Champs guard of honors was given at ChelseaMnajua kujifariji sana au ukumbuki mechi ya Kwanza si mliomba game iishe na mlikuwa full mkoko na refa pia akawa mchezaji wenu wa 12 haya yote umesahau nyinyi ubavu wa kushinda ni mdogo hasa tukiwa na hawa watu uwanjani Lavia, Caicedo na Enzo Fernandez
How good is he?Baada ya kumkosa Zubimendi huenda Liverpool wakatua kwa Angelo Stiller
View attachment 3324132
Bado Mdogo sanaHuyu Quansah hastahili kucheza Liverpool!
🐔:Utulivu wake akiwa na mpira, uwezo wa kupiga pasi sahihi, na uwezo wa kusoma mchezo. Akiwa Stuttgart, amekuwa kiungo muhimu katika kujenga mashambulizi kutoka nyuma.How good is he?
Huyu mamushka wa city tulimkosaje🐔:Utulivu wake akiwa na mpira, uwezo wa kupiga pasi sahihi, na uwezo wa kusoma mchezo. Akiwa Stuttgart, amekuwa kiungo muhimu katika kujenga mashambulizi kutoka nyuma.
🐔: Katika msimu wa 2024/25, kiwango chake cha ukamilishaji wa pasi kimekuwa karibu na asilimia 90, akionyesha uwezo mkubwa wa kudhibiti mchezo na kuanzisha mashambulizi.
🐔:
Stiller ameonyesha uwezo wa kucheza nafasi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kucheza kama beki wa kati wakati wa majeruhi katika timu ya Stuttgart.
The reason isNi muhimu ma dogo wafuate ndoto zao zilipo aisee iwe ni mvuto wa Galatico au mkwaja mzito in wages au chochote kile ni wakati wao kwa umri walionao wamechagua vyema kama alivyosema Trent anafuata ndoto zake hukoooo Real Madrid
YNWA
I don’t think he will succeedThe reason is
“ To change environment, to challenge myself elsewhere. It’s not about wanting to find something better, it’s about me and my personal journey as a player and I think now is the right time for me to go and experience that. People won’t be happy with the decision but it's something that I feel like I need to do on my journey and my career. “
Anaenda kuua kipaji chake mazimaNi muhimu ma dogo wafuate ndoto zao zilipo aisee iwe ni mvuto wa Galatico au mkwaja mzito in wages au chochote kile ni wakati wao kwa umri walionao wamechagua vyema kama alivyosema Trent anafuata ndoto zake hukoooo Real Madrid
YNWA
Ameamua kuua kipaji chakeKatoto Saint Anne how are you??
Babe wako Trent amekuaga anatimkia kwa uwachukiao??
You were missed indeed, ila jiandae msimu ujao kuushikilia moyo kama summer kutajaa siasa badala ya uhalisia.
Ynwa
Anapewa pia signing bonus ya maana over $20m hivi...na mshahara wake utakua almost 13m kwa mwaka bila merchandise, loyalties etc...hivyo awe kweli pamoja na kuji challenge lakini money wise dogo anapata pazuri...The reason is
“ To change environment, to challenge myself elsewhere. It’s not about wanting to find something better, it’s about me and my personal journey as a player and I think now is the right time for me to go and experience that. People won’t be happy with the decision but it's something that I feel like I need to do on my journey and my career. “
Kigezo ni kwa kua kwako nime testi mitambo ama ni kipi.Msimu ujaoo hata top foo siwaoni
Emmanuel PetitI don’t think he will succeed
Atarudi na atakwenda a wee team in London
Usimuwazie negative hivyo, anaweza aka shine, na akitoboa tuyafurahie mafanikio yake hayo pia.Anaenda kuua kipaji chake mazima
comment yangu hii nyingine hujaiona?Usimuwazie negative hivyo, anaweza aka shine, na akitoboa tuyafurahie mafanikio yake hayo pia.
Ameamua kuua kipaji chake
Tunamtakia kila la heri.
Nimemsikiliza
Anaona kama Liverpool bado hajafikia ile level anayoitaka.
Ila huko anakowaza kufika tumtakie kila la Keri aweze kufika japo inawezekana asifike pia.
Mfumo wa timu ulikuwa unambeba pia.
Gerrard atabaki kuwa Legend wetu wa muda wote... Ndani yake ana damu ya Liverpool.
Anamuiga mwenzie Jude wakati hawachezi nafasi sawaEmmanuel Petit
Petit aliongea bila kumung'unya maneno kwamba Mashabiki wa Madrid hawavumilii makosa ya kiulinzi. Licha ya mafanikio akiwa Liverpool, mashabiki wa Madrid watamtaka aanze Upya kuthibitisha ubora wake. Endapo atakuwa anafanya makosa hawasita kumkosoa kwa hasira
Anaendelea kusisitiza nafasi yake uwanjani pale Madrid itakuwa ni ipi? Ingawa pale Liverpool ni beki wa kulia ingawa hana sifa kamili za mlinzi wa kulia japo ni mzuri katika kushambulia
Na hii inaweza kumletea changamoto pale Madrid maana mfumo wa Madrid nafasi na majukumu ni madhubuti tofauti na Liverpool
Nafasi yake uwanjani pale Madrid inaweza ikawa ni ngumu kutokana na mahitaji ya kiufundi na yeye anavyocheza akiwa Liverpool
Acha aendeAnamuiga mwenzie Jude wakati hawachezi nafasi sawa