cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,131
Oya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.Nafukua makaratashi ya vibuti Intelligent businessman ulitoa post kwa Lovelovie kipenzi changu akakutema kisa una umbo kama la mangi 🤣🤣🤣🤣 kipara peh kama cha pimbi, unavaa vishati vya ajabu ajabu unatisha unahema hema na kuongea haraka na kuvaa miwani kama enzi za ko za milembe umetoka tu ukatangaza nia ndio maana ukakataliwa mwenzio aliogopa kama hujapona vizuri.
Ndio maana kuna ule msemo wa " usimalize maneno"Sasa wakuu zile hadithi za UTI na GONO sugu zikiambatana na ngwengwe kumbe inakuwaje!!
Ila wewe🤣🤣🤣Samare ni kuwa rais Yuko India makamu anasimamia nchi 😂😂😂muhimu nchi isikose kiongozi 😀😀
Hiyo sura pasono, ndo nzuri.Hapana my dear nilikuwa nauliza tu maana wanaume wa jf wanapenda wanawake warembo sana.so akına sura pasono kama sisi hapa kazi wi havu
Ila weweSamare ni kuwa rais Yuko India makamu anasimamia nchi 😂😂😂muhimu nchi isikose kiongozi 😀😀
Hahahaha...Hizo sio shida zetu kabesaaaa 💕💕💕💕💕💕! Zilisemwa tukasema nikasema nikatuma screenshot kabisa akazipata tukatukanana sanana Smart911 tukarushiana maneno tukarushiana shit kama zote!
Here we go
Forever and always 💕💕💕💕💕💕💋💋💋
Asante mkuu.Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!
Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawala…..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!
Kaka mamboOya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.
Mbona mna force mambo aisee, lini Nisha kutana nae???.
Sitaki mazoea ya ki mbwa, nitakuja ongea kitu muumie bogus kabisa.
Kila Saa Mimi, kwani Hakuna jf member wengine mpaka daily mimi tu?????
Sitakiiiiiii, na sihitajiiii ujinga wako, jf mi shabiki wa Nuzulati, Sasa Huyo ndugu yako was kazi gani!!!



HahahahahaHiyo sura pasono, ndo nzuri.
👉Maana Ina nipunguzia competition, chakoo😄😄
Haya kuanzia leo nimeacha utani wa kisengee nasintokusumbua tena na nimefuta mazoea ya kibogaz nitakusahau kuwa na mtani humu kiki kwio unausupastaa upi ?? Wala hujulikani kwanza nimie ndio ninakutaniaga wadada wanakukimbiaga kazi kujitag na kuwatag wao kimyaOya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.
👉Mbona mna force mambo aisee, lini Nisha kutana nae???.
Sitaki mazoea ya ki mbwa, nitakuja ongea kitu muumie bogus kabisa.
Kila Saa Mimi, kwani Hakuna jf member wengine mpaka daily mimi tu?????
Sitakiiiiiii, na sihitajiiii ujinga wako, jf mi shabiki wa Nuzulati, Sasa Huyo ndugu yako was kazi gani!!!
We nawe ulikuwa wapi🤣Elaborate please 😁😁
Na lips zote hizo.. Unakwama wapi chaks 😁Hilo ndilo swali kubwa ninalojiuliza siku ya leo😁
Nawe mbea tu😄😄, Ume Acha kuni letea railat.Kaka mambo![]()
Nilitaka kuijibu hiyo comment ila nikajisemea ngoja mhusika asome 😁😁Oya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.
👉Mbona mna force mambo aisee, lini Nisha kutana nae???.
Sitaki mazoea ya ki mbwa, nitakuja ongea kitu muumie bogus kabisa.
Kila Saa Mimi, kwani Hakuna jf member wengine mpaka daily mimi tu?????
Sitakiiiiiii, na sihitajiiii ujinga wako, jf mi shabiki wa Nuzulati, Sasa Huyo ndugu yako was kazi gani!!!
Hizo nyuzi zilikuwa 2,zilifungwaAlichokisema Lamomy kipo kwenye uzi gani na mie nikapitie nyuzi za zamani?