King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,332
- 6,039
Kwakweli ila nina imani Newcastle wamejifunza. Wew si unaona sisi manchester united tunachofanya ni kumalizana na mchezaji pamoja na wakala wake ndio tunaenda kumalizana na club ya mchezaji hii imetusaidia sana mfano unakumbuka kwa mbeumo. Kuhusu gapko, jamaa anajua sana. Ila siku zote wenye maamuzi ni wamiliki na pamoja na michango ya mashabiki.Newcastle bhana kama ilivyotokea kwa Hugo na huyu Munoz wembe ni ule ule... Newcastle walishamalizana kabla ya vipimo vya afya dogo akasema apewe masaa 24 hivi ndio atasaini then wakaja Liverpool kumaliza maneno. Newcastle hawakuelewa mapema kwamba Liverpool alishaongea na wakala wajuzwe hali kama Ile ikitokea.
Tushasajili winga mmoja hakua na msimu mzuri sanaa upande wa magoli na assist lakin ana kipaji na chini ya Iraola nategemea kuona namba zake zikipanda. Dogo yupo versatile sana anacheza kati, winga zote .... Angalau sasa Diaz anapata mridhi sahihi. Je mnasema aje Gapko asepe zake ama kwa kua pale kuna Chiesa, Munoz na Ngumoho.
YNWA
Heat map for Munoz
View attachment 3610443
He plays in both right and left flanks, he is more comfortable on the left side as a blasting winger.
Important to note he is 22 yrs old Spain international player. Yupo kikosi Cha kombe la Dunia.
Has passed through academy of both Barcelona and Real Madrid.
Last season he was 3rd fastest player covering 35.46 km/h in La Liga.
Attempted take ons 215 was third with Vinicious at 241 and Yamal at 285.
With this boy we have a player guys. under Iraola he will raise💥💥💥.
YNWA
Tutamuona
Sina hamu na porojo za watu humu,Sawa sawa! Saint Anne sasa hivi huamini tena porojo mpaka mcheza umuone uwanjani 😀
Yeye kama kawaida yakeCaptain umeshaanza mapema 😂
Asije kugeuka Darwin Nunez 😀
MosDef simamia hukoMosDef where are you! We need your insights
Nyie mliosema Slot tungemuacha ametupa EPLAcha uoga saivi mna kocha.
Mmetukosea sana mngemuacha walau mcheze na sisi msimu ujao home and away.Nyie mliosema Slot tungemuacha ametupa EPL
Ili tuendelee kuteseka
Newcastle pesa ipo ila bado hawajapata proper negotiators kumaliza haya mambo kimya kimya na kwa wakati ingawa wachezaji wengi wazuri wanataka klabu inayopambania makombe na Newcastle hizo levo bado bado.Kwakweli ila nina imani Newcastle wamejifunza. Wew si unaona sisi manchester united tunachofanya ni kumalizana na mchezaji pamoja na wakala wake ndio tunaenda kumalizana na club ya mchezaji hii imetusaidia sana mfano unakumbuka kwa mbeumo. Kuhusu gapko, jamaa anajua sana. Ila siku zote wenye maamuzi ni wamiliki na pamoja na michango ya mashabiki.
🤓🤓🤓🤓🤓Kazi kazi ndugu yangu najua anaingia ligi ngumu sanaa , kwa stat zake kuna dalili njema.Captain umeshaanza mapema 😂
Asije kugeuka Darwin Nunez 😀
Ndio hapo Newcastle wanapofeli.Newcastle pesa ipo ila bado hawajapata proper negotiators kumaliza haya mambo kimya kimya na kwa wakati ingawa wachezaji wengi wazuri wanataka klabu inayopambania makombe na Newcastle hizo levo bado bado.
Kuhusu Gapko anajua ila kujua kwako bado kabisa maana katika nafasi 30 anafunga 2 au 1 huyo ni mzigo kwetu ni wakati asepe tu akiwa na soko hivi.
YNWA
Msimu ujao tunawapiga tena nje ndani na hivi mnaanzia kwenu.View attachment 3611231
Mkeka tayari.
Ratiba ya ligi , EPL msimu ujao wa 2026 2027.
Tunaanza ugenini Magpies.
YNWA
Bila wasimamizi wa ligi kuweka utaratibu wa klabu kutumia pesa inayozalishwa na klabu yenyewe walahi Hawa Newcastle tusingewagusa sokoni na wenyewe wanaamini baadhi ya vipengele vimewekwa kwa ajili Yao kwa timu kubwa kuhofia pesa za mafuta🤓🤓🤓🤓na utaeelewa ukimtazama alipokua Manchester City miaka hio kabla ya ujio wa Mansour.Ndio hapo Newcastle wanapofeli.
😃😃😃😃Msimu ujao tunarudisha mfumo wetu pendwa hivyo weka maneno ya akiba ndugu yangu.Msimu ujao tunawapiga tena nje ndani na hivi mnaanzia kwenu.
Manchester city sijui tu kwanini mpaka sasa hawaja mchukulia hatua.Bila wasimamizi wa ligi kuweka utaratibu wa klabu kutumia pesa inayozalishwa na klabu yenyewe walahi Hawa Newcastle tusingewagusa sokoni na wenyewe wanaamini baadhi ya vipengele vimewekwa kwa ajili Yao kwa timu kubwa kuhofia pesa za mafuta🤓🤓🤓🤓na utaeelewa ukimtazama alipokua Manchester City miaka hio kabla ya ujio wa Mansour.
YNWA
😁😁😁 Gen gen pressing au?😃😃😃😃Msimu ujao tunarudisha mfumo wetu pendwa hivyo weka maneno ya akiba ndugu yangu.
YNWA
Rb leizpg anawasubiria kwa hamu muingie kichwa kichwa awanyooshe.Diamonde loading💣💣💣. Boy is a time bomb.
Lakin ndugu zangu hivi huyu dogo ana hio value ya Euro €120m🥸🥸🥸🥸🥸🤓🤓🤓🤓🤓🤓.
YNWA