Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwani wapi nimesema liva kachukua sababu wengine wabovu?

Mimi nimekuja kukanusha mlipochomekea kuwa hata man city kachukua sababu wengine wabovu, wewe ndiye huelewi nilichoandika.

Nyie komaeni na ma HB sisi tunaleta vyuma vya kazi.
Nyuma kombe lipo wapi la maana?
MaHB na wameshatuletea kombe la maana

Wewe ndiye uliingiza man city sehemu ambayo si ya kuiingiza ili mradi uonekane tu umebishaa kwenye point ya Liverpool kuwa bora kwa sababu katangulia mbele kwa points nyingi sana mwaka huu.
Tofauti na Miaka ya nyuma ambapo mshindi wa kwanza na wa pili walipishana kwa points 2,1
All in all timu bora ni ile inayochukua ubingwa.
Hizo nyingine za ooh Mpira mzuri ni ni blah blah
 
Pamoja na Liverpool kuchukua ubingwa, kwangu timu bora ya msimu ni Man City kutokana na changamoto walizopitia na wameweza kubakia imara mwishoni mwa msimu.
chizi hili team bora ni ile iliyochukuwa ubingwa babuu. ukija na porojo kama hizo basi team bora ni Chelsea ambao wana new players kama wote na coach mpya nobody saw them wakiwa hata nafasi ya 8
 

Ukisema tumechukua ubingwa kwasababu Timu zengine zimeyumba utakuwa hupo sahihi.

Hata huyo Man City akibeba ubingwa kwasababu Timu zengine ziliyumba.
Hata Man United alipokuwa anabeba Ubingwa ni kwamba Timu nyengine ziliyumba.

Tukitumia kigezo cha kuyumba basi jakuna anayebeba ubingwa bila ya wenzake kuyumba ndiyomana hata Barcelona anabeba Ubingwa kwasababu Real Madrid ameyumba.
Hiyo ni hoja dhaifu Gerrard asingeyumba kwa kuteleza tungebebwa Ubingwa mwaka 2009.
Tusingeyumba 2014 tungebeba Ubingwa. N.k.


Hivyo tukubali tu tumebeba Ubingwa kwasababu tulikuwa bora
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wewe hapo nakushikilia Wala siachiiiii ng'oπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

YNWA
Wewe ni wa kuja na misemo ya ndanindani uswahilini kweli!? sasa hivi unaandika kiswahili full bila kuchanganya maneno πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nipo njiani namletea Mwalimu wako zawadi ya maparachichi toka Tukuyu maana Bobby umekuwa mswahili pure🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kaptein kama Kaptein shikilia usiachie kabisaaa, maana Trent kaachwa ujue 🀣🀣🀣
Ana mwalimu wake huyo , siyo Mimi πŸ€£πŸ˜‚
Mimi mwalimu wangu Mona, nimemshikilia anifundishe uchambuzi.. mambo ya pressing sijui double pivot mara sijui gengeni.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Babe wake mtu na wasi wasi nae anahamia Real aisee maana mpaka sasa hajaamini kama Trent anaodoka...

Ngoja tusubiri sajili mpya tumchangulie rebound babe mwingine aache kutesekaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

YNWA
Toka umejua kiswahili tunajuta sasa😹😹
 
Wale ndugu zetu man city tim pendwa ya dada yangu na mdogo wangu naona msimu ujao watakuwa na hali mbaya kama msimu huu
 
Naomba niwe mwalimu wako Unataka kufahamu kuhusu nini?

1. Pressing
2. Double pivot
3. High line pressing???
Mona kazi imekushinda, ona nishapata Mwalimu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mimi zaidi ya kelele na kushangilia, sijui chochote kuhusu mpira.
Yaani mifumo, Sheria.
Kama vile Mona anavyosemaga sijui tulianza 4,3 ngapi sijui
Tukaswitch kwenda sijui ngapi.
Mhona mm huwa sioniπŸ˜‚πŸ’”naona tu watu wanakimbia mpira unarudi unaenda muda mwingine unapotea, basi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…