitakujibu kesho 🤣🤣🤣🤣🤣
Ila naona ss niende china tu🏃
Nahii avatar nilioweka babe akee kimimi huwa anailavuuu kinoumaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤭!!jamani nawee uwaite wake wenzio, muone bi mkubwa wenu akiwachachafyaaaaa, na anawarushaaa roho balaaa.
Au zamu yenu yaja, maana mume wenu heka heka anaziwezaaaa.
Huyu mahondaw anamuwekea cc, wee mnawekana avatars,
Wengine anawaahidi kuwapa ajira, wengine anawapeleka the Elements masakiii, mwingne anaenda nae ofisini na Gym.
Woiiiiiiiiih
🤣🤣🤣 leo leoNitaenda china.
Naomba nilale🤣🤣
Yaan leo JF iko winja winja,Ila jmn
Kuna siku jf kunakuwa kutamu
Kuna wakati kunaboa




Kafosi mambo Pemba 😂😂😂Uvumilivu Hana huyu atatoboa kwenye ndoa huyu
🤣😄😄😄😄, Uzi utapata tu😄🤣Halafu wala si kweli tunazinguana tu jukwaani mimi sisubutu kutoka na mtu humu,Wanao weza kama hao wana anzishiwa uzi wa kusifiwa 😁😁😁
Teeeenaaa!!! 🤣🤣🤣🤣jamani nawee uwaite wake wenzio, muone bi mkubwa wenu akiwachachafyaaaaa, na anawarushaaa roho balaaa.
Au zamu yenu yaja, maana mume wenu heka heka anaziwezaaaa.
Huyu mahondaw anamuwekea cc, wee mnawekana avatars,
Wengine anawaahidi kuwapa ajira, wengine anawapeleka the Elements masakiii, mwingne anaenda nae ofisini na Gym.
Woiiiiiiiiih
Sisi jeifu kuntu sikia yakhe id hii ni moja sijui nimapenziKafosi mambo Pemba 😂😂😂
Sitaki kuanzishiwa uzi 😁😁😁🤣😄😄😄😄, Uzi utapata tu😄🤣
😂😂😂😂Bi mdogooo huna bayaaa,![]()
Usipokuwa online tutakupataje mahi?? Si unajua mods hawachelewi kufuta uzi.!! Nipe maswali magumu matatu nikutunzie incase usipokuwa active nimpe




wee uduguu hebu muache bi mdogoo, mwenzakoo anawaza alifeli wapiiii? Yaan wapiii alikwamaaa hadi mume arudi njia kuu.Sisi wote watoto wa Mello lazima tujuliane hali, na ukichukulia wanawake 😂😂😂nyie mie kesho nitaulizwa na neibazi, so kwa kuchekaa huku afu kwanguvuuu sasa.