mainabaina
Member
- Dec 28, 2013
- 89
- 190
Much congratulations kwa Kaka yangu Mane
Kila la kheri kwake.UJUMBE WA LUIS DIAZ
Miaka mitatu na nusu ambayo nitaithamini milele. Nilikuja nikiwa na ndoto zote za dunia, na sasa ninaondoka nikiwa na fahari kwa yote tuliyofanikisha pamoja.
Nimekutana na watu wa wazuri, wachezaji wenzangu wa kuvutia, makocha waliyonisaidia sana, na mashabiki wa kipekee. Liverpool ni timu ya kipekee kweli, na nitawahifadhi wote moyoni mwangu. Safari yangu inaishia hapa, na ni jambo la kuridhisha sana kuangalia nyuma na kutambua furaha tuliyokuwa nayo.
Sio tu kwa sababu ya makombe tuliyoshinda, bali kwa mshikamano na urafiki uliotuwezesha kufanikisha kila kitu. Kulikuwa na nyakati nzuri na mbaya, kama kawaida ya maisha, lakini daima kulikuwepo na ukweli. Kama inavyopaswa kuwa kwenye familia. Inatia moyo kuondoka nikiwa na hisia za kutimiza wajibu, na zaidi ya yote, kuondoka nikiwa bingwa. Ingekuwa kwaheri kamilifu kama tusingempoteza mmoja wetu kwa njia ya kusikitisha sana.
Kama nilivyosema, na narudia, nawabeba nyote moyoni mwangu, lakini mmoja hasa: Diogo. Sitamsahau kamwe. Hatutamsahau kamwe. Asanteni kwa kila kitu.
YNWA🔴
CHANZO: LUIS DIAZ


Haya makombe ya Pre-season waachieni Arsenyau wasio na uhakika na major trophies.Winga machachari sana aisee. Majeruhi yakae mbali sanaaa nae ili atupe burudani msimu ujao.Huyu Ngumoha ,, ni fundi na anamikimbio ya VINI kabisa.😃
Nimekusoma vyema Mkuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya makombe ya Pre-season waachieni Arsenyau wasio na uhakika na major trophies.
Mshana Jr anakwambia katika ulimwengu wa kiroho kushangilia makombe haya ni kujitia nuksi kabla ya kuanza kwa ligi.
Kama vipi mkifika England wakabidhini tu Arsenyo hilo sinia wakaliweke kwenye kabati lao, ila msijiroge mkaliweka kwenye kabati moja na kombe lenu la PL mlilobeba msimu uliopita. View attachment 3425581
When watching him ... he will have to really put on some muscle … he gets out of it by riding challenges well but needs better decision making”😃😃😃😃Usishangae dogo akawa ndio msaidizi wa Gapko msimu ujao.
Labda Slot ameona amepata Lamal kwa kwetu😎😎😎😎
YNWA
Yaani huyu dogo anatakiwa apewe mkataba mpaka 2035🤣🤣🤣🤣Aisee huyu dogo ananikumbusha Raheem Sterling alianza kama hivi
Kwa hiyo mnataka na huyu mmpeleke City halafu Chelsea halafu ndiyo aje kwetu akiwa ameshachoka?Aisee huyu dogo ananikumbusha Raheem Sterling alianza kama hivi
Kwa hiyo mnataka na huyu mmpeleke City halafu Chelsea halafu ndiyo aje kwetu akiwa ameshachoka?


Usijali nyie mtapewa kwa mkopo. Huyu ni kumletea Isak ili awe mtulivuView attachment 3425987
Hata mbuyu ulianza kama mchicha eti....
Working hard sky is the limit 🔥
YNWA
Isak ashasema yes to Liverpool anasubiri tu Newcastle wafungue milango ya majadiliano.Huyu ni kumletea Isak ili awe mtulivu
At 16yrs I would say he is way ahead of time mate ..When watching him ... he will have to really put on some muscle … he gets out of it by riding challenges well but needs better decision making”
Kwa hiyo mnataka na huyu mmpeleke City halafu Chelsea halafu ndiyo aje kwetu akiwa ameshachoka?