The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
Did you see those outer passes??
Diaz to Szobo slightly outer pass
Salah to Macca pass slightly outer pass,
Salah to Diaz and Trent clean outer passes but couldn't manage to be scored.
Hehehe Even Alison Becker jana alikuwa na quality, and accurate long passes.
If you has MF's who are scoring you will have a good balance.
Magpies wanajulikana ni jamaa wa aggressiveness physicality game, lakini kwa jana wakakutana eneo hilo tupo vizuri pia. Gravern, Macca, Szobo wanaweza hiyo kazi, Konate, Vvd, Tsimibthey are good, Salah, Diaz mpira wa vurugu wameukulia they know it.
Kwenye 4-4-2 yao defending plus 4-3-3, mpaka 5-3-2 ilikuwa ngumu kiasi kukabiliana na LFC yenye muundo wa 3-2-5 offensively kwenye half ya Magpies. Keep forcing them to play mostly on their own half space, thats why goli likapatikana mapema tu within 11' mins.
Jana Eddie Howe aliteseka, akinyumbulika hivi, Heitinga (kwa kivuli cha Slot) akanyumbulika nae, how?
Kwenye 4-3-3, walishindwa kuhimili pressing ya LFC iliyojaza watu wengi kwenye lines zao za viungo na mabeki, Salah and Diaz wide, Jota, Szobo and Macca wanakamilisha line ya watu wa tano, Gravern and Trent/Tsimi wanadumisha line ya watu wawili kati Vvd Konate and Tsimi/Trent wanadumisha line ya watatu nyuma, hapa inategemea na upande upi unatumika kwa wakati husika. Most RHS ulitumika mno upande wa Salah, Trent kuna quality na inaleta madhara makubwa sana.
Howe akageuka na kutumia 4-4-2 ili kuzuia lfc wasipite katikati zaidi, watumie pembeni zaidi na kuzuia mpaka na 5-3-2 akiwa kwenye his own half.
Last two games Salah amekus ana drop wide deep kusaidia defensively duties na ndipo anakuwa na hatari akipata mpira joy to watch akipokea mpira deep.
Played with less pressure, full of confidence, desire to win the game, less intensity with accurate use of chances.
-Jota looks under confidence
-Nunez as usual pressure is high to him, but i like how Kops still they are behind him.
We are on a "bonus mode" but Arsenal wish you all the best toward this marathon, it's not over untill it is mathematically secured.
Did you notice baada ya Endo, Gakpo, Quansah kuingia tulikuwa na good flow of football?? Was delightful to watch. Ukiwa na natural DM that's how it goes. Game vs Everton ilipaswa kuingia tu Endo na akabiliane na Beto that's all na hapakua na sabbu ya kucheza na two ST ambao hawana mental resilience at a time.
That's how you should learn from your mistakes. Slot alijifunza hilo baada ya game vs Everton the rest hajarudia na imemlipa sasa yupo 13 points clear on top.
"Welcome to Arne Slot Penitentiary"
Know You Can
YNWA
Diaz to Szobo slightly outer pass
Salah to Macca pass slightly outer pass,
Salah to Diaz and Trent clean outer passes but couldn't manage to be scored.
Hehehe Even Alison Becker jana alikuwa na quality, and accurate long passes.
If you has MF's who are scoring you will have a good balance.
Magpies wanajulikana ni jamaa wa aggressiveness physicality game, lakini kwa jana wakakutana eneo hilo tupo vizuri pia. Gravern, Macca, Szobo wanaweza hiyo kazi, Konate, Vvd, Tsimibthey are good, Salah, Diaz mpira wa vurugu wameukulia they know it.
Kwenye 4-4-2 yao defending plus 4-3-3, mpaka 5-3-2 ilikuwa ngumu kiasi kukabiliana na LFC yenye muundo wa 3-2-5 offensively kwenye half ya Magpies. Keep forcing them to play mostly on their own half space, thats why goli likapatikana mapema tu within 11' mins.
Jana Eddie Howe aliteseka, akinyumbulika hivi, Heitinga (kwa kivuli cha Slot) akanyumbulika nae, how?
Kwenye 4-3-3, walishindwa kuhimili pressing ya LFC iliyojaza watu wengi kwenye lines zao za viungo na mabeki, Salah and Diaz wide, Jota, Szobo and Macca wanakamilisha line ya watu wa tano, Gravern and Trent/Tsimi wanadumisha line ya watu wawili kati Vvd Konate and Tsimi/Trent wanadumisha line ya watatu nyuma, hapa inategemea na upande upi unatumika kwa wakati husika. Most RHS ulitumika mno upande wa Salah, Trent kuna quality na inaleta madhara makubwa sana.
Howe akageuka na kutumia 4-4-2 ili kuzuia lfc wasipite katikati zaidi, watumie pembeni zaidi na kuzuia mpaka na 5-3-2 akiwa kwenye his own half.
Last two games Salah amekus ana drop wide deep kusaidia defensively duties na ndipo anakuwa na hatari akipata mpira joy to watch akipokea mpira deep.
Played with less pressure, full of confidence, desire to win the game, less intensity with accurate use of chances.
-Jota looks under confidence
-Nunez as usual pressure is high to him, but i like how Kops still they are behind him.
We are on a "bonus mode" but Arsenal wish you all the best toward this marathon, it's not over untill it is mathematically secured.
Did you notice baada ya Endo, Gakpo, Quansah kuingia tulikuwa na good flow of football?? Was delightful to watch. Ukiwa na natural DM that's how it goes. Game vs Everton ilipaswa kuingia tu Endo na akabiliane na Beto that's all na hapakua na sabbu ya kucheza na two ST ambao hawana mental resilience at a time.
That's how you should learn from your mistakes. Slot alijifunza hilo baada ya game vs Everton the rest hajarudia na imemlipa sasa yupo 13 points clear on top.
"Welcome to Arne Slot Penitentiary"
Know You Can
YNWA