Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

BelyGam wa kazi gani sasa Milner na Henderson wapo wanatosha pia kuna thiago
 
Safi saana VVD kisiki ukuta wa Berlin tuna imani na wewe baba tegemeo letu
 
Na tunawalaumu bure
Kiukweli wamechoka sana,na hii yote ni kwa sababu hawapumzishwi watoto wa watu .
Sijawahi ona VVD na Fabinho wakupumzika,labda wawe majeruhi.

Fact.
Poor squad management toka kwa Klopp. Klopp aliwahi kukaririwa ana enjoy kuwa na small squad. Na hii ndio imemnyima zaidi ya mataji 3 ya EPL & mawili ya CL. Hapo weka Carabao na FA.

YNWA Miss L.F.C
 
James Milner, out of contract in June. Jurgen Klopp on his future: "There's no update on Milner contract as of now". [emoji837] #LFC

"Until we have something to say about it, I would have thought. Whenever that will be".



Kimenuka huko

Mkuu.

Klopp amekubali yaishe ni vile hatojitokeza adharani na aseme. Anachotaka ni wachezaji wapiganie possible 21 points zilizopo kwa sasa, ili aangalie atapata nini mwisho wa msimu.

90%
Ox
Milner
Keita
Melo
Wataondoka.

Kelele zilizopigwa kwa TAA acheze as MF ndio anazifanyia kazi mechi ya tatu na matunda ni chanya sana.

YNWA
 

Squad players ndiyo buck-up wenyewe sasa.

Tunataka starters na sio squad players
 
Fact.
Poor squad management toka kwa Klopp. Klopp aliwahi kukaririwa ana enjoy kuwa na small squad. Na hii ndio imemnyima zaidi ya mataji 3 ya EPL & mawili ya CL. Hapo weka Carabao na FA.

YNWA Miss L.F.C
Jamaa anaona uchache ni sifa
Anakera🥺
 
Mwamba karudi.

Namkubali sana mambo kadhaa
1. His turnings (goli la pili,)
2. Timing. Jota ni mfupi ila timing zake kuruka mipira ya vichwa ni kubwa sana.

We are going to finish league in style.

YNWA
Am still in awe how Jota height always get him scoring those headed goals...

Class is permanent, form is temporary, he is back with a mission.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…