kotelyimola
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 1,459
- 1,508
Una uhakika na ulisemalo? Nirudi Mahondaw au nipoteeWanawake wasio na akili hawwezi kuwaza hilo
Una uhakika na ulisemalo? Nirudi Mahondaw au nipoteeWanawake wasio na akili hawwezi kuwaza hilo
Wapo nimewaona niliwahi mwambia ntu mmoja na akanisikiliza saivi ameolewa dear mie na mambo yangu sio kwamba hawaji wanakuja na wapo serious na wengi wanakuwa wanajitambua.
Yani Mimi na rafiki angu tulie?? Tunalilia nini au nani?Ni vyema ukafuta hii statement maana rafiki yako alijinyakulia Smart911 na leo ni kilio kwenu. Bisha
once again...Kumekuchaaaaa
#uzinduzi
Pepsi umeacha kutumia?? Vipi hali yako ya presha ss hivi?? Imetulia?Mzuri nipo poa
Sijaacha sema uku azipatikani tu 😂 pressure ipo juu zaidiPepsi umeacha kutumia?? Vipi hali yako ya presha ss hivi?? Imetulia?
Ila we bonge la mswahili😂😂Shunie wa watu anajilia raha zake mpaka ashaisahau jf ashapata bonge la bwanaa anapendwa kwa vitendo
Ndio maana hata humu kapotea bwana kakaba beki zote
Inatokea kama huna pa kwenda unafanyaje![]()
![]()
Aikoooh! Mimi nikiambiwa hivi sikubaliWanawake wasio na akili hawwezi kuwaza hilo
Ila we bonge la mswahili
Watu wanajivunia kazi lkn ke wa bongo wanajivunia mboo![]()
Make mwanaume umekomalia ulisikia Gono UTI Gono UTI Gono ! Wewe ni wa muda humu bila shaka unafahamu hizo story za Gono/ Ukimwi/ UTI zilipoanziaga nashangaa ulivonishadadia as if mimi ndie niliezianzisha humu !Koma kabisa madam, siwezi kiwa empty set hata kidogo, unaijua infinite set...?
Khakhakhaaaa!!Inatokea kama huna pa kwenda unafanyaje![]()
Weee usinambie??Shunie wa watu anajilia raha zake mpaka ashaisahau jf ashapata bonge la bwanaa anapendwa kwa vitendo
Ndio maana hata humu kapotea bwana kakaba beki zote
Teenaaaa.!!! Wape wape vidonge vyao 😂😂Make mwanaume umekomalia ulisikia Gono UTI Gono UTI Gono ! Wewe ni wa muda humu bila shaka unafahamu hizo story za Gono/ Ukimwi/ UTI zilipoanziaga nashangaa ulivonishadadia as if mimi ndie niliezianzisha humu !
Naona unadhihirisha kuwa kweli hunaielewa ile koment ya Graham!
Kunywa maji mengi urelaxx !
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 DinaaaaaaShunie wa watu anajilia raha zake mpaka ashaisahau jf ashapata bonge la bwanaa anapendwa kwa vitendo
Ndio maana hata humu kapotea bwana kakaba beki zote
You are wrong my friend. Ubinadamu si kugive up. Ubinadamu ni kupambania chako hadi tone la mwisho. Mwanamke wa shoka huwa haachi mume wake kirahisi isipokuwa malaya. Mwanamke atapambana na kwenda hata kwa waganga ili amrejeshe mume wake. Roho zenu ni sababu ya umalaya unawasumbua. Unadinywa na huyu, kesho yule keshokutwa etc. Nampongeza @mahondowYani Mimi na rafiki angu tulie?? Tunalilia nini au nani?
Hatuwezi kulia sisi kwa vitu vya kumuhurumia mwanamke mwenzetu.
We mwanaume anahama wenzio unagombana na hajali leo kakosa wa kumshaua karudi kwa mwanamke wake anaejua hawezi pindua. Mnyonge wake yani. Ngoja apate penzi jipya HUMU shauri ake