Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii habari ya Henderson kumfuata Gerrard, imenifurahisha sana...hata kuzidi ile ya mzee Milner kuondoka
 
Shida huko arabuni Kuna hela jamani. Kama hendo tu atakula $700k. Kwa wiki unadhani fabinho angeacha kwenda. Tena ndugu yake firminho atakuwa kamshtua mwanangu njoo ubebe pension. Ushanyanyua kwapa now ni muda WA maokoto. Hata ningekuwa mimi Nina miaka 25 ningeenda kula mpunga huko saudi
 
Ila Fabinho angeachwa abaki
Bado tunamuhitaji,,anahitaji tu kuongezewa nguvu.


Hendo aende tu kwa kweli..ataenda tu kama mwenzie Milner..
Klopp kama anampenda sana amfate tu hukohuko,sisi hatumtaki.
Shida ni hela pia...
Tuna mchezaji gani mwingine tunaweza muuza Kwa milioni 40?

Tukimuuza fabinho Kwa 40..
Inakuwa tumetumia 50 Tu Kwa usajili Hadi sasa....kellher akileta 20...inakuwa tumetumia 30 kwenye usajili...
Hiyo sifa ya ubahili na kutumia hela kidogo ndo "ubingwa wetu kila mwaka"
 
Shida ni hela pia...
Tuna mchezaji gani mwingine tunaweza muuza Kwa milioni 40?

Tukimuuza fabinho Kwa 40..
Inakuwa tumetumia 50 Tu Kwa usajili Hadi sasa....kellher akileta 20...inakuwa tumetumia 30 kwenye usajili...
Hiyo sifa ya ubahili na kutumia hela kidogo ndo "ubingwa wetu kila mwaka"
Kwani haiwezekani hao matajiri kutoa hela bila kuuza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom