Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,918
Tulale bhana 😂😂😂Mbona unanipa ugwadu wa kujua nn kinajiri, hebu nipe samare kwanii
Eboooh
Tulale bhana 😂😂😂Mbona unanipa ugwadu wa kujua nn kinajiri, hebu nipe samare kwanii
Eboooh
Kweli mwanasheria anaumwa 🤣🤣🤣Mfyuuuuuh![]()
Jf ni tofauti na unavyoiona kaka, ina watu wa ajabu😂😂😂Acha uongo basi😃 yaani wewe wa kukausha na ubuyu, mwishoe ukunyige ufe nao
Stakiii 🤣🤣🤣Khaaaah!! Kesho nakusumbua unipee ubuyuu kamiliii.
![]()
Jf ni tofauti na unavyoiona kaka, ina watu wa ajabu
Siku nikifungua mdomo kuna watu watapoteana humu..!!! Ndiomana najichekea zangu tu!!
Ulimuomba Depal akakukataa? Mwanaume hakosani ni mwananke aliyeomba akakataa. Mwanaume kazi yake kuomba K kwa wanawake. Mwanamke kazi yake kuu ni kukataa maombi ya kula K yake. Akiwa anakubali kubali basi anabadilika na kuwa MALAYAAcha kukipa promo hicho kisingomaza Cha Arusha mkuu .
Ni aibu hata ku mention humu 🤢
Kumekucha tena bingwa wa likeKivumbi leo
Ufunguo tuufunge kama wenzako tulivyo ifumba kwa kujaribu kufungua mafaili. Ila wewe unavyojifanya hapa JF nilikuta si sawa na maisha yako ya kila siku. Wewe kwa wasiojua ni wife material. BishaJf ni tofauti na unavyoiona kaka, ina watu wa ajabu😂😂😂
Siku nikifungua mdomo kuna watu watapoteana humu..!!! Ndiomana najichekea zangu tu!!
Kweli mwanasheria anaumwa
Sema sio kesi, huu uzi tunakoelekea utakuwa mchungu



uchachue na pili pili uduguuuu.Story gani??? Embu nielezee.Nhaanhaaaaaaa Nimecheeeeeekkaaaaaa!
Nimekumbuka ile story ya Gono/ Ukimwi mvokua mnatema nyongo naona imenigeukia mie humu!
Ni kweliiiiiBirds of the same feathers.......!!
Ukinyamaza wewe inatoshaNingekuwa wewe, ningenyamaza tu
Mwenyewe nani unamuongelea mamy?Yani mwenyewe kaufyanta kimyaa kiherehere sasa afu haujui hata ukweli anatetea tu nhaaaanhaaa!!
Nacheka mimiiiii
Eti Hadi utakapofungwaTupoooo, naahidi kuwa bega Kwa bega na huu uzi hadi utapofungwa
Leo Baba K atafute Kwa kwenda kula......sipikii toto la mtu Leo, Jf kumenogaaaa![]()




.