Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,590
- 15,743
Niisema hapa tuondoke sijui unasubiri niniIpo siku 😂😂😂
Halafu uzi ushanichosha huu, tuhamie mwingine.
Kuna mahali nilikuita sijui hukuona
Naomba tuwaachie watu wabebike kwanza
Niisema hapa tuondoke sijui unasubiri niniIpo siku 😂😂😂
Halafu uzi ushanichosha huu, tuhamie mwingine.
Siku juaga we bandidu😆😆😆,. Kumbe behind ka sura na tu nywele tuzuri.Huyu dada si bure kachanganyikiwa anataka u comment anavyotaka yeye😁😁😁
Ulikuwa hujui.??? Humu mtu mmoja anajitekenya na kucheka mwenyewe ooh!!Winga itoshe kusema JF ina wenyewe 🙌🙌🙌🙌nimejaribu kuangaalia baadhi ya replies aiseee
Wapi uko bff?? Hebu niite tena mahi wangu..!!Niisema hapa tuondoke sijui unasubiri nini
Kuna mahali nilikuita sijui hukuona
Naomba tuwaachie watu wabebike kwanza
By the way nlikuwa najua humu ni kijiweni tu kumbe Kuna watu wamekulana mpaka wakionana uchi hamna hata msisimko, wengine beki hazikabi, wengine ni mtu Moja ID 18 duhUlikuwa hujui.??? Humu mtu mmoja anajitekenya na kucheka mwenyewe ooh!!
Kaa chonjo, usiruhusu watu wakujue na usiwape habari zako..!!
Sura haifananii ninavyojichetua Jf😁😁Siku juaga we bandidu😆😆😆,. Kumbe behind ka sura na tu nywele tuzuri.
,👉We ni intelli bey wa ukweli 😆😆 💓💓💓
HahahahahaNiisema hapa tuondoke sijui unasubiri nini
Kuna mahali nilikuita sijui hukuona
Naomba tuwaachie watu wabebike kwanza
Kuna mtu aliniuliza hivi mpaji Mungu mnafahamiana uko kkoo.??By the way nlikuwa najua humu ni kijiweni tu kumbe Kuna watu wamekulana mpaka wakionana uchi hamna hata msisimko, wengine beki hazikabi, wengine ni mtu Moja ID 18 duh
HahahahaBy the way nlikuwa najua humu ni kijiweni tu kumbe Kuna watu wamekulana mpaka wakionana uchi hamna hata msisimko, wengine beki hazikabi, wengine ni mtu Moja ID 18 duh
Sema baby una Nipa raha, siku tuki anzisha vagi.Sura haifananii ninavyojichetua Jf😁😁
Hamna Mtu ananijua humu na jukwaani hamna sehemu openly tumefanya harambee, 😂😂😂Mkuda ww hutaki kunifungulia piemu ungeniambia ningekuachia hata Hela kidogo...Kuna mtu aliniuliza hivi mpaji Mungu mnafahamiana uko kkoo.??
Inaonekana ana pesa, kuna sehemu nimeona kachangia pesa nyingi.!! 😂😂😂😂
Nikasema mamaah.!! Winga kafikiwa kupewa kipochi 🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kwani wapi ulichangia pesa nyingi kaka??
Dadaako nadaiwa pesa na mchina hutaki kuniongezea..!! 😂😂
Kabeeeeeesa!Mambo yake muchie mwenyewe...
Blaza usikute we ndo smart mfupi😂😂una Id zako kadhaaaHahahaha
Maisha yangu mimi siwezi kuyaamishia Jf,kuhusu hilo sahau haliwezi tokea😁😁Sema baby una Nipa raha, siku tuki anzisha vagi.
👉Hakuna wa kukimbia😆😆
Hahahahaha mimi siwezi kuwa id mbiliBlaza usikute we ndo smart mfupi😂😂una Id zako kadhaaa
Naku aminia mkubwa, jemedari huna pigo za ki haji manaraHahahahaha mimi siwezi kuwa id mbili
Hivi Mara ya mwisho kuku ambia nakupenda ni lini😆😆.Maisha yangu mimi siwezi kuyaamishia Jf,kuhusu hilo sahau haliwezi tokea😁😁
Hahahahahaha kwema mkuuNaku aminia mkubwa, jemedari huna pigo za ki haji manara
Kwema kabisa kakaHahahahahaha kwema mkuu