King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,461
- 7,456
Yaani umempatia thank you mapema hivyo 😀😀😀Welcome to Liverpool Giovanni Leoni & Marc Guehi
You'll Never Walk Alone from now on
Thank you Konate you've done a big things to us, we'll never forget your contribution toward our success 👏
Bila shaka kwetu kuhusu Coutinho ilikua pigo maana dogo alikua moto sana lakini wachezaji wa Brazil na La Liga hua ni Pete na kidole hivyo mauzo yake ndio kwa sehemu kubwa yamechangia mafanikio yetu sasa kwani kipindi kile policy ilikua noma sana kwa Klopp bila kuuza alikua hapati wachezaji top quality....Haya ni yale aina ya mambo ambayo waswahili wanasema 'yasikie kwa jirani' ila yakikukuta ni noma. Sisi Fabregas naye alileta haya mambo mpaka akatumia pesa zake mwenyewe. Barcelona kulimshinda mpaka hata kurudi England aliona aibu kurudi Arsenal na akaenda Chelsea. Uzuri ni story ya Fabregas iliisha vizuri kwake maana mafanikio aliyopata Chelsea, asingepata kwetu.
Yaani umempatia thank you mapema hivyo 😀😀😀
He is faster than vvdKonate kwakweli akae pembeni ni beki mzito sana
Vipi VVD mbona katengeneza penalty, pia upande wa kerkez ulikua uchochoro 😀😀😀, daaahAmetuchoma kwenye ngao kizembe sana ile ni hatari kwenye kutafuta mafanikio sisi sio wa kupoteza ngao kizembe vile.
Tunataka sura mpya
Yaani kuvurunda kwa mechi moja unamlaumu kama vile yupo hivyo siku zote😳😳Konate kwakweli akae pembeni ni beki mzito sana
Sahihi 100%He is faster than vvd
Nilikuwa namuona Gakpo anarudi kusaidia mpaka nikawa najiuliza Kerkez yupo wapi?😂😂Vipi VVD mbona katengeneza penalty, pia upande wa kerkez ulikua uchochoro 😀😀😀, daaah
Mimi kiukweli siyo mshabiki wa mabeki wafupi, kuanzia enzi za A.Moreno nilijifunza mengi mno.Nilikuwa namuona Gakpo anarudi kusaidia mpaka nikawa najiuliza Kerkez yupo wapi?😂😂
Btw Munoz alikuwa wa moto siku hiyo, nilipenda kazi yake
🤣🤣🤣🤣🤣Ikifika penati Saint Anne hajawai kumwamini AB1 haha ila kwa mechi kama mechi bila penati AB1 ni levo zingine kabisaaa.
Sevu bora kwangu za huyu bwana AB1 ni Ile ya Champions League vs Napoli🔥🔥🔥🔥 aaaa Ile hapana noma sanaa.
Aafu kipindi hiki ukitazama ma beki wengi wa pembeni LB na RB sio warefu kama zamani, wanachoangalia ni Uwezo wao kushambulia sana kuliko kuzuia ambapo kwa msaada mkubwa hio kazi anafanya DM.Mimi kiukweli siyo mshabiki wa mabeki wafupi, kuanzia enzi za A.Moreno nilijifunza mengi mno.
Aafu kipindi hiki ukitazama ma beki wengi wa pembeni LB na RB sio warefu kama zamani, wanachoangalia ni Uwezo wao kushambulia sana kuliko kuzuia ambapo kwa msaada mkubwa hio kazi anafanya DM.
Mpira umebadilika sana.
YNWA.
DM Mwenyewe hatuna😄Aafu kipindi hiki ukitazama ma beki wengi wa pembeni LB na RB sio warefu kama zamani, wanachoangalia ni Uwezo wao kushambulia sana kuliko kuzuia ambapo kwa msaada mkubwa hio kazi anafanya DM.
Mpira umebadilika sana.
YNWA