Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Nafukua makaratashi ya vibuti Intelligent businessman ulitoa post kwa Lovelovie kipenzi changu akakutema kisa una umbo kama la mangi 🤣🤣🤣🤣 kipara peh kama cha pimbi, unavaa vishati vya ajabu ajabu unatisha unahema hema na kuongea haraka na kuvaa miwani kama enzi za ko za milembe umetoka tu ukatangaza nia ndio maana ukakataliwa mwenzio aliogopa kama hujapona vizuri.
Oya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.
👉Mbona mna force mambo aisee, lini Nisha kutana nae???.

Sitaki mazoea ya ki mbwa, nitakuja ongea kitu muumie bogus kabisa.
Kila Saa Mimi, kwani Hakuna jf member wengine mpaka daily mimi tu?????

Sitakiiiiiii, na sihitajiiii ujinga wako, jf mi shabiki wa Nuzulati, Sasa Huyo ndugu yako was kazi gani!!!
 
Hizo sio shida zetu kabesaaaa 💕💕💕💕💕💕! Zilisemwa tukasema nikasema nikatuma screenshot kabisa akazipata tukatukanana sanana Smart911 tukarushiana maneno tukarushiana shit kama zote!

Here we go

Forever and always 💕💕💕💕💕💕💋💋💋
Hahahaha...
Achana na hayo mambo, ningekua ni mtu wa kupiga au kupigana, ningekudunda siku ile...
Nina neno moja, wewe tayari ushangea maneno kama yote...

Baada ya hapo...
 
Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!

Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawala…..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!
Asante mkuu.

#Ubuyu hauna chama.
 
Oya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.
Mbona mna force mambo aisee, lini Nisha kutana nae???.

Sitaki mazoea ya ki mbwa, nitakuja ongea kitu muumie bogus kabisa.
Kila Saa Mimi, kwani Hakuna jf member wengine mpaka daily mimi tu?????

Sitakiiiiiii, na sihitajiiii ujinga wako, jf mi shabiki wa Nuzulati, Sasa Huyo ndugu yako was kazi gani!!!
Kaka mambo
 
Oya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.
👉Mbona mna force mambo aisee, lini Nisha kutana nae???.

Sitaki mazoea ya ki mbwa, nitakuja ongea kitu muumie bogus kabisa.
Kila Saa Mimi, kwani Hakuna jf member wengine mpaka daily mimi tu?????

Sitakiiiiiii, na sihitajiiii ujinga wako, jf mi shabiki wa Nuzulati, Sasa Huyo ndugu yako was kazi gani!!!
Haya kuanzia leo nimeacha utani wa kisengee nasintokusumbua tena na nimefuta mazoea ya kibogaz nitakusahau kuwa na mtani humu kiki kwio unausupastaa upi ?? Wala hujulikani kwanza nimie ndio ninakutaniaga wadada wanakukimbiaga kazi kujitag na kuwatag wao kimya
 
Oya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.
👉Mbona mna force mambo aisee, lini Nisha kutana nae???.

Sitaki mazoea ya ki mbwa, nitakuja ongea kitu muumie bogus kabisa.
Kila Saa Mimi, kwani Hakuna jf member wengine mpaka daily mimi tu?????

Sitakiiiiiii, na sihitajiiii ujinga wako, jf mi shabiki wa Nuzulati, Sasa Huyo ndugu yako was kazi gani!!!
Nilitaka kuijibu hiyo comment ila nikajisemea ngoja mhusika asome 😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom