VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Mkuu kwa watu ambao wamekaa UK hawawezi kushangaa kabisa hii issue... UK ni Community in Disarray..., Yaani ukikaa na vijana ukawasikiliza mawazo yao utagungua kwamba the coming generation hawa jamaa future yao ni ya kuonea huruma sababu ya yafuatayo
- Malezi mabovu
- Uchumi kushuka
- EU watu kutoka nchi nyingine wanakuja kuchuma UK wakati English people ni wavivu wenzao wana-migrate na kujifunza wenyewe wamekaa tu (Polish ni more employable na hard working kuliko Born English People
- Racial Tensions (Black, Pakistan, British White na Non British White)
- Second Generation Immigrants wamepoteza muelekeo hawana uchungu na UK wala hawana maadili ya walipotoka wanaishi kwa conspiracy kwamba the system is against them
- Welfare na watu kutegemea system na ku-cheat the system ni mzigo kwa nchi
- Vijana kuona kwamba Gang Culture ndio ujanja
- Baada ya maisha ya Holland kuwa magumu kuna wimbi la wakimbizi wengi wa Somalia kuhamia UK (na hii ni another segment ya different culture ambayo imeingia UK kwenye a multiculture ambayo its not working at all)
- Kila mtu kufanya anachotaka kwa kisingizio cha haki za Binadamu