Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nahisi Salah anaondoka january
 
Tukumbuke kuna pengo la marehemu

Na tulikua na cf wawili tu wa maana
Ishu hapa ni ku balance matumizi baada ya mauzo ... Elliott, Doak, Diaz, Nunez, Cheisa nk wako sokoni endapo klabu atapata mkwaja wao mapema naamini tutegemee wachezaji zaidi wapya...
Nina hofu sana na 3 5 2 1 etc inanipa shinda umri wa VVD ku handle intensity mwanzo mwisho bila kua na mbadala wake na tukumbuke washirika wale pale nyuma kati ni Konate na Gomez ambao wote ni pancha muda wowote... Nina mashaka na ukuta unahitaji reinforcement dirisha hili.

YNWA
 
Your browser is not able to display this video.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„Mambo ndio kama yalivyo.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…