Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Firmino yeye kakwambia Klopp kwamba anahitaji kusaka new challenge kwingine na hana mpango wa kubakia Anfield...

Kieta hata leo asepe tu.

Milner hata sasa hivi asepe.

Ox duh after injury ya Roma vs Liverpool na ambayo ni injury ya kizembe kwa sababu hapakua na hatare na haikua na umuhimu sana ile tackling ambayo aliumia yeye.

YNWA
Kweli umemchoka kipenzi Cha Bachelor ll 🤣🤣🤣🤣🤣
Aondoke sasahivi?
 
Utulie hivyo 😂😂😂ulisema Klopp out Hahaha wala...

Klopp ana mapungufu yake lakini he is the best pound for pound gaffer out there... Winning every available trophy at club level kwa bajeti ya FSG ni pumping above his height... He is just tooo loyal kwa hawa wachezaji wake wakongwe jambo ambalo linatuumiza kiasi mpaka sasa ana EPL moko tu.

YNWA
Roho nzuri haijengi.
Analeta roho nzuri wakati tunadondoka shimoni
 
Keep his name in ua daily haha huyu utamuona tena performing wonders trust me he ain't that bad ni just he was in the right job in the wrong time.

YNWA
Huyuhuyu Potter au mwingine?
Timu imejaa wachezaji wa Kila aina ,Hadi hawatoshi kambini,,ameshindwa kudeliver alichonacho..
Halafu unasemaje?🤣
Kule Chelsii wanamwita Potato😂🤣yale matakataka mbinguni watapasikia
 
,
20220315_121556.jpg
 
Klopp leo kafanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi kitakachoanza dhidi ya Chelsea. Salah kaanzia bench. Robbi na TAA wote bench. VvD naye bench nadhani atakuwa na injury. Jones na Leo kapewa shavu kuanza. Simikas na Gomez watakuwa ndio mabeki wetu wa paembeni. Jota bobby ña Nunez ndio strikes leo. Tusubiri tuone.
Screenshot_20230404-210313_GOAL.jpg
 
Huu Msimu kwetu umeshaisha. Msimu ujao hata europa sijui kama tutafanikiwa kucheza. Labda tutaenca comference. Sababu hatuwezi kumaliza juu United, Spurs na brighton. Brighto hatuwezi kwasababu wana timu nzuri kuliko sisi. United na spurs hatuwezi kumaliza juu yao kwa sababu tayari wametutangulia kama point 8. Na ni ngumu sana kwa sasa kwa timu yenye viwango vya liverpool.
Screenshot_20230404-212651_GOAL.jpg
 
Klopp leo kafanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi kitakachoanza dhidi ya Chelsea. Salah kaanzia bench. Robbi na TAA wote bench. VvD naye bench nadhani atakuwa na injury. Jones na Leo kapewa shavu kuanza. Simikas na Gomez watakuwa ndio mabeki wetu wa paembeni. Jota bobby ña Nunez ndio strikes leo. Tusubiri tuone.View attachment 2576611
ikitokea tukadroo au kushinda utakuta anasifiwa hendo, tukifungwa atatukanwa nunez.....

waingereza wajinga sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom