trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,446
- 10,804
Na wewe tukufukulie kaburi lako siku umeenda kudeposit mamilioni bank kaka???Naona mme Anza kulipana, dah mi hiyo toka nizaliwe sija wahi pata
![]()
Na wewe tukufukulie kaburi lako siku umeenda kudeposit mamilioni bank kaka???Naona mme Anza kulipana, dah mi hiyo toka nizaliwe sija wahi pata
![]()
Sikia shouzzz ngoja nikate unafiki hapa, wee ile siku nimemchamba na kumchambua huyo smart kuhusu tabia yake ya kupakazia uongo, tena nilimuita kwa kumtag mwenyewe, ulisemaje?
Ikiwa mie mpinzani kwako, si ungenikatazaaa siku ile ile? Zimepita njegeka ngapiii hadi leo nionekane mpinzani wako? Kupatana kwenu mie sio shida, shida ilikuja kwa huyo smart kuambia watu kuwa walio ktk upande wako walipoteza nguvu na muda buree kukupigania ikiwa wee na yeye mnajuana, yes alikua sahihi yeye anakujua kuliko mie.
Mie nilikulalamikia wewe, na nilihoji kwa kusema ambavyo wake wenzio walisema, ubaya wangu uko wapi? Kwann ulijua wee na yeye mnajuana na mtapatana baadae, si ungeni cancel tangu mwanzo? Wengi wameanza kujua bifu lako na Depal, kumbe kuna wengine wawili nyumaaa, uliwaambia? Wanajua hilo?
Sikia shouzz nakuheshimu na nitakuheshimu daima, sina ubaya na wee na sioni haja ya kuwa hivyo. Nilikulalamikia kwa kuwa nilikupambania wee binafsi, nasikia leo mie ni mpinzani wako.
Hayaa bhana. Sina neno mie.


bado hujasemaHalafu huwa hawana mambo mengi😍❤️View attachment 2893538
Nuzulat mi ya mwezi jamani
Huna baya,Sikia shouzzz ngoja nikate unafiki hapa, wee ile siku nimemchamba na kumchambua huyo smart kuhusu tabia yake ya kupakazia uongo, tena nilimuita kwa kumtag mwenyewe, ulisemaje?
Ikiwa mie mpinzani kwako, si ungenikatazaaa siku ile ile? Zimepita njegeka ngapiii hadi leo nionekane mpinzani wako? Kupatana kwenu mie sio shida, shida ilikuja kwa huyo smart kuambia watu kuwa walio ktk upande wako walipoteza nguvu na muda buree kukupigania ikiwa wee na yeye mnajuana, yes alikua sahihi yeye anakujua kuliko mie.
Mie nilikulalamikia wewe, na nilihoji kwa kusema ambavyo wake wenzio walisema, ubaya wangu uko wapi? Kwann ulijua wee na yeye mnajuana na mtapatana baadae, si ungeni cancel tangu mwanzo? Wengi wameanza kujua bifu lako na Depal, kumbe kuna wengine wawili nyumaaa, uliwaambia? Wanajua hilo?
Sikia shouzz nakuheshimu na nitakuheshimu daima, sina ubaya na wee na sioni haja ya kuwa hivyo. Nilikulalamikia kwa kuwa nilikupambania wee binafsi, nasikia leo mie ni mpinzani wako.
Hayaa bhana. Sina neno mie.
Comment imenichekesha kweli kwa hiyo ana kalamika why hajalipwa shukrani😁😁😁Kumbe unaweza andika Gazetbado hujasema
Halafu huwa hawana mambo mengi![]()
Wakupe udugu 😂😂😂na nitasema tyuuh, hiyo tuzo nipewe harakaa kabla sijafa, natakaa niishike kwa mikono yangu.
Mie ni jemedari.
ndugu hata account Sina😆😆🤔Na wewe tukufukulie kaburi lako siku umeenda kudeposit mamilioni bank kaka???
Hahahaha nilipigwa ban na mie,Umenikumbusha mbali Sana’a.!! Hiyo siku nilikuwa nafatilia umbea ambao leo umejirudia tena, tukapigwa ban halafu kuna kundi likaja ku celebrate aiseee!! Nilikiwasha mpk sio poaah!!
Sema yashapita, halafu ww nani mwenzetu??
Tatizo mashosti mnabadili id sana
Comment imenichekesha kweli kwa hiyo ana kalamika why hajalipwa shukrani![]()
Dume hiloUmenikumbusha mbali Sana’a.!! Hiyo siku nilikuwa nafatilia umbea ambao leo umejirudia tena, tukapigwa ban halafu kuna kundi likaja ku celebrate aiseee!! Nilikiwasha mpk sio poaah!!
Sema yashapita, halafu ww nani mwenzetu??🤣🤣🤣🤣
Tatizo mashosti mnabadili id sana
Sasa sio maisha hayo, hating what you don't know ni uzwazwa.Humu inatakiwa uwe na ngozi ya kenge vinginevyo😁😁😁
Pdf?? Mshushe hata Cdf 🤣🤣🤣Nishushe pdf lako?
Sawa mrembo.Dume hilo
Ukitaka uishi kwa amani humu akikisha hakuna mtu umewahi kumpa nafasi ya kukujua hata kwa bahati mbaya vinginevyo,Ila pia kuna story za kutunga hata kama mtu hakujui wala kukufahamu🤨Sasa sio maisha hayo, hating what you don't know ni uzwazwa.
Mpira ushanichosha nasinzia hukuu😴😴😴😴 !Sikia shouzzz ngoja nikate unafiki hapa, wee ile siku nimemchamba na kumchambua huyo smart kuhusu tabia yake ya kupakazia uongo, tena nilimuita kwa kumtag mwenyewe, ulisemaje?
Ikiwa mie mpinzani kwako, si ungenikatazaaa siku ile ile? Zimepita njegeka ngapiii hadi leo nionekane mpinzani wako? Kupatana kwenu mie sio shida, shida ilikuja kwa huyo smart kuambia watu kuwa walio ktk upande wako walipoteza nguvu na muda buree kukupigania ikiwa wee na yeye mnajuana, yes alikua sahihi yeye anakujua kuliko mie.
Mie nilikulalamikia wewe, na nilihoji kwa kusema ambavyo wake wenzio walisema, ubaya wangu uko wapi? Kwann ulijua wee na yeye mnajuana na mtapatana baadae, si ungeni cancel tangu mwanzo? Wengi wameanza kujua bifu lako na Depal, kumbe kuna wengine wawili nyumaaa, uliwaambia? Wanajua hilo?
Sikia shouzz nakuheshimu na nitakuheshimu daima, sina ubaya na wee na sioni haja ya kuwa hivyo. Nilikulalamikia kwa kuwa nilikupambania wee binafsi, nasikia leo mie ni mpinzani wako.
Hayaa bhana. Sina neno mie.
Pdf?? Mshushe hata Cdf
Mi sinaga kona kona alafu jeshi la mtu mmoja siombi silaha nchi jirani, niko fuuulllllll mpk najiogopaaaaa.!!!!![]()



