Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Timu inachukua ubingwa kwa mpishano zaidi ya points 10 mbele
Halafu unasema imechukua si kwamba ni Bora?

Mkuu,hata timu nyingine zilichukua ubingwa kwa kuyumba kwa timu zetu
Na ndio ubora wenyewe huo.
Umenyambua sawia kabisa. Sisi ni TEAM BORA, na hata washabiki mambo yao yanaenda vizuri sana, Liverpool ikifanikiwa na mimi mambo yananyooka hahahah, naishi kwa spirit ya YOU WILL NEVER WALK ALONE. sisi Liverpool halisi ni BORA sana. Malafyale uje mkuu hahaha
 
We itakua umepagawa Sasa utakuaje bingwa wote mkiwa Bora yaani pointi magori Kila kitu mfanane utapataje bingwa lazima wengine wateleze Ili aweze kupatikana bingwa
 
Timu inachukua ubingwa kwa mpishano zaidi ya points 10 mbele
Halafu unasema imechukua si kwamba ni Bora?

Mkuu,hata timu nyingine zilichukua ubingwa kwa kuyumba kwa timu zetu
Na ndio ubora wenyewe huo.
Hata na mimi namuunga mkono jamaa tumechukua ubingwa lakini style ya uchezaji sijaielewa

Sijaridhika kiwango chetu na bado imani yangu kwa Slot ni ndogo bado sijamuelewa

Maoni yangu sio sheria
 
Kwenye offensive ni mzuri mnoooo

Kipengele kinakuja pale defensive ni Trent namba mbili, labda tuombe Konate aendelee kuwa na kiwango hiki hiki na tupate DM basi utakuwa bonge la usajili
 
Umeandika point ambazo nakubaliana na wewe, ila jifunze kuandika kiutu uzima unless uniambia wewe ni mtoto ili niwe napuuza comment zako

Haikuwa na maana ya kuandika hilo jina(tusi) badala ya jina halisi Liverpool
 
Jibu swali msimu huu vipi hamjaweka rekodi unanitajia klopp ambaye hayupo kwenye ligi husika hivi upo timamu kichwani au kama kawaida yenu wakimbizi fc kurukwa na akili
Kwani ilo swali umeniuliza wapi sheikh embu weka iyo post nione.
 
Kuandika Mama Cita sio utani ni matusi badilika my sister

Akanji face yake hujaiangalia vizuriπŸ˜„
 
Kwani ilo swali umeniuliza wapi sheikh embu weka iyo post nione.
Mimi nimeuliza msimu huu mmeweka rekodi Gani nyingine naona povu limekutoka mara klopp Sasa klopp yupo timu Gani msimu huu mzee🀣🀣🀣🀣🀣
 
Kwani wapi nimesema liva kachukua sababu wengine wabovu?

Mimi nimekuja kukanusha mlipochomekea kuwa hata man city kachukua sababu wengine wabovu, wewe ndiye huelewi nilichoandika.

Nyie komaeni na ma HB sisi tunaleta vyuma vya kazi.
 
Kwani wapi nimesema liva kachukua sababu wengine wabovu?

Mimi nimekuja kukanusha mlipochomekea kuwa hata man city kachukua sababu wengine wabovu, wewe ndiye huelewi nilichoandika.

Nyie komaeni na ma HB sisi tunaleta vyuma vya kazi.
Kweli vyuma vya kazi tumeviona mwaka huu vimechukua ubingwa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Mimi nimeuliza msimu huu mmeweka rekodi Gani nyingine naona povu limekutoka mara klopp Sasa klopp yupo timu Gani msimu huu mzee🀣🀣🀣🀣🀣
Weka hiyo post uliyoniuliza hilo swali nikakujibu klopp.

Umeona hata hiyo post niliyoku quote ulikua umeandika nini mpaka nikamuandika klopp?

Au umechanganya madesa.
 
Weka hiyo post uliyoniuliza hilo swali nikakujibu klopp.

Umeona hata hiyo post niliyoku quote ulikua umeandika nini mpaka nikamuandika klopp?

Au umechanganya madesa.
Msimu huu mmeweka rekodi Gani mbona unakimbia swali mzee mkimbizi fc🀣🀣🀣🀣🀣
 
Umeandika point ambazo nakubaliana na wewe, ila jifunze kuandika kiutu uzima unless uniambia wewe ni mtoto ili niwe napuuza comment zako

Haikuwa na maana ya kuandika hilo jina(tusi) badala ya jina halisi Liverpool
Mkuu, inaonekana unachukulia vitu serious sana kiasi kwamba haya majina ya utani unaona matusi.

In that case, unaweza kuni ignore tu kiroho safi kaka.
 
Hata ulichokiandika kumbe hukielewi kumbe naongea na kopo sikujibu tenaaa🀣🀣🀣🀣🀣
Wewe umechanganyikiwa, mimi nimekanusha habari za city kuchukua ubingwa huku timu nyingine zikiwa mbovu, wewe unakuja kuniuliza msimu huu tumeweka rekodi gani, halafu mimi ndio kopo πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Una hoja lakini uandishi wako ni wakitoto sana aisee
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†
Hebu tugawiane hizo hela wakuuu
 
Hata na mimi namuunga mkono jamaa tumechukua ubingwa lakini style ya uchezaji sijaielewa

Sijaridhika kiwango chetu na bado imani yangu kwa Slot ni ndogo bado sijamuelewa

Maoni yangu sio sheria
Timu imeshinda kwa points zaidi ya kumi mbele mnasema hamuelewi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mnataka nini ?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…