Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Ni kinyume chakeSasa kama Stevie G kipindi anacheza, yeye mwenyewe amedai alikuwa bado na makamasi 👃👃
Nilikuwa tayari mkubwa kama Gerrard
Ni kinyume chakeSasa kama Stevie G kipindi anacheza, yeye mwenyewe amedai alikuwa bado na makamasi 👃👃
Gareth Barry alikuwa bonge la mido, tukashindwa kumchukua akaenda City, Mzee Rafa alikuwa na kipindi kigumu sana kupata wachezaji aliokuwa anawatakambadala alikua somebody barry wa aston villa (alikua swahiba wa SG), sijui tom&hicks wakafanyeje dili ikagoma akaenda city!
ndipo tukaishia kwa Aquilan (ambae hakua mpango wa rafa)
sema rafa amefundisha liver kipindi kigumu sana, ila alitengeneza timu nzuri sana!
eti akina Spearing dah tulikuwa na wachezaji mizigo wa kutoshaeHuu usajili wa Aquilani ni utapeli wa Karne...
Dogo Kule Italy alikua wodini muda wote aafu unamleta kwa bwebwe eti next Alonso yaaani hakika tumepita wakati ngumu sana
YNWA
mzee wa kuwakimbiza mabeki🔥🔥View attachment 3352484
Boy never got tired 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🏾💪🏾💪🏾
Loading Assistant to Slot after Heitinga left for Ajax..
Bring him to conquer together he has Liverpool DNA.
YNWA
Tuna uhitaji wa DM kwanza chiefView attachment 3352486
Kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba huyu FMG anacheza RB na RW hivyo ni kama Slot anaanza kujipanga Salah akisepa AFCON dogo atasimama upande ule ina maana upo uwezekano Slot akiwatumia kwa pamoja na dogo Bradley 🔥🔥🔥🔥tunahutaji CS wa nguvu sana.
YNWA
Dirk KuytView attachment 3352484
Boy never got tired 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🏾💪🏾💪🏾
Loading Assistant to Slot after Heitinga left for Ajax..
Bring him to conquer together he has Liverpool DNA.
YNWA
Alikuwa ana mwendo kama wa Duma😂😂Dirk Kuyt
Alikuwa anajituma sana, bahati mbaya tu Liverpool ilikuwa bado kwenye transitionAlikuwa ana mwendo kama wa Duma😂😂
Jitihada alikuwa nazo kubwa sana, basi tu tulikuwa tunapitia kipindi kigumuAlikuwa anajituma sana, bahati mbaya tu Liverpool ilikuwa bado kwenye transition
umemsahau caraggerWafia timu wa Liverpool wa hivi karibuni ni Gerrard, Agger, VVD hao ni Liverpool tu hakuna kingine....
Japo kwa Agger alitia huruma sana maana Manchester City walileta ofa ya $40m dogo akasema bado ana mission Liverpool akagoma kuodoka aafu mkataba wake ulikua unaelekea ukingoni basi bhana muda wa kuongeza ulivyofika FSG wakala Kona hivi hivi yaaani ikabidi Agger arejee maskani kwake kukipiga...
Msione Salah anakua na vijembe ikifika muda wa kuongeza mkataba ni kwamba anacheki na historia ya waajili wake kashawasoma.
YNWA
Kuna Ederson wa Atalanta dogo ni DM mwamba haswa ni sidhani bei yake itakua kubwa sana....Tuna uhitaji wa DM kwanza chief