London Riots

peckham-riots-2_1356736a.jpg


Vandalised ... stores were broken in to by brutes


motor1_1356700a.jpg


Blaze ... remains of torched car in Hackney


 
Sasa si utowe mfano wa wewe kurudi? Mwanza, Shinyanga na Tabora mwaka huu njaa kali sana. Hakuna Matoborwa.

USA kuna waka moto kwenye Minada yake. UK kuna waka moto kwenye miji yake. Kote ni mapigo tu ila kwani Mami una mpango wa kukimbia?

By the way: Jumamosi nimeona kitoto kizuri na kikawa kinanichekea. Nilipotaka kuanza kutuma majeshi, kikanyenyua mikono juu, naangalia kikwapa kimelowana. Nikaona palepale uso wake na kimdudu cha Yo-Yo vinanicheka. Nikasepa kiaina.

Hahahahaaaaa mami umedata wewe!! Fahamu kuwa narusha maoni haya kutokea hapa Ikungulyabashashi.

Hicho kitoto itabidi nikipe crash course ya matumizi ya anti-perspirant deodorant. Ukikiona next time kiambie kuna mami mmoja kutoka Ikungu anataka kuongea na wewe....
 
Conservative wana kazi hapa moto utalipuka kesho wakirudi ..... hawa watoto watukutu sana .... ...
 
Its all this very interesting!!

Uingereza ainaugua moto kirahisi tu ..and so faster ...from one city to next!

Ikiwa ni hapo Cairo, Lybia au Syria ... mengi yatasemwa lakini LONDON... just like that!! Kuna jambo la msingi Hapo uingereza inabidi liwe wazi na lieleweke ...ili Tanzania na majirani wajifunze cha kujifunza ... kuwa ghafla ..tu!! Kisichotegemewa kinaweza kutokea na kuwa kweli kabisa.

Wiki chahe tu zilizopita Waingereza walikuwa wanatizama show kama hizo zikitokea Libya nk ..leo?

Kwa kweli dunia yote kwa ujumla haijatulia!!
 
Hii kitu imefika hadi Clapham, WTF? Nimeona kwenye tv dogo mmoja yuko dukani anajaribu kukwapua plasma tv kutoka ukutani, wanadada wanakimbilia designer bags and whatnot. Hii inanifanya niamini hizi fujo siza kupinga mauaji ya local gangster bali kutaka kufanya fujo tu ili wasikike, kesho na keshokutwa business owners wakiamua kufungasha virago na kuondoka hawa hawa watu watalalamika kuwa hakuna kazi na kurudi kuilalamikia serikali.
 
Wapuuzi sana hao wahuni. Na wapeleke polisi huko wakawadunde kisawasawa. Huwezi kupinga police brutality kwa kufanya uhalifu. Hao wenye maduka kosa lao nini hadi wavunjiwe maduka yao na kuporwa bidhaa zao? Peleka riot police wakawapige bila huruma hao wavunjaji wa amani.
 
Waltham Abbey! is so far a biggest blaze! it seems to be like a depot belongs to Sainsbury!, Ealing, Bristol, Liverpool, and small groups been seen sniffing around Manchester. Wow! these kids are such a joke! flippin hell!
 
Hawa wapuuzi wamechoma distribution centre ya Sony mitaa ya Waltham Abbey, kesho watu 750 hawana kazi kweli hii ni akili?
368166564.jpg
 
Hiyo ni adha ya watoto waliozowea kupembejewa mpaka wakatovukwa adabu.

Serikali ya Uingereza inalea vibaya vijana na hii ndio ujira wake sasa.
 
Hao wahuni ni kuwapa kibano tu. Hiyo ndiyo lugha pekee watakayoilewa. You can't plead or reason with these thugs. Just a good 'ol fashioned beatdown is the only way that will get them to stop the mayhem.

They are lucky it's not up to me to make the call.
 
Ona sasa hii!! Wanayemkomoa ni nani hasa? Nyambaaaaf kabisa....na warudi huko makwao visiwani walipotoka na huko Afrika.
Alafu hawa wapuuzi wanavunja maduka wanakwenda kuiba mobile phones, TV kwenye hiyo Sony Distribution Centre kuna mtu anasema watu wanaiba Playstations, hivi kweli hiyo ni akili unahatarisha maisha yako na community nzima kisa playstation/cellphone?
 
Aisee, this is too low from them, i find them more opportunistic katika hili as far as what they are doing is concerned. Unles otherwiz kuna kitu lazima tujifunze ktk hili.

BTW ingekuwa ndo bongo inatokea hii ungesikia jamaa wana withdraw embassy stuffs wao ikifuatiwa na warning kibao kwa watalii kutembelea bongo....duh! kwel umaskin mbaya.
 
Aisee, this is too low from them, i find them more opportunistic katika hili as far as what they are doing is concerned. Unles otherwiz kuna kitu lazima tujifunze ktk hili.

BTW ingekuwa ndo bongo inatokea hii ungesikia jamaa wana withdraw embassy stuffs wao ikifuatiwa na warning kibao kwa watalii kutembelea bongo....duh! kwel umaskin mbaya.

Ni kweli mkuu. Sijui NATO wako wapi. Gaddafi alisema atawapiga mpaka nyumbani kwao ni yeye nini, na ufaransa itaanza kuwa hivyo nini. Ni kweli mtenda hutendwa.
 
I might be wrong but i think, Far Right radicals are gaining support in most part of Europe.

In France, Jean-Marie Le Pen anaongoza kwenye polls. In Norway, y'all saw what that extremist did. Huko Uholanzi Geert Wilders anakuwa popular day by day. Greece radicals waliwaattack watu weusi na kuwapiga. The list goes on..

Uchumi unakufa, massive job cuts na Immigration policies pia ni tatizo.

These radicals tunawaona ni racists and hooligans, wao wanajiona nationalists.

Immigrants (Muslims and waafrika) brace yourself.
 
A bus, a shop and two patrol cars have been set on fire in Tottenham. An estimated crowd of around 300 have gathered and there have been reports of looting and shop windows being smashed.

Earlier in the day members of a community where a young man was shot dead by police had took to the streets to demand "justice".
The 29-year-old, named locally as father-of-four Mark Duggan, died at the scene in Tottenham, north London, on Thursday. About 120 people marched from the local Broadwater Farm area to Tottenham Police Station, forcing officers to close the High Road and put traffic diversions in place.

A Metropolitan Police spokesman said: "Missiles were thrown at them. One was set alight and one was pushed into the middle of the High Road."

Officers were being dispatched to disperse the crowd, he said. He could not confirm that those responsible for the trouble were connected to the protest. A family friend of Mr Duggan, who gave her name only as Nikki, 53, said the man's friends and relatives had organised the protest because "something has to be done" and the marchers wanted "justice for the family." Some of those involved lay in the road to make their point, she said.

"They're making their presence known because people are not happy," she added. "This guy was not violent. Yes, he was involved in things but he was not an aggressive person. He had never hurt anyone."

Mr Duggan had been travelling in a minicab on Thursday and was gunned down after an apparent exchange of fire. A police officer's radio was found to have a bullet lodged in it afterwards, suggesting they may have narrowly escaped being struck. Officers had been attempting to carry out an arrest under the Trident operational command unit, which deals with gun crime in the black community, according to the Independent Police Complaints Commission (IPCC).

An IPCC spokesman said that at around 6.15pm on Thursday, officers from Trident, accompanied by officers from the Specialist Firearms Command (CO19), stopped a minicab to carry out an arrest.

"Shots were fired and a 29-year-old man, who was a passenger in the cab, died at the scene," he said. It is believed that two shots were fired by a firearms officer, equipped with a Heckler & Koch MP5 carbine. A non-police issue handgun was recovered at the scene as well as the police radio. "Both the radio and the handgun are being sent for expedited forensic tests," the spokesman said. "The exact sequence of events is subject to the IPCC investigation. A CO19 officer was taken to hospital as a precautionary measure but has since been discharged."

Local MP David Lammy has called for calm, saying the community was anxious over what had happened. A police officer, PC Keith Blakelock, was hacked to death in 1985 following a riot in Broadwater Farm from where the marchers set off this afternoon.

Source: Tottenham in flames as protesters riot | World news | guardian.co.uk

a Heckler & Koch MP5 carbine

hk20mp51.jpg
 
Back
Top Bottom