Shida inakuja hapa mnapoongea kichuki
Uislamu toka lini unabrainwash watu?
Uislamu unakataza kusoma elimu isiyo ya dini?
Hao wenye misimamo hiyo hata huo uislamu hawaujui
Ngosha...
YMCA Dar es Salaam walikuwa na mafunzo ya karate na vijana wengi walihitimu pale na kuipata mikanda.
Nadhani na Don Bosco walikuwa na mafunzo kama hayo.
Mimi siwezi kuandika kama ulivyoandika wewe kuwa walikuwa wanataka kumpiga nani?
Mungu anahitaji makombora ya maangamizi kama ya wale wanaoitwa wateule wa Mungu.Uislamu una mafunzo ya ajabu sana. Dini na karate wapi na wapi ?
Mungu gani anahitaji ujue karate ?
AsanteAcha kujiliza. Hakuna sehemu mimi kana muanzisha uzi nimitweza imani ya watu. ITV waneonesha habari hii saa 2 katika taarifa ya habari. Pia usiwafundiahe kazi mods au kujiliza ili tusiseme madhaifu kwa kuhofia kukashafiwa kwa dini. Acha kujiliza dogo.
Sasa km upo mentally matured ungehangaika kuondoa au kukemea madhaifu ya imani yako siyo kukandia ya wenzio ungefanya hivyo unge balance mzani. After all mimi nimesema huwa sipendi ku argue na mtu dizaini yako, nadhani tuishie hapa.Hata ukiniblock hakuna la maana unalonisaidia hadi niumie kwa block yako.
Mm n Mkristo nako pia kuna upuuzi wake ila upuuzi wa Kiislamu ni mkubwa zaidi.
Duh..
Wewe mzee siulisema umesoma na Hayati Lowassa? Au mekufananisha?Peleka ujinga wako kwenu we pungo umeona mitaala ya Vyuo hivyo?
Aki...
Suala la ugaidi limekuwa nyeti sana.
Mamlaka husika zimeshindwa kuthibitisha bila chembe ya wasiwasi kuwa tunalo tatizo la ugaidi Tanzania.
Wakija kupiga pepa necta wanasema serikali inawafelisha.Ndani kuna gym moja matata kwa ajili ya watoto. Na watoto wanasema walikuwa wanafanya mazoezi ya hatari. Mwenye kituo anaongea kwa kujiamini anasema hajui kosa lake. Watoto wanaacha shule nchi nzima, wanaenda kujichimbia kufanya hayo mazoezi magumu.
Eti ndio Wanapata ilimu
Aisee ni noma mno. Nasubiria waje kujitetea.
Waboreshe maisha ya wapga kura wao kwanzaTanzania ni mwana kulitafuta mwana kulipata kwa nn wanaacha hiyo tabia bila kung'oa mizizi kwa kudumu
Mmojawapo wa itikadi Kali huyu ukuKarate ina shida gani! Na hizo imani au sijui siasa kali ndiyo zipi? Nchi ina udini hii watangaze tu kama nchi ni ya kikristo kama Zambia kuliko kuwafanyia visa Waislamu kila siku halafu nawashangaa sana viongozi waislamu wanavyokaa kimya kama mazuzu!
Ficha ujinga wako, kuna mtu anaweza teka nchi kwa kupigana karate?Kimsingi vyuo hivi vipo sehemu mbalimbali nchini na ni hatari kwa usalama wa nchi kwani vijana hawa huchukuliwa sehemu mbalimbali kwa lengo la kuja kufundishwa dini na itikadi mbali.
Swali muhimu: mfadhili/hi ni akina nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa ni shida kubwa, Madhehebu Yao yote hakuna lenye afadhaliMmojawapo wa itikadi Kali huyu uku
Mazoezi ni mazur kwaafyaUnadhani Kuna aya inasema watu wafundishane karate misikitini?
Kuna watu Wana maslahi binafsi na hilo wanalofanya
Kikubwa wadhibitiwe
iko wapi vidio nami babu njunju nipate kuona na kuchekaNdani kuna gym moja matata kwa ajili ya watoto. Na watoto wanasema walikuwa wanafanya mazoezi ya hatari. Mwenye kituo anaongea kwa kujiamini anasema hajui kosa lake. Watoto wanaacha shule nchi nzima, wanaenda kujichimbia kufanya hayo mazoezi magumu.
Eti ndio Wanapata ilimu
Aisee ni noma mno. Nasubiria waje kujitetea.
Chuo hakijasajiliwa.Tuweke udini pembeni
Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo
Hii nchi ishagawanywa vipande vipande hainganiki tena.Habari hii imerushwa ITV saa 2 hii usiku.
Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na mapigano (Karate na judo)
Mkuu wa Wilaya ha Longido amefanya hilo leo baada ya kamati ya usalama kupata taarifa juu ya mafunzo yanayofanywa kwenye chuo hiko kisichosajiliwa.
Kimsingi vyuo hivi vipo sehemu mbalimbali nchini na ni hatari kwa usalama wa nchi kwani vijana hawa huchukuliwa sehemu mbalimbali kwa lengo la kuja kufundishwa dini na itikadi mbali.