Ubora wa Kocha Nabi unaweza kuwapa Ubingwa wa Shirikisho timu ya Yanga, na hata kufika mbali zaidi Ligi ya mabingwa mwakani

mngony

JF-Expert Member
Jul 27, 2012
5,212
6,409
Kocha Nabi namsifia sana kutokana kuitengeneza Yanga kucheza kitimu zaidi na mbinu zake katika kuzikabili mechi kubwa

Tukiachana na usajili wa wachezaji wazuri, tuhuma za kuhonga na mbinu nyingine nje ya uwanja ni kwamba huyu kocha ni chachu kubwa sana ya mafanikio ya timu ya Yanga uwanjani

Ukiwaangalia Yanga kikosi kizima ni wacheza wawili tu ndio wenye uhakika wa kuanza kila mechi, mtaani tunasema ' panga pangua' ni Golikipa Diarra na Mshambuliaji Mayele, na ni kwa vile tu viwango vyao ni vikubwa sana. Waliobakia wote hakuna mwenye uhakika wa kuanza, hii ni kwa sababu Yanga inacheza kitimu zaidi kuliko kutegemea mchezaji mmoja mmoja.

Mfano mzuri angalia mechi kubwa za Yanga, dhidhi ya Simba na dhidi ya Rivers United ( ya marudiano). Kikosi chao kilibadilika kwa kiasi kikubwa sana, tofauti na Simba ambao mechi yao dhidi ya Yanga na Wydad kikosi kilikuwa almost ni kilekile. Msimu mzima Nabi amekuwa hivyo.
Simba inajulikana kabisa Kulia Shomari, kushoto Hussein, kati Onyago na Inonga, kati na kuendelea ni hivyo hivyo labda mtu aumie.

Ubora huu wa Nabi naamini utawapa mafanikio makubwa mashindano ya kimataifa na wana nafasi kubwa kuchukua kombe la shirikisho hata mwakani au miaka michache inayo wananafasi kufika mbali ligi ya Mabingwa hata fainali au kuchukua. Sasa hivi gape baina ya timu zetu za Tanzania na Afrika Kaskazini na Magharibi limepungua. Simba imefika mara kadhaa Robo na kote kutolewa kwa tofauti ndogo sana hivyo naamini haya makombe kwa miaka hii kuna nafasi ya kuyabeba. Nakumbuka Simba kutolewa na Kaizer Chiefs na Orlando kwa tofauti ndogo sana.

Kama mshabiki wa Simba naukubali uwezo wa Kocha Nabi Nasreddeen na naamini watatamba zaidi ya Simba kimataifa
 
Ila kuna wakati kama binadam, huwa anazingua. Na katika hili, mashabiki wenzangu wa Yanga mniwie tu radhi.

Mfano mpaka kesho sijawahi kuelewa aliwaza nini kumuacha nje beki kisiki, na aliyeko kwenye kiwango bora kabisa kwa sasa (Ibrahim Bacca), kwenye ile mechi dhidi ya simba.


Huyu dogo kila anapocheza pale nyuma, uwezekano wa timu kuonfoka na clean sheet ni mkubwa sana!

Pia apunguze kumuamini sana dogo Clement (Warid) Mzize kwenye mechi kubwa, na zinazohitaji maamuzi. Maana bado anahitaji muda zaidi wa kuimarika.
 
Kocha Nabi namsifia sana kutokana kuitengeneza Yanga kucheza kitimu zaidi na mbinu zake katika kuzikabili mechi kubwa

Tukiachana na usajili wa wachezaji wazuri, tuhuma za kuhonga na mbinu nyingine nje ya uwanja ni kwamba huyu kocha ni chachu kubwa sana ya mafanikio ya timu ya Yanga uwanjani

Ukiwaangalia Yanga kikosi kizima ni wacheza wawili tu ndio wenye uhakika wa kuanza kila mechi, mtaani tunasema ' panga pangua' ni Golikipa Diarra na Mshambuliaji Mayele, na ni kwa vile tu viwango vyao ni vikubwa sana. Waliobakia wote hakuna mwenye uhakika wa kuanza, hii ni kwa sababu Yanga inacheza kitimu zaidi kuliko kutegemea mchezaji mmoja mmoja.

Mfano mzuri angalia mechi kubwa za Yanga, dhidhi ya Simba na dhidi ya Rivers United ( ya marudiano). Kikosi chao kilibadilika kwa kiasi kikubwa sana, tofauti na Simba ambao mechi yao dhidi ya Yanga na Wydad kikosi kilikuwa almost ni kilekile. Msimu mzima Nabi amekuwa hivyo.
Simba inajulikana kabisa Kulia Shomari, kushoto Hussein, kati Onyago na Inonga, kati na kuendelea ni hivyo hivyo labda mtu aumie.

Ubora huu wa Nabi naamini utawapa mafanikio makubwa mashindano ya kimataifa na wana nafasi kubwa kuchukua kombe la shirikisho hata mwakani au miaka michache inayo wananafasi kufika mbali ligi ya Mabingwa hata fainali au kuchukua. Sasa hivi gape baina ya timu zetu za Tanzania na Afrika Kaskazini na Magharibi limepungua. Simba imefika mara kadhaa Robo na kote kutolewa kwa tofauti ndogo sana hivyo naamini haya makombe kwa miaka hii kuna nafasi ya kuyabeba. Nakumbuka Simba kutolewa na Kaizer Chiefs na Orlando kwa tofauti ndogo sana.

Kama mshabiki wa Simba naukubali uwezo wa Kocha Nabi Nasreddeen na naamini watatamba zaidi ya Simba kimataifa
Ndiyo maana anaitwa Professor
 
Nabi ni kocha wa kisasa anachojali ni matokeo sio kushinda bao nyingi

Bao nyingi zije automatically anachojali ni vipi timu imecheza?

Ni kama pep tu yeye anaweza shinda bao moja then aka control game mpaka mwisho..!

Ligi ndio uchezwa vile sio kucheza kama arsenal mechi 7 kikosi kile kile !!!

Nabi anatakiwa kuwa mwalimu wa makocha wengi!!
 
Ila kuna wakati kama binadam, huwa anazingua. Na katika hili, mashabiki wenzangu wa Yanga mniwie tu radhi.

Mfano mpaka kesho sijawahi kuelewa aliwaza nini kumuacha nje beki kisiki, na aliyeko kwenye kiwango bora kabisa kwa sasa (Ibrahim Bacca), kwenye ile mechi dhidi ya simba.


Huyu dogo kila anapocheza pale nyuma, uwezekano wa timu kuonfoka na clean sheet ni mkubwa sana!

Pia apunguze kumuamini sana dogo Clement (Warid) Mzize kwenye mechi kubwa, na zinazohitaji maamuzi. Maana bado anahitaji muda zaidi wa kuimarika.
Hii issue ya kumuamini Mzize kwenye Game kubwa na Muhimu ni Risk kubwa sana dogo ajawahi kufit game zote kubwa ila nashangaa bado Nabi anampatia dakika nyingi uwanjan wakati dogo anazidiwa
 
Ila kuna wakati kama binadam, huwa anazingua. Na katika hili, mashabiki wenzangu wa Yanga mniwie tu radhi.

Mfano mpaka kesho sijawahi kuelewa aliwaza nini kumuacha nje beki kisiki, na aliyeko kwenye kiwango bora kabisa kwa sasa (Ibrahim Bacca), kwenye ile mechi dhidi ya simba.


Huyu dogo kila anapocheza pale nyuma, uwezekano wa timu kuonfoka na clean sheet ni mkubwa sana!

Pia apunguze kumuamini sana dogo Clement (Warid) Mzize kwenye mechi kubwa, na zinazohitaji maamuzi. Maana bado anahitaji muda zaidi wa kuimarika.
Ukweli mtupu.
 
Back
Top Bottom