Hukuonja, ulipata mate tu na ahadi ya kesho yake kukutana town.Aah so tulitoka mbezi...kibaha..then bunju. Nilipewa papa au sikupewa?
Mkuu, work on your facts.
Baada ya kukulwa na kuachwa?Yani Mimi na rafiki angu tulie?? Tunalilia nini au nani?
Hatuwezi kulia sisi kwa vitu vya kumuhurumia mwanamke mwenzetu.
We mwanaume anahama wenzio unagombana na hajali leo kakosa wa kumshaua karudi kwa mwanamke wake anaejua hawezi pindua. Mnyonge wake yani. Ngoja apate penzi jipya HUMU shauri ake
Mate nililia wapi? Now look who's interrogating who? Nilidhani una majibu ya allegations zako kwangu kumbe ni upumbavu mtupu.Hukuonja, ulipata mate tu na ahadi ya kesho yake kukutana town.
HahahaKwa hiyo nishakuwa msengerema, hii ni wewe bila kujijua. Ukiona hulali kila ukiona comment yangu unapatwa mshawasha ujue something is wrong mkuu, mie nakula papa...na 52yrs yangu nakula papa tena za viwango.
Hahaha.....Kwa umri huu jamaniHuyo mbona na mi mtu na shosti yake hatuna baya..!!! Ila babu jitahidi uende kwa da mau 😂😂😂
Man, I don't bang men..I really don't. Unakoelekea na hivyo vicheko sipapendi.Hahaha
Pole sana
Kwani utakubali basi? Mwenzako alijififanya innocent kama wewe hapa, now anashindia kahawa tu pale kijiweni.Mate nililia wapi? Now look who's interrogating who? Nilidhani una majibu ya allegations zako kwangu kumbe ni upumbavu mtupu.
Mkuu, nenda kwa aliyekupa info zangu, mwambie aanze upya.
Mpumbavu tu na asie jiamini ndie anakimbilia matusi kama unavyofanya.Man, I don't bang men..I really don't. Unakoelekea na hivyo vicheko sipapendi.
Huwezi amini hata kijiwe sina. Bora huyo mwamba yeye anacho, wewe unashinda wapi mzee? Epuka groups though, utaishia pabaya.Kwani utakubali basi? Mwenzako alijififanya innocent kama wewe hapa, now anashindia kahawa tu pale kijiweni.
Nani?? 🤣🤣🤣🤣Kwani utakubali basi? Mwenzako alijififanya innocent kama wewe hapa, now anashindia kahawa tu pale kijiweni.
Unataka kuniambia Smart911 atamuoa Mahondaw?Naomba jibu lako mimi humu mjinga.
Unataka kuniambia Smart911 atamuoa Mahondaw?
Je Smart hana Mke?
Kuna mdau nilisoma mahala kuwa Mslahondaw ana watoto 2 je ni wa Smart911?
Mahondaw hana mume?
Ukinijibu haya humu sitaingia tena
Acheni kunafikia watu hapa JF.Huwezi amini hata kijiwe sina. Bora huyo mwamba yeye anacho, wewe unashinda wapi mzee? Epuka groups though, utaishia pabaya.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!Kwani utakubali basi? Mwenzako alijififanya innocent kama wewe hapa, now anashindia kahawa tu pale kijiweni.
Nyie njooonii 🤣🤣🤣🤣