Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wampe tu hiyo release wala sio ishu.Kumnyima release ili asishiriki sijui hiyo Club World Cup ni kuendelea kumpa umuhimu.
Hakuna kukapa
Na benchi tunakaweka
Na tunakaingiza dakika za nyongeza
Na mechi zikiisha vichambo vinaendelea kabla hakajatoka uwanjani.

Viva LFC 🔥🔥🔥
 
Ubaya ubwela
Kinachoongelewa ni ukweli
Kumbe mnaelewa kabisa kwamba city ikiwa kwenye form EPL mtaisikia kwenye bomba.

Kwahiyo mnapiga ramli iendelee kuwa mbovu ili mchukue tena kwa point gap 10+ 😂😂

Halafu mje mpige kelele mmechukua sababu ya ubora wa liverpool.
 
Kumbe mnaelewa kabisa kwamba city ikiwa kwenye form EPL mtaisikia kwenye bomba.

Kwahiyo mnapiga ramli iendelee kuwa mbovu ili mchukue tena kwa point gap 10+ 😂😂

Halafu mje mpige kelele mmechukua sababu ya ubora wa liverpool.
Form ipi timu ishajifia
Mara mia tumuhofie Aseno kuliko kitimu kidogo Mwasiti fc
 
Diaz na Jones waondoke?
😂
 
Timu inachukua ubingwa kwa mpishano zaidi ya points 10 mbele
Halafu unasema imechukua si kwamba ni Bora?

Mkuu,hata timu nyingine zilichukua ubingwa kwa kuyumba kwa timu zetu
Na ndio ubora wenyewe huo.
Bibie achana nao
anaye chukua ubingwa ndiyo BORA zaidi
Hata akichukua kwa points 50 huyo ndiyo bora
Dada Anne tukutane wapi kushangilia ushindi wetu?
 
Hawa Madrid wanataka nini tena kwa huyu Dean Huijsen? Yaani hawa Kenge mpaka huyu wanataka tusimpate.
 
Bibie achana nao
anaye chukua ubingwa ndiyo BORA zaidi
Hata akichukua kwa points 50 huyo ndiyo bora
Dada Anne tukutane wapi kushangilia ushindi wetu?
Nipo hapa Ushirika nakula Kababu na ndizi choma😂😂
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…