Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,060
- 95,610
Afu we shabiki wa kassim zevda tulia😄🤣Sitaki kuanzishiwa uzi 😁�
Afu we shabiki wa kassim zevda tulia😄🤣Sitaki kuanzishiwa uzi 😁�
Namtunzia maswali yake si unajua Nchi ipo kwenye mgao 😂😂😂wee uduguu hebu muache bi mdogoo, mwenzakoo anawaza alifeli wapiiii? Yaan wapiii alikwamaaa hadi mume arudi njia kuu.
JF woyeeeeee
Da maua bado hujaenda kulala?? Utazima safari kali 😂😂😂Sisi jeifu kuntu sikia yakhe id hii ni moja sijui nimapenzi
Teeeenaaa!!!
Lete udambu udambu huo




uduguuuu kuna watu kesho wata amkia mloganzira, wallah nakuambiaaa hiviii.Kwahiyo huyo Elon musk humuamini?? 🤣🤣🤣Siamini naweza kupata mwenza serious kupitia mitandao ya kijamii.
😁😁😁Afu we shabiki wa kassim zevda tulia😄🤣
Huyo namuamini sana ila?😁😁😁Kwahiyo huyo Elon musk humuamini?? 🤣🤣🤣
Udugu kwan wale bibi wengine wadogo wako wapi?? Mbona udugu anatamba sana kwan alipigaje?? 🤣🤣🤣uduguuuu kuna watu kesho wata amkia mloganzira, wallah nakuambiaaa hiviii.
Kiharusi cha ghaflaa unakijua wee?
😂😂😂 ila nini??Huyo namuamini sana ila?😁😁😁
Sisi wote watoto wa Mello lazima tujuliane hali, na ukichukulia wanawake![]()




yaaan full tafraniiii. Ila huyu mwanaume km heka heka bas anaziweza afu anazimudu, yaan halazimishiii kabisaa.Kwema nipo hapa nakusanya taarifauduguuuu kwemaaa.
Ule uzi wa usiku wa manane uko wapi nataka ku tag mtu😁😁😁Udugu kwan wale bibi wengine wadogo wako wapi?? Mbona udugu anatamba sana kwan alipigaje?? 🤣🤣🤣
Udugu huyu Msomali niliye nae atanitoa roho akijua na msaliti 😁😁😁😂😂😂 ila nini??
Smart hana baya, sema wanawake zake ndo wana hekaheka za vuta nivute..!!yaaan full tafraniiii. Ila huyu mwanaume km heka heka bas anaziweza afu anazimudu, yaan halazimishiii kabisaa.
Wewe nawe tulia, mapenzi yetu yasiwe uwanja wa fujo😄🤣Huyo namuamini sana ila?😁😁😁