London Riots

London Riots

tsunami was a natural disaster.... acha potosha watu..

Mkuu naomba unielewe yaani baada ya watu kukumbwa na hii natural disaster (Tsunami) lakini watu walikuwa calm na hakukuwa na panic (ndio maana nikasema culture ya watu ni calm)

Lakini Muingereza sio mtu wa kuwa calm na hii naweza nikaiweka kwenye hata washabiki wa mpira (mfano Millwall) yaani kuna kipindi watu walikuwa wanapanga groups za kufanya fujo baada ya mechi (hususan Chelsea ikicheza na Millwall) kwahiyo mkuu ni culture ya watu hata hapa kwetu fujo zikitokea Dodoma itakuwa tofauti na zikitokea Mara (haya naomba uniambie nimepotosha wapi)
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Dah hii ni hatari, kisa Police wamewapiga risasi jamaa, kweli wenzentu hawana utani!
Mkuu sio risasi tu jamaa alifariki alikuwa kwenye mini cab kama msafiri lakini pale ilipatikana bunduki ambayo haikuwa ya polisi so police wanaweza wakaja na kujitetea kwamba ilikuwa self defense
 
Wanadai kuna jamaa alipigwa risasi na polisi na kufa. Lakini inavyoonekana ni more that. Maana inasemekana inasambaa miji mingine kama Birmingham. BBC News - Gangs of youths and windows smashed in Birmingham

Mkuu ndio maana nikasema all is not well in UK (kuna some tensions kubwa sana nyingine ni racial) lakini issue kubwa sana ni kwamba vijana wadogo wa UK hawana morals na wengine wanapenda Gang Culture kwahiyo mkuu hii kitu soon or later lazima itatoka tu (yaani ukitaka kujua ninamaanisha nini weekends vijana wakishakunywa bila kutukana polisi na kufanya fujo hapa na pale siku yao haijaenda vema) kwahiyo polisi huwa wapo alert kuwashika vijana hapa na pale na kuwapumzisha kidogo polisi..
 
kuna kitu kikubwa zaidi... tutajua tu...

Yep, probably the austerity measures adopted by the new government.[FONT=Arial, Helmet, Freesans, sans-serif][/FONT]
 
Mkuu ndio maana nikasema all is not well in UK (kuna some tensions kubwa sana nyingine ni racial) lakini issue kubwa sana ni kwamba vijana wadogo wa UK hawana morals na wengine wanapenda Gang Culture kwahiyo mkuu hii kitu soon or later lazima itatoka tu (yaani ukitaka kujua ninamaanisha nini weekends vijana wakishakunywa bila kutukana polisi na kufanya fujo hapa na pale siku yao haijaenda vema) kwahiyo polisi huwa wapo alert kuwashika vijana hapa na pale na kuwapumzisha kidogo polisi..


I like your point of view, but it is kind of so conclusive... Do you really believe

na mahala kote? I don't think so... Those are the kind of people who learn anger

control in the name of being a lady and gentleman... Naona ni zaidi kwa wale ambao

wana life flani hivi la chini.... (Hope it does not sound wrong...)
 
Genuinely makes one wonder.... Na weza kubali theory yakko kua i

t has to be more than that... I am already interested, nitafuatilia...

Inasambaa kinoma. Croydon sasa. Duh! Noma
 
I like your point of view, but it is kind of so conclusive... Do you really believe

na mahala kote? I don't think so... Those are the kind of people who learn anger

control in the name of being a lady and gentleman... Naona ni zaidi kwa wale ambao

wana life flani hivi la chini.... (Hope it does not sound wrong...)

The ladies and Gentlemen; the Cambridge and Oxford graduates hao ni percent ndogo tu..., UK kuna wahamiaji wengi sana kutoka Pakistan (ambao ukweli ni kwamba watu weupe hawawapendi wanaona wanachafua nchi yao) Second generation Pakistans na Second generation Blacks wanaona kwamba wanabaguliwa na wana equal right kama wenzao weupe... (sasa hii ni moja)

Pili baada ya EU watu wengi sana kutoka Eastern Europe walikuja UK na baada ya Global Economic Crisis kazi zikawa chache na maisha kuwa magumu (sasa hapa utaona kwamba kuna underground anger ya watu kuona kwamba serikali zao zinawalet down)

Sababu ya welfare estate unakuta kuna na vijana wanaona hakuna haja ya kusoma au kuhangaika sababu watapata pesa na kufanya madeals yao hata kama wasipopata kazi

Ukiangalia hayo yote hapo juu utaona kwamba hii ni community in a disarray na itahitaji kitu kidogo tu for all hell to break loose changanya na kwamba Muingereza sio mtu wa kugeuza shavu la pili
 
Mkuu ndio maana nikasema all is not well in UK (kuna some tensions kubwa sana nyingine ni racial) lakini issue kubwa sana ni kwamba vijana wadogo wa UK hawana morals na wengine wanapenda Gang Culture kwahiyo mkuu hii kitu soon or later lazima itatoka tu (yaani ukitaka kujua ninamaanisha nini weekends vijana wakishakunywa bila kutukana polisi na kufanya fujo hapa na pale siku yao haijaenda vema) kwahiyo polisi huwa wapo alert kuwashika vijana hapa na pale na kuwapumzisha kidogo polisi..

Mkuu nafiri ni government's austerity policy of deficit-cutting, lower spending, and a reduction in the amount of benefits and public services provided. Imetokea hata Ugiriki na nchi nyingine pia. Gadaffi atakuwa anaangalia hii live. lol
 
Naona ni zaidi kwa wale ambao wana life flani hivi la chini.... (Hope it does not sound wrong...)
Yeah ni kweli na fujo kutokea sio mpaka nchi nzima wafanye fujo ni pockets fulani za sehemu ambazo ni masikini, sitegemei kwamba fujo birmingham zitatokea Solihull au Sutton Coldfield bali sehemu kama Perry Bar, Small Heath, Hall Green na kuelekea mjini sababu huko kila mtu anakwenda
 
This is too much. Mnaona kinachoendelea Croydon. Pole wenzangu mnaopenda kukaa jijini.
 
Mkuu nafiri ni government's austerity policy of deficit-cutting, lower spending, and a reduction in the amount of benefits and public services provided. Imetokea hata Ugiriki na nchi nyingine pia. Gadaffi atakuwa anaangalia hii live. lol
Hata Serikali ingeamua isingeweza ku-afford kuendelea kutoa welfare; EU Crisis, watu wanadanganya system kwa kujifanya hawana kazi ili wapate pesa bure n.k. alafu ukizingatia Mzawa muingereza ni mvivu wakati watu kutoka Poland ni wachapa kazi kwahiyo kampuni ipo radhi kumuajiri mtu wa Poland kuliko mzawa..., yaani huwezi kuamini mimi nilishasema miaka kama mitano nyuma kwamba England inapoelekea ni pabaya sana

Sio hicho tu, manufacturing industries zote za UK zimeshauzwa ( na its cheaper kumanufacture pengine kuliko UK) hii ni sababu ya labour cost, viwanda vilivyokuwepo Birmingham (Rover na Jaguar) vyote vimefungwa... Mkuu believe me there is a lot of anger underground in England na hata kama sio leo wala kesho sioni ni jinsi gani hii nchi itajikwamua
 
This is too much. Mnaona kinachoendelea Croydon. Pole wenzangu mnaopenda kukaa jijini.

Yea, its getting out of control now. Nasikia Cameron ameamua kukatiza likizo.
 
PM is on the way back to London from Italy. Je JK angeweza kufanya hivyo? Boris is also on the way from his holiday. Something to be learn by our African leaders
 
This is too much. Mnaona kinachoendelea Croydon. Pole wenzangu mnaopenda kukaa jijini.

Mkuu walijua kabisa kwamba huenda fujo zikaelekea huko hii ilikuwa ni angalizo walilotoa mara baada ya fujo za Tottenham:-

[Looters warned to steer clear of Croydon

Croydon Council is fully supporting the police following civil disturbances in some parts of London.
Mobile enforcement unit dog patrols and Neighbourhood Enforcement Officers will provide high-visibility presence in the town centres and CCTV will be monitored.
Council leader Mike Fisher said: "People seeking to exploit what has happened in Tottenham is simply unacceptable and I want to make it clear that if you are contemplating coming to Croydon to attack our businesses, you will be caught."
Police should be contacted either anonymously through Crimestoppers on 0800 555 111, the new non-emergency 101 number or 999 in an emergency.
http://www.croydon.gov.uk/news/democracy/looters-warned-steer-clear-croydon
 
Wenyewe wanasema ni blacks ndo wanafanya hivi lakini hii nadhani kuna mkono mkubwa kuliko weusi masikini walio mitaani.
 
VoiceOfReason, umenyakua maneno kinywani kwangu. Ni-PM tukutane tuongee mbele ya kikombe cha chai. Hii nchi sio kama watu wengi wanafikiri ilivyo ('ilishakuwa'/Has-Been)! Olympics 2012 zitakuwaje sijui - wahuni wanaweza kuwasha moto kwenye treni au kijiji cha michezo?!


Mkuu binadamu wana culture tofauti (take Japan for instance.., hata baada ya ile Tsunami watu walikuwa calm na watulivu) sasa hii issue ukiangalia waingereza ni watu wa fujo (Hooligans) wewe angalia tu baada ya Games za mpira au wakipata opportunity kwahiyo naweza kusema ni kama kipele kimepata mkunaji..., yaani hawa jamaa wakipata opportunity na wasiposimwa haraka na kama mob ikiwepo basi ujue kuna shughuli inakuja hata timu yao ya mpira ikifungwa lazima police wawe alert

Tena kuna racial tensions kubwa sana ambazo zisipotafutiwa dawa huenda zikawa time bomb (wapakistan na watu weupe; weusi na wapakistan n.k.) sababu hata kuna kipindi ilitokea fujo kati ya wapakistan na watu weusi (Birmingham) lakini police walimove fast. Sasa hii ukichanganya na maisha magumu na kazi kuwa chache inafanya wazawa waanze na kuwachukia wageni (In short sioni future yoyote nzuri kwa England) The Great Britain is not Great any more
 
Mimi nadhani haya ni matunda ya poor parenting inaendelea hapa UK. samaki mkunge angali mbichi. These guys are now beyond control
 
MA blacks england wenye asili ya west indies wana hasira,despite baba zao ndio foreigners wa kwanza kuja england,yet wamekuta wanachwa mbali na foreigners wengine katika mgawanyo wa national pie-wanaamini kuna conspiracy dhidi yao-but if u look at it majority wanatoka from broken single parent families,to them schooling is a taboo-drugs and gang culture is the norm-hizi riots wana vent hasira zao-but in reality matatizo haya wanajitakia-England IS A LAND OF OPPORTUNITIES,you slack,you fall
 
Mimi nadhani haya ni matunda ya poor parenting inaendelea hapa UK. samaki mkunge angali mbichi. These guys are now beyond control
Mkuu na hio pia ni sababu nakumbuka kuna incidence moja ilitokea yaani mtoto mmoja alikuwa kwenye Bus anapiga kelele na kutupa tupa chips ovyo baada ya mtu mmoja kumkataza hio ndio ilikuwa mwisho wa maisha yake sababu huyo kijana alimchoma na kisu..

Yaani hizi haki za watoto zimetengeneza monsters UK..
 
Back
Top Bottom