Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wana Liverpool wenzangu.poleni sana
Tuendelee kuwa nyuma ya team
Tutakua sawa tu
 
Nyuma kumeoza na bado unataka kumpa mkataba Konate 🤣🤣🤣🤣
 
Nyuma kumeoza na bado unataka kumpa mkataba Konate 🤣🤣🤣🤣

Konate si wa kunyimwa mkataba tu bali anapaswa kuunganishwa na kina Niffer kwenye kesi ya Uhaini.
Anachokofanya Konate na VVD ni zaidi ya kuchoma vituo vya mwendo Kasi.
 
Tuwe nyuma ya team
Ups and downs kawaida kwenye soka
Nina imani bado na Konate,anapitia declines of form lkn atakuja kuwa imara zaidi
Tutawafunga WHU
 
Salah hatakiwi kuwa dropped
Anatakiwa azidi kuaminiwa ili apate kujiamini zaidi
Anyway Slot anajua zaidi yetu
Once a Red,will remain a Red
 
Arsenal nao ni wapuuzi tu wameshaona msimu huu kila Timu inajikongoja ingawa hii game wanashinda lakini wanashindwa kuvaa mentality ya kibingwa
 
Matokeo pekee hayawezi kumdefine kocha aliye kwenye transition ya system, kikosi na majeruhi.
No coach in world football is judged after 3–4 months, especially kwenye klabu ambayo imepitia mabadiliko makubwa kama Liverpool.

Hata Klopp mwenyewe:

Alipoteza mechi nyingi mwaka wake wa kwanza.

Alihitaji transfer windows 2–3 kujenga identity.

Alijenga timu taratibu baada ya kupata wachezaji wenye right profiles.

So kwa Slot, bado tupo kwenye zile zile hatua ambazo Klopp alipitia 2015–2017.
This is a rebuilding phase, not a “results-only” phase.

Kibaya ni watu kutaka “prime Klopp football” na “peak consistency” ndani ya miezi mitatu

hilo ni fantasy football, si real football.
Transition huwa chungu, lakini ndio msingi wa success.

Na kama tunatafuta identityidentity mpya haizaliwi ndani ya weekend tatu… inahitaji muda, stability na wachezaji wanaofaa, otherwise tutakuwa tunaijadili tu kwa hasira badala ya kuielewa objectively.

Nisaidieni wakuu The MoNA Captain Marvelous 😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom