VoiceOfReason, umenyakua maneno kinywani kwangu. Ni-PM tukutane tuongee mbele ya kikombe cha chai. Hii nchi sio kama watu wengi wanafikiri ilivyo ('ilishakuwa'/Has-Been)! Olympics 2012 zitakuwaje sijui - wahuni wanaweza kuwasha moto kwenye treni au kijiji cha michezo?!
Wajapan wanamahadili (good manners). Hawa jamaa hawana kitu kama hicho. Na kweli kuna tension kubwa na rangi hapa. This may go further and I dont know what will happen next year wakati wa michezo ya olympic. Bora sikupata ticket nimeshapata sababu ya kuondoka wakati huo.