John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Jamaa huenda hata alikimbia harakaharaka aje atuonyeshe 🤣Wamepachika kichwa cha Isak kwenye kiwiliwili cha nani tena hapa? 😀
Jamaa huenda hata alikimbia harakaharaka aje atuonyeshe 🤣Wamepachika kichwa cha Isak kwenye kiwiliwili cha nani tena hapa? 😀
😂😂😂😂😎😎😎 Saint Anne njooo huku kuna unaitwaaaa.Captain Marvelous vipi umeagiza huo mzigo? Naomba umpelekee Miss Liverpool Saint Anne 😂😂😂
😎😎😎😎😎Dogo anawakumbali ma jogoo hataki kwingine zaidi ya ma jogoo wa jiji.Wamepachika kichwa cha Isak kwenye kiwiliwili cha nani tena hapa? 😀
NitamporaCaptain Marvelous vipi umeagiza huo mzigo? Naomba umpelekee Miss Liverpool Saint Anne 😂😂😂
Sawa. Ni kwamba tu ni wazi kabisa hiyo si picha ya Isak. Inaonekana kabisa kuna mtu ameweka (photoshop) kichwa cha Isak kwenye mwili wa mtu mwingine. Checki tu hapi chini ya kidevu kwenye shingo....😎😎😎😎😎Dogo anawakumbali ma jogoo hataki kwingine zaidi ya ma jogoo wa jiji.
He is coming home🔥🔥😃😃😃😃😃
YNWA
😂😂😂😂Ogopa sana haya mamboz.Sawa. Ni kwamba tu ni wazi kabisa hiyo si picha ya Isak. Inaonekana kabisa kuna mtu ameweka (photoshop) kichwa cha Isak kwenye mwili wa mtu mwingine. Checki tu hapi chini ya kidevu kwenye shingo....
Pia sijui kama Isak ameshafikisha tattoos zote hizo kwenye mkono...
Imehuzinisha sana nimesoma press conference ya Arne Slot na yeye inaonekana hiki kifo cha Jota kimewaumiza wapenda soka duniani koteNi mwezi sasa umepita bila Jota duniani💔
😂😂😂😂Ogopa sana haya mamboz.
Newcastle kwenye hili wameshika karata zote upande mmoja kwa kua dogo bado ana mkataba nao lakini pia lazima waelewe kumbakisha klabuni bila ridhaa yake ni hatareee zaidi , tuna uzoefu na ishu ya Coutinho.
Binafisi nina reservation na hii dili ya Isak kwa sababu ya majeruhi ya huyu dogo lakini kama akitua nitamsapoti kwa kuvaa Uzi pendwa wa ma jogoo.
YNWA
"Captain, come on now, get that shoe for our Miss 💃💕
Amefanya jambo njema. Hii dili ipo 50/50 inaweza kufanikiwa au la kwa kua Liverpool hawapo desperate sanaaaa hivyo dogo itabidi afosi mambo klabuni kwake🙈🙈🙈
🤓🤓🤓🤓🤓🤓 Definitely good idea."Captain, come on now, get that shoe for our Miss 💃💕
We Saint Anne nakupigia debe upate kiatu kutoka LFC store 🤣🤣🤣🤓🤓🤓🤓🤓🤓 Definitely good idea.
YNWA
Nimeona juhudi zako za kunipambaniaWe Saint Anne nakupigia debe upate kiatu kutoka LFC store 🤣🤣🤣
Sijui migomo ndiyo mpango mzima kule Sweden? Maana Gyökeres alileta gumzo na kugoma kufanya mazoezi juu ya makubaliano ya maneno tu bila maandishi na Sporting Director ambaye baadae aliondoka na kwenda City. Gyökeres akamomalia makubaliano yale na Sporting Director mpya, na of course huyu mpya akagoma. Hatimae tulimpata Gyökeres kwa bei ya chini sana ya release clause yake, ila kila mmoja alifika amechoka sana.Amefanya jambo njema. Hii dili ipo 50/50 inaweza kufanikiwa au la kwa kua Liverpool hawapo desperate sanaaaa hivyo dogo itabidi afosi mambo klabuni kwake🙈🙈🙈
YNWA
🤣🤣🤣🤣🤣Nomaa sana Miss Liverpool wetu anastahili yupo na sisi iwe jua iwe mvua yupo sana tu.We Saint Anne nakupigia debe upate kiatu kutoka LFC store 🤣🤣🤣
Ni sahihi kabisa kuna uhaba wa ma striker sokoni hivyo Sporting walisema alama za nyakati bahati haikua kwao maana wanaelewa kumbakisha mchezaji asietaka kubaki ni hujuma kwa klabu inayofuata ...Sijui migomo ndiyo mpango mzima kule Sweden? Maana Gyökeres alileta gumzo na kugoma kufanya mazoezi juu ya makubaliano ya maneno tu bila maandishi na Sporting Director ambaye baadae aliondoka na kwenda City. Gyökeres akamomalia makubaliano yale na Sporting Director mpya, na of course huyu mpya akagoma. Hatimae tulimpata Gyökeres kwa bei ya chini sana ya release clause yake, ila kila mmoja alifika amechoka sana.
Tuone Isak atafikishana wapi na Newcastle.