Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kumbe huyu Trent anakitambi😁😁😁

Toto dogo kitambi bila shaka naye anakula mapupu na energy km watu wa mbagala 😁
 
Yah hao ndio walikuwa wanatupa headache kwa sasa
Wamebaki, tuna amani sana.

Trent aende tu.
 
Yah hao ndio walikuwa wanatupa headache kwa sasa
Wamebaki, tuna amani sana.

Trent aende tu.
Well said Miss Liverpool......
Trent is disposable any day of the week minus his right foot crosses that we will miss dearly...his numbers are crazy...
Now Bradley has chance japo ni serial absentee due to injuries.

YNWA
 
Well said Miss Liverpool......
Trent is disposable any day of the week minus his right foot crosses that we will miss dearly...his numbers are crazy...
Now Bradley has chance japo ni serial absentee due to injuries.

YNWA
Tunamshukuru kwa mchango wake ila mfumo wa timu pia ulikuwa unambeba na kumfanya ashine.
 
Hujambo mdogo wangu?
 
Allah yupo upande wetu kila waombapo dua zao mbaya huwarudia..tumebakisha point moja ikizidi ni mbili tutangazwe machampion wapya mara mbili ndani ya misimu mitano...inshaAllah panapo majaliwa jumapili tarehe 27 nakwenda kushuhudia tukiwa mabingwa tena...
................YWNA............
 
Nikiwa Tz hapa usingizi umekata usiku huu wa manane, nasubiri masaa tu nishuhudie ubingwa wa pili tangu nilivyoanza kushabikia hii team more than 20 years ago.

Leo tarehe 27, tupate point 1 tu iwe siku ya kihistoria, hahahhahaa.
Na pia tokea mwaka 1962 , Liverpool hajawahi maliza ligi nje ya top 8😎😎
 
Nikiwa Tz hapa usingizi umekata usiku huu wa manane, nasubiri masaa tu nishuhudie ubingwa wa pili tangu nilivyoanza kushabikia hii team more than 20 years ago.

Leo tarehe 27, tupate point 1 tu iwe siku ya kihistoria, hahahhahaa.
Siku ya kihistoria?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Au sababu tumechukua makombe 4 mfululizo ndio maana naona ni kitu cha kawaida.
 
Siku ya kihistoria?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Au sababu tumechukua makombe 4 mfululizo ndio maana naona ni kitu cha kawaida.
Mlisema na msimu huu bila Klopp mnaupiga mwingi na kuchukua tena...
Tulieni tulii ni wakati wetuuu Majogoo.
Ni kihistoria tuna levo makombe 20 sawa na majirani zako.
Tazama hata hio UCL unaisaka na tochi msimu ujao.

YNWA
 
Daah. Nyie wachovu mnabeba kombe aisee.
Bill Shankly alikua na msemo wake mmoja ambao ni ...1st is 1st second is nothing πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯.......
Pambana uchukue UCL mkuu huku EPL Uwezo wako ni hapo ulipo mjipange kwa msimu ujao tena...

Ubingwa ni mtamu sanaaa ujueπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…