choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,289
- 4,087
Suarez aliwahi kuomba kwenda ArsenalView attachment 3351737
There is only one Daniel Agger.... To him Liverpool is everything....
Proud![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
YNWA
Suarez aliwahi kuomba kwenda ArsenalView attachment 3351737
There is only one Daniel Agger.... To him Liverpool is everything....
Proud![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
YNWA
Wafia timu wa Liverpool wa hivi karibuni ni Gerrard, Agger, VVD hao ni Liverpool tu hakuna kingine....Suarez aliwahi kuomba kwenda Arsenal
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimetulia tuli na popcorn hapa Wala Sina neno🤣🤣🤣Toka ujue kiswahili basi unaninyanyasa nacho😂
🤣🤣Mauzo yake ni sasa kabla hajachuja bei bhana....Kelleher wangu😭
Yaah alisema yeye tuu kuupata mkataba mpya ni bahati kulingana na sera ya klabuWafia timu wa Liverpool wa hivi karibuni ni Gerrard, Agger, VVD hao ni Liverpool tu hakuna kingine....
Japo kwa Agger alitia huruma sana maana Manchester City walileta ofa ya $40m dogo akasema bado ana mission Liverpool akagoma kuodoka aafu mkataba wake ulikua unaelekea ukingoni basi bhana muda wa kuongeza ulivyofika FSG wakala Kona hivi hivi yaaani ikabidi Agger arejee maskani kwake kukipiga...
Msione Salah anakua na vijembe ikifika muda wa kuongeza mkataba ni kwamba anacheki na historia ya waajili wake kashawasoma.
YNWA
Watu wa kubaki kubalance ilikuwa ni Trent ila hakajitambui🤣🤣Mauzo yake ni sasa kabla hajachuja bei bhana....
Mauzo msimu huu itakua balaa.
Tunauza👇🏾
Diaz
Nunez
Kelleher
Elliott
Quansah
Jota
Gomez
Tsimikas
Doak
Jones atabaki ku balance takwa la home grown.
YNWA
Kwani umehamia mtaa Gani Bobby🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimetulia tuli na popcorn hapa Wala Sina neno🤣🤣🤣
YNWA
Huyu dogo na Rahim Sterling wanatofauti Gani?View attachment 3351193
The Netherlands international put pen to paper on a long-term contract with the Reds at the AXA Training Centre on Friday after successfully passing a medical.
Speaking to Liverpoolfc.com for the first time, Frimpong said: “It went quite easy. Liverpool came and said they had interest, and obviously for me it was a no-brainer.
“For me, it was like, ‘Whatever you guys do, just get this done’, [speaking to] my agents: ‘Just get this done.’
“Liverpool fans, I’m going to give my all, my energy, my work-rate and hopefully we can win together, we celebrate together, get everything together.
“I’m just excited to be here. Thank you guys for accepting me and I won’t let you guys down and I’ll give you the energy that you guys want.”
Sasa kama Stevie G kipindi anacheza, yeye mwenyewe amedai alikuwa bado na makamasi 👃👃Hivi huyu Miss Liverpool ni genz kumbe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
YNWA
watulie huko, mwamba bado tunamuhitajiBest stopper one on one....je tuchukue ofa za waarabu asepe ama 🤣🤣
Wamiliki walimuangusha mzee Rafa, replacement ya Alonso eti akaletwa Aquillani😥😥Mkuu Msela Wa Kitaa kumbe ulikua upande wa Highbury 🤣🤣🤣🤣 aaaa interesting sanaa na big up kwa maamuzi sahihi.
Hio partnership ilikua next level 🔥🔥🔥..... Sijui Benitez alikua na makengeza kumwambia Alonso asake timu huku akiwa hajapata mbadala wake hakika pale ndio tulipoteana mazimaa na Benitez kazi kwake ikawa ngumu
YNWA
Kipindi tukikutana na United ndio utamjua Danni Agger ni nani😂😂View attachment 3351737
There is only one Daniel Agger.... To him Liverpool is everything....
Proud ♥️ ♥️ ♥️ ♥️ ♥️
YNWA
Nilikuwa Darasa la sita😄😄Ulikuwa mtoto wa miaka mingapi wakati huo?
😄😄😄😄😄😂😂😂😂Kelleher wangu😭
Arsenal wasingekuwa mabahili kipindi hicho, jamaa alikuwa anaenda😂😂Suarez aliwahi kuomba kwenda Arsenal
Tangu niishabikie hii timu, hii ni mara ya kwanza naona sokoni wamechangamkaWafia timu wa Liverpool wa hivi karibuni ni Gerrard, Agger, VVD hao ni Liverpool tu hakuna kingine....
Japo kwa Agger alitia huruma sana maana Manchester City walileta ofa ya $40m dogo akasema bado ana mission Liverpool akagoma kuodoka aafu mkataba wake ulikua unaelekea ukingoni basi bhana muda wa kuongeza ulivyofika FSG wakala Kona hivi hivi yaaani ikabidi Agger arejee maskani kwake kukipiga...
Msione Salah anakua na vijembe ikifika muda wa kuongeza mkataba ni kwamba anacheki na historia ya waajili wake kashawasoma.
YNWA
Doak atakuja kuwa bonge la mchezaji🤣🤣Mauzo yake ni sasa kabla hajachuja bei bhana....
Mauzo msimu huu itakua balaa.
Tunauza👇🏾
Diaz
Nunez
Kelleher
Elliott
Quansah
Jota
Gomez
Tsimikas
Doak
Jones atabaki ku balance takwa la home grown.
YNWA
mbadala alikua somebody barry wa aston villa (alikua swahiba wa SG), sijui tom&hicks wakafanyeje dili ikagoma akaenda city!Mkuu Msela Wa Kitaa kumbe ulikua upande wa Highburyaaaa interesting sanaa na big up kwa maamuzi sahihi.
Hio partnership ilikua next level..... Sijui Benitez alikua na makengeza kumwambia Alonso asake timu huku akiwa hajapata mbadala wake hakika pale ndio tulipoteana mazimaa na Benitez kazi kwake ikawa ngumu
YNWA
Huu usajili wa Aquilani ni utapeli wa Karne...mbadala alikua somebody barry wa aston villa (alikua swahiba wa SG), sijui tom&hicks wakafanyeje dili ikagoma akaenda city!
ndipo tukaishia kwa Aquilan (ambae hakua mpango wa rafa)
sema rafa amefundisha liver kipindi kigumu sana, ila alitengeneza timu nzuri sana!
KadogoNilikuwa Darasa la sita😄😄