Tukumbuke kuna pengo la marehemuInawezekana kabisa ikwa hivyo bado Nunez anaweza kuleta mafanikio kama msimu uliopita alisaidia parefu sana.
Diaz ndio sioni akibakia huyu.
YNWA
Nahisi Salah anaondoka januaryHenry akaunti yake imedukuliwa SI bure aisee.
Dirisha nili wanamwaga sana ela lakini subiri soon utaona wanaanza mauzo .. ukumbuke pia washauza Trent kwa 10m, Quansah 35m na Kelleher 18m, Philips etc hivyo japo wametoa ela wameanza kurejesha kiasi zilipotoka.....
Bila usajili wa DM na beki mmoja tutapata shinda ndugu na kwaka dirisha bado lipo wazi ngoja tuone namna tunavyoingia vitani kutetea ubingwa wetu.
YNWA
Ishu hapa ni ku balance matumizi baada ya mauzo ... Elliott, Doak, Diaz, Nunez, Cheisa nk wako sokoni endapo klabu atapata mkwaja wao mapema naamini tutegemee wachezaji zaidi wapya...Tukumbuke kuna pengo la marehemu
Na tulikua na cf wawili tu wa maana
Tukumbuke kuna pengo la marehemu
Na tulikua na cf wawili tu wa maana
Mido na DefenceKikosi Cha leo
View attachment 3419646
Matokeo ya Leo
View attachment 3419649
Magoli yote tumepigwa kaunta.
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huo mkeka wako kuna wahuni wachache walikaa pale Anfield wakajiandikia.View attachment 3419680
Hziyech22 , Flano , HENRY14 [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1303][emoji1303]mkeka ndio huu . Kwa wale wanaobeti ndugu zangu ukweli May 2026 hautapishana sanaaa na huu utabiri[emoji851][emoji851][emoji851]
YNWA
Weka 1m kwa Sunderland utajirike kinoma.View attachment 3419680
Hziyech22 , Flano , HENRY14 π₯π₯π₯ππ»ππ»mkeka ndio huu . Kwa wale wanaobeti ndugu zangu ukweli May 2026 hautapishana sanaaa na huu utabiriπ€π€π€
YNWA
Pa1 na mabilioni waliotumia pre season tu wanafuliwa kama nguo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huo mkeka wako kuna wahuni wachache walikaa pale Anfield wakajiandikia.