Wachezaji wanaolipwa pesa ndefu zaidi Ligi Kuu Tanzania Bara

John Gregory

JF-Expert Member
Jul 14, 2019
1,060
1,957
1. Stephane Aziz Ki
images - 2023-05-21T210144.643.jpeg


Stephane Aziz Ki ni mchezaji wa kulipwa ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Young Africans ya Ligi Kuu ya Tanzania. Alizaliwa nchini Ivory Coast, anawakilisha timu ya taifa ya Burkina Faso.

Date of birth: Mar 6, 1996
Place of birth: Adjamé
Cote d'Ivoire
Citizenship: Burkina Faso
Position: midfield - Attacking
Current club: Young Africans SC Young Africans
From : Asec Mimosas
SCJoined:Jul 15, 2022
Contract expires:Jun 30, 2024
Market value : €950k (2,418,783,534.45 Tsh)
Salary (Monthly) : 56,000,000 Tsh

2.Fiston Kalala Mayele
images - 2023-05-21T212825.688.jpeg

Fiston Kalala Mayele, Pia Anajulikana kama Mayele ni mchezaji wa kulipwa wa Kongo ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Ligi Kuu ya Tanzania ya Young Africans na timu ya taifa ya DR Congo.
Date of birth:Jun 24, 1994
Place of birth:Mbuji-Mayi
Zaire
Age:28
Citizenship:
DR Congo
DR Congo
Position:Attack - Centre-Forward
Club:Young Africans SC Young Africans SC
Joined: Aug 1, 2021
From: AS Vita
Contract expires : -
Market Value : €995k (2,533,357,491.34Tsh)
Salary (Monthly) : 52,500,000 Tsh

3.Djigue Diarra
images - 2023-05-21T214030.599.jpeg

Djigui Diarra ni mchezaji wa kandanda wa Mali ambaye anacheza kama golikipa wa klabu ya Ligi Kuu ya Tanzania ya Young Africans na timu ya taifa ya Mali. Pia aliwakilisha nchi yake kwenye Kombe la Dunia la FIFA la U-20 2015, ambapo walifanikiwa kumaliza katika nafasi ya tatu.
Date of birth:Feb 27, 1995
Place of birth:Bamako
Mali
Age:28
Height:1,73 m
Citizenship:
Mali
Mali
Position:Goalkeeper
Club:Young Africans SC Young Africans SC
Joined:Aug 8, 2021
Market value : €650k (1,654,957,155.15 Tsh)
Salary (Monthly) : 42,000,000 Tsh

4.Bernard Morrison
images - 2023-05-21T220006.721.jpeg

Bernard Morrison ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Ghana ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Ligi Kuu ya Tanzania ya Young Africans.

Date of birth:May 20, 1993
Place of birth:Mankessim
Ghana
Age:30
Citizenship:
Ghana
Ghana
Position:Attack - Right Winger
Current club:Young Africans SC Young Africans SCJoined:Jul 4, 2020
From: Motema pembe
Market value : €500k (1,273,043,965.50Tsh)
Salary (Monthly): 38,000,000 Tsh

5.Tuisila Kisinda
images - 2023-05-21T222218.324.jpeg


Tuisila Rossien Kisinda ni mchezaji wa kandanda au mpira wa miguu akiichezea klabu ya Yanga Sc ya Tanzania na timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Date of birth:Dec 20, 1999
Age:23
Citizenship:
DR Congo
DR Congo
Position:Attack - Right Winger
Current club:Young Africans SC Young Africans SC
Joined:Aug 6, 2022
Market value : €480k (1,221,122,365.44Tsh)
Monthly salary : 35,000,000Tsh

6. Yanick Bangala
images - 2023-05-21T222817.717.jpeg

Yannick Bangala Litombo ni mwanasoka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye anacheza kama beki katika klabu ya Yanga.
Date of birth:Apr 12, 1994
Place of birth:Kinshasa
Zaire
Age:29
Citizenship:
DR Congo
DR Congo
Position:midfield Defender
Current club:Young Africans SC Young Africans Sc
Joined:Aug 20, 2021
Market value : €450k / 1,144,918,724.85Tsh
Salary (Monthly) : 32,000,000 Tsh

7. Clatous Chama
images - 2023-05-21T221406.281.jpeg

Chama aliisaidia ZESCO United F.C. kufika nusu fainali za Ligi ya Mabingwa ya CAF kabla ya kusaini mkataba wa miaka 3 na Al Ittihad ya Misri
Date of birth:Jun 18, 1991
Place of birth:Lusaka
Zambia
Age:31
Citizenship:
Zambia
Zambia
Position:midfield - Attacking Midfield
Current club:Simba SC Simba SC
Joined:Jan 14, 2022
Contract expires:Jun 30, 2024
Market value : €320k/814,100,406.40Tsh
Salary (monthly) :25,000,000Tsh

8.Aishi manula
images - 2023-05-21T231026.349.jpeg

Ni mchezaji wa soka wa Tanzania ambaye anacheza kama kipa wa timu ya taifa ya Tanzania[1]. Kisha kuzichezea klabu kadhaa, zikiwemo Azam fc, kwa sasa yupo Simba SC.

Date of birth:Sep 13, 1995

Place of birth:Morogoro Tanzania Age:27

Citizenship: Tanzania

Position:Goalkeeper

Current club:Simba SCSimba SC

Joined:Aug 9, 2017

Market value: €280k/712,331,265.52Tsh

Monthly salary;21,000,000Tsh
 

Attachments

  • images - 2023-05-21T220006.721.jpeg
    images - 2023-05-21T220006.721.jpeg
    29.6 KB · Views: 37
1. Stephane Aziz Ki
View attachment 2630540

Stephane Aziz Ki ni mchezaji wa kulipwa ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Young Africans ya Ligi Kuu ya Tanzania. Alizaliwa nchini Ivory Coast, anawakilisha timu ya taifa ya Burkina Faso.

Date of birth: Mar 6, 1996
Place of birth: Adjamé
Cote d'Ivoire'Ivoire
Citizenship: Burkina Faso
Position: midfield - Attacking
Current club: Young Africans SC Young Africans
From : Asec Mimosas
SCJoined:Jul 15, 2022
Contract expires:Jun 30, 2024
Market value : €950k (2,418,783,534.45 Tsh)
Salary (Monthly) : 56,000,000 Tsh

2.Fiston Kalala Mayele
View attachment 2630562
Fiston Kalala Mayele, Pia Anajulikana kama Mayele ni mchezaji wa kulipwa wa Kongo ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Ligi Kuu ya Tanzania ya Young Africans na timu ya taifa ya DR Congo.
Date of birth:Jun 24, 1994
Place of birth:Mbuji-Mayi
Zaire
Age:28
Citizenship:
DR Congo
DR Congo
Position:Attack - Centre-Forward
Club:Young Africans SC Young Africans SC
Joined: Aug 1, 2021
From: AS Vita
Contract expires : -
Market Value : €995k (2,533,357,491.34Tsh)
Salary (Monthly) : 52,500,000 Tsh

3.Djigue Diarra
View attachment 2630587
Djigui Diarra ni mchezaji wa kandanda wa Mali ambaye anacheza kama golikipa wa klabu ya Ligi Kuu ya Tanzania ya Young Africans na timu ya taifa ya Mali. Pia aliwakilisha nchi yake kwenye Kombe la Dunia la FIFA la U-20 2015, ambapo walifanikiwa kumaliza katika nafasi ya tatu.
Date of birth:Feb 27, 1995
Place of birth:Bamako
Mali
Age:28
Height:1,73 m
Citizenship:
Mali
Mali
Position:Goalkeeper
Club:Young Africans SC Young Africans SC
Joined:Aug 8, 2021
Market value : €650k (1,654,957,155.15 Tsh)
Salary (Monthly) : 42,000,000 Tsh

4.Bernard Morrison
View attachment 2630616
Bernard Morrison ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Ghana ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Ligi Kuu ya Tanzania ya Young Africans.

Date of birth:May 20, 1993
Place of birth:Mankessim
Ghana
Age:30
Citizenship:
Ghana
Ghana
Position:Attack - Right Winger
Current club:Young Africans SC Young Africans SCJoined:Jul 4, 2020
From: Motema pembe
Market value : €500k (1,273,043,965.50Tsh)
Salary (Monthly): 38,000,000 Tsh

5.Tuisila Kisinda
View attachment 2630641

Tuisila Rossien Kisinda ni mchezaji wa kandanda au mpira wa miguu akiichezea klabu ya Yanga Sc ya Tanzania na timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Date of birth:Dec 20, 1999
Age:23
Citizenship:
DR Congo
DR Congo
Position:Attack - Right Winger
Current club:Young Africans SC Young Africans SC
Joined:Aug 6, 2022
Market value : €480k (1,221,122,365.44Tsh)
Monthly salary : 35,000,000Tsh

6. Yanick Bangala
View attachment 2630645
Yannick Bangala Litombo ni mwanasoka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye anacheza kama beki katika klabu ya Yanga.
Date of birth:Apr 12, 1994
Place of birth:Kinshasa
Zaire
Age:29
Citizenship:
DR Congo
DR Congo
Position:midfield Defender
Current club:Young Africans SC Young Africans Sc
Joined:Aug 20, 2021
Market value : €450k / 1,144,918,724.85Tsh
Salary (Monthly) : 32,000,000 Tsh

7. Clatous Chama
View attachment 2630633
Chama aliisaidia ZESCO United F.C. kufika nusu fainali za Ligi ya Mabingwa ya CAF kabla ya kusaini mkataba wa miaka 3 na Al Ittihad ya Misri
Date of birth:Jun 18, 1991
Place of birth:Lusaka
Zambia
Age:31
Citizenship:
Zambia
Zambia
Position:midfield - Attacking Midfield
Current club:Simba SC Simba SC
Joined:Jan 14, 2022
Contract expires:Jun 30, 2024
Market value : €320k/814,100,406.40Tsh
Salary (monthly) :25,000,000Tsh
Hivi hii mishahara ni ya kweli au ndo yale madau aliyokua anatangaza daimondi kwa kila show moja?
 
yani bongo hii kabisa mchezaji anapokea milion 56 per month kwa ligi hii au ipi yani within a year anapokea 560 milion yani azizi ki plus diara kwa mwaka ni wanachukua bilioni nzima hao ni wachezaji 2 tu mkataba wa yanga na sportpesa kwa mwaka ni bilion 4 wachezaji 2 tayariii washakunja bilion 1 bado wachezaji wengine 20 hio faida wanapata wapi sasa.
 
Back
Top Bottom