Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Wahuni sio watu wazuri ujue..
Wakati mwingine Klopp hua namwelewa kwamba hio luxury ya kua na RB wawili 1st starters huku pengine akiwa hajawa convinced na output ya dogo RB anachokitaka Klopp...
Shinda tuna wamiliki wanaongalia kipato cha klabu kibiashara kuliko mafanikio uwanjani hawana kiu kabisa cha mataji kwa sababu tazama baada ya Klopp kuchukua Uefa na EPL ilitakiwa pale pale apewe mpunga azame sokoni kuimarisha kikosi lakini wenyewe ndio kwanza wakawa wanategemea miujiza ya Klopp....

YNWA
 
Acha ujinga team ikizingua lazima mashabiki waongee yaani wanaongea mashabiki waliopo Jiji la Liverpool sembuse wewe mshamba mmoja wa Tanzania ndio ukataze watu kuongea timu ikifanya vibaya

Kuongea ni sawa na kutukana?
Kuongea yyt anaongea,kutukana ni nyie Liverpool feki
 
Usitupangie
Team siyo yako pekeyako.

Tutaisema tu kwa kadiri tunavyoweza,

Wanaoimiliki timu wapo zao huko duniani,
Mimi na wewe ni mashabiki tu kutoka
Mabondekuinama.

Feki utakuwa wewe kutoka Tukuyu.

Dah
Mwee!
Ilikua kuna ulazima gani wa kutaja sehemu ninayo toka?
Umenikwaza sana!
Lkn za siku nyingi mrembo?Happy New Year?
 
Usitupangie
Team siyo yako pekeyako.

Tutaisema tu kwa kadiri tunavyoweza,

Wanaoimiliki timu wapo zao huko duniani,
Mimi na wewe ni mashabiki tu kutoka
Mabondekuinama.

Feki utakuwa wewe kutoka Tukuyu.

Dah
Mwee!
Ilikua kuna ulazima gani wa kutaja sehemu ninayo toka?
Umenikwaza sana!
Lkn za siku nyingi mrembo?Happy new year
 
Kuongea ni sawa na kutukana?
Kuongea yyt anaongea,kutukana ni nyie Liverpool feki
Yaani wewe nyani wa tukuyu ndio uwe Liverpool halisi hii kakli aisee na wazungu waliopo Jiji la Liverpool ambayo ndio timu yao wasemaje🀣🀣🀣
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…