Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,567
- 235,405
Kweli umemchoka kipenzi Cha Bachelor ll 🤣🤣🤣🤣🤣Firmino yeye kakwambia Klopp kwamba anahitaji kusaka new challenge kwingine na hana mpango wa kubakia Anfield...
Kieta hata leo asepe tu.
Milner hata sasa hivi asepe.
Ox duh after injury ya Roma vs Liverpool na ambayo ni injury ya kizembe kwa sababu hapakua na hatare na haikua na umuhimu sana ile tackling ambayo aliumia yeye.
YNWA
Aondoke sasahivi?