Kamanda, matamanio yako ya kumaliza nje ya top 4 ndo reality iliyopo mbele yetu, realistically tunagombea nafasi ya kucheza Europa next season (tunaweza pia kuikosa).tokea dec mwaka jana tulijua mido inahitaji overhaul, alafu saizi ndio wanajifanya wapo busy kubid 100, hii timu ina mashabiki na wamiliki wapumbavu sana,
saizi watajitetea tulibid 110 zikakataliwa, hatuna option nyingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], natamani tumalize nafasi nje ya top 4 tena msimu huu, na kule europa tutolewe sf
Issue wala sio mishahara ni choice ya mchezaji husika, kama huyo mchezaji hata kuwa anagombewa na team nyingine kubwa ni uhakika kumpataSasa tumeamia Kwa Matheus Nunez ila Kwa mishahara yetu nae atatukataa
afu anachezeshwa DM pale watakoma watu..Tusajili hata huyuView attachment 2718082
Kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapiti mtuafu anachezeshwa DM pale watakoma watu..
hii timu tusingefika hapa kwa ujinga wa klop,......Kamanda, matamanio yako ya kumaliza nje ya top 4 ndo reality iliyopo mbele yetu, realistically tunagombea nafasi ya kucheza Europa next season (tunaweza pia kuikosa).
Kwa usajili waliofanya Chelsea watakuwa ndani ya top three with Man City, Arsenal na wao Chelsea. Fourth place ni either Man Utd au Newcastle (they are both better than us currently). Sisi tunapambana na Tottenham, Brighton, Villa na West Ham. Tukifanikiwa kusajili top CDM na CB labda tunaweza kupata nafasi ya nne na hapo ni kama tutasajili instant hit na sio potential players, zaidi ya hapo ni miujiza tu ndo tunangojea.
Ukiangalia vizuri hapo utagundua kuna timu 5 ambazo ni bora zaidi yetu, then kuna timu nne ambazo ndo saizi yetu. If we collapse and players lose motivation tunaweza kujikuta tupo number 8 mpaka 10. Kama wachezaji tulionao wakipush to their limit labda tutakuwa between 5 mpaka 7.
Zaidi ya hapo ni over achievement (top four)
Wamekuacha Apeche alolo 😂😂😂😂hawa watoto wa klop wameniulia keka langu la week 2 nlipewa turbo nikaacha nliwapa gg&3+ nikajua wanatoa ila daah poor team yangu hujawahi nibariki hela kwa kweli.
hii timu tusingefika hapa kwa ujinga wa klop,......
Bilashaka Hata Buvak alimkimbia kwa haya haya ya kujifanya kujua sanaMkuu upo sahihi kwa 99.9%. Embu ona hii.
Edward alimwambia Klopp replacement ya Hendo na Milner ni Enzo Fernandez na Bruno Guimaraes haina haja ya kuwaongezea mikataba mirefu, Klopp akakataa. Klopp akawakingia kifua waongezewe mikataba tena mirefu.
Hapa ni Kabla ya Enzo na Guimaraes hawajulikani, Klopp akakaza. Ndio maana mwamba akaamua kujiondoa.
Ukweli ni kwamba Edward aliiweza sana policy ya sell to buy, tena sana tu. Ujuaji wa Klopp umetufikisha hapa kwa mazuri na mabaya pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah! Kazi tunayo aiseeSalah na Alison wanaenda Saudia Arabia now...
We are doomed
YesSalah na Alison wanaenda Saudia Arabia now...
We are doomed
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wachezaji wanaogopa kugombania number na hawa wataalamu
VVD
Gomez
Matip
Jotaaa
Tobaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Salah na Alison wanaenda Saudia Arabia now...
We are doomed