King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,367
🤣 🤣 🤣 FSG hawana hata huo mpango ndugu judging by past experience baada ya kushinda mataji unategemea kikosi kipewe proper back up kua contend hawato ers again lakin kwa FSG hua ni the other way....
Its well documented tulikua na proper DM Fabihno then akaja squad player Endo hatukusajili like for like replacement ya Fabihno lakin mpaka leo hii tunakweda na mark shift players kwenye eneo muhimu na wachezaji wapo lakin FSG wanaangalia aa yupo Grav au Macca...
Kwa kweli let's enjoy as much maana kama hatunao Salah, VVD, Konate n Trent next season basi tujiadae mateso
YNWA
Baada ya kuondoka proper DM Mascherano ilituchukua takriban Misimu 7 ndiyo ananunuliwa Fabinho.
Hivyo baada ya kuondoka Fabinho tegemea misimu mengine 7 ndiyo atanunuliwa another proper DM