Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Bila shaka kwetu kuhusu Coutinho ilikua pigo maana dogo alikua moto sana lakini wachezaji wa Brazil na La Liga hua ni Pete na kidole hivyo mauzo yake ndio kwa sehemu kubwa yamechangia mafanikio yetu sasa kwani kipindi kile policy ilikua noma sana kwa Klopp bila kuuza alikua hapati wachezaji top quality....
Wale waarabu wa Newcastle hawajasoma huu mchezo wa kuuza na kununua vizuri hivyo wataelewa tu kwamba ni mwimba kumbakisha mchezaji asie na hamu ya kubaki alipo.

YNWA
 
Mimi kiukweli siyo mshabiki wa mabeki wafupi, kuanzia enzi za A.Moreno nilijifunza mengi mno.
Aafu kipindi hiki ukitazama ma beki wengi wa pembeni LB na RB sio warefu kama zamani, wanachoangalia ni Uwezo wao kushambulia sana kuliko kuzuia ambapo kwa msaada mkubwa hio kazi anafanya DM.
Mpira umebadilika sana.

YNWA
 
Aafu kipindi hiki ukitazama ma beki wengi wa pembeni LB na RB sio warefu kama zamani, wanachoangalia ni Uwezo wao kushambulia sana kuliko kuzuia ambapo kwa msaada mkubwa hio kazi anafanya DM.
Mpira umebadilika sana.

YNWA.

Mfumo huo utakusumbua ukikutana na mashambulizi ya kushtukiza.

Una- expose team na kuiweka kwenye hatari ya kufungwa magoli mengi... Reference..Aston villa 7 Liverpool 2 (sarr)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…