Akija huyo chalii ni kama mmejihakikishia kuendelea kukitunza kikombe cha EPL na huenda hata mkachukua UCL 😀😀😀.Ni sahihi kabisa kuna uhaba wa ma striker sokoni hivyo Sporting walisema alama za nyakati bahati haikua kwao maana wanaelewa kumbakisha mchezaji asietaka kubaki ni hujuma kwa klabu inayofuata ...
Isak kilichobaki ni yeye akomae na wakala wake kufosi huu usajili ufanyike.
Ila Mkuu huyu dogo akija na Salah ndio point man wetu huoni kama tutapata ishu fulani fulani design kama Mane na Salah🤣🤣🤣
YNWA
Nyumbu Bado hao 🤣..kama ndo wataenda na wachezaji haohao kina ugate labda watapanda mpk nafasi ya 10Akija huyo chalii ni kama mmejihakikishia kuendelea kukitunza kikombe cha EPL na huenda hata mkachukua UCL 😀😀😀.
Kule nyuma sijui kama kila timu itawaacha salama ila clean sheets zitakuwa siyo ishu. Mtakuwa mnashinda 4-2, 5-3, nk, ilimradi ushindi.
Sisi tuna defense nzuri tu, ila nataka tuone hawa washambuliaji wetu watakuwaje msimu huu. Maana na Gyökeres pale mbele, hata Kai Havertz atakuwa anapiga magoli 20 kwa msimu 🙂😀. Nategemea kuona tukiua timu 4-0, 5-0 na 6-0 kwa wingi.
Sisi na nyie, pamoja na Chelsea na City (na united wakiamka vizuri msimu huu) naona tukipeana ushindani mzuri tena msimu huu.
🤓🤓🤓🤓Tunarudi enzi zile za gengenpressings yaani tunashinda 5 4 tia maji haswaaa mbona patakua patamu sanaaaa.Akija huyo chalii ni kama mmejihakikishia kuendelea kukitunza kikombe cha EPL na huenda hata mkachukua UCL 😀😀😀.
Kule nyuma sijui kama kila timu itawaacha salama ila clean sheets zitakuwa siyo ishu. Mtakuwa mnashinda 4-2, 5-3, nk, ilimradi ushindi.
Sisi tuna defense nzuri tu, ila nataka tuone hawa washambuliaji wetu watakuwaje msimu huu. Maana na Gyökeres pale mbele, hata Kai Havertz atakuwa anapiga magoli 20 kwa msimu 🙂😀. Nategemea kuona tukiua timu 4-0, 5-0 na 6-0 kwa wingi.
Sisi na nyie, pamoja na Chelsea na City (na united wakiamka vizuri msimu huu) naona tukipeana ushindani mzuri tena msimu huu.
Rio making us forget Diaz is gone really fast man.Dk ya pili Rio Ngumoha
Dk ya tano tu Nunez kaweka mpira wavuni 😂😂😂
Kina Van Dijk watakuwa fit naona. Kitachowasumbua labda ni uchovu wa kucheza mechi nyingi.🤓🤓🤓🤓Tunarudi enzi zile za gengenpressings yaani tunashinda 5 4 tia maji haswaaa mbona patakua patamu sanaaaa.
I forbid mapema sana tuepukane majeruhi kwa ma beki wetu muhimu Konate na VVD maana itakua disaster aiseee.
Sina shaka na magoli mbali ni kuzuia ndio nakosa pozi kabisaaaa.
Kwako Emirates mmesajili vyema na bado naona Arteta anaedelea kutulia macho mabeki kadhaa huku na huku naamini utakua na kikosi Cha ushindi na pengine ndio msimu wa mwisho wa Arteta asipoleta ubingwa Emirates kwani hana Cha kusingizia ...
Chelsea wanahitaji viongozi pale klabuni. Mbio za EPL hua kuna Factors nyingi sana ambazo zinasimama uweze kutoka mshindi. Talent pekee haitoshi aisee. Manchester City wanahitaji approach mpya timu zimeshawajulia na kwenda nao sawa . Usajili wa kocha msaidizi Pep Ljinders utakua umekuja wakati mwafaka kwa Pep maana atawapa new dimension...
Manchester United ni wale wale hakuna jipya ...kupata ubingwa Uingereza panahitaji utulivu sio short cut za Manchester United...
YNWA
Dogo Kafunga goli tamu sanaRio making us forget Diaz is gone really fast man.
YNWA
Saint Anne mwalimu wa Bobby bado aongeze ongeze bidii,, huyu ilibidi tumtafutie kibinti cha Buza huko au Mbagala , kimfundishe uswahili.😎😎😎😎😎Dogo anawakumbali ma jogoo hataki kwingine zaidi ya ma jogoo wa jiji.
He is coming home🔥🔥😃😃😃😃😃
YNWA
Huyu dogo Huu msimu apewe Dakika za kutoshaa.
He is just getting started.....
Kocha huyu sio kukurupuka aisee atakaa nae na kumpa ramani sahihi ya kukuza kipaji chake.Huyu dogo Huu msimu apewe Dakika za kutoshaa.
😂😂😂😂Ticha wangu Saint Anne popote ulipo helooo💪🏿💪🏿🔥🔥Saint Anne mwalimu wa Bobby bado aongeze ongeze bidii,, huyu ilibidi tumtafutie kibinti cha Buza huko au Mbagala , kimfundishe uswahili.
Nilishamwambia kuwa atajichanganya tuSaint Anne mwalimu wa Bobby bado aongeze ongeze bidii,, huyu ilibidi tumtafutie kibinti cha Buza huko au Mbagala , kimfundishe uswahili.
Wee