Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,307
- 40,108
Labda tuone msimu ujao anaweza fanya maajabuklop ni muda sahihi wa kuondoka hata wakija wachezaji anaowahitaji yeye hii timu haiwezi kuperfom tena chini yake
timu inahitaji kocha mpya kuliko wachezaji wapya chini ya klop.
time is up for klop
Naona Wachezaji Hawataki KU Work Tena Under kloppWachezaji hawana kiu ya kushindania second balls yaani hii tatizo tangu October mpaka leo lipo pale pale...
Timu pinzani sasa wanatuchezea ule mpira wetu wa kuhakikisha we win the second ball, close the channels nk yale yote yaliyotufanya tuwe dominant miaka yote sasa tumeyaacha na kucheza wanavyojua wao.. Klopp nae hasaidii sana tunakua open vile na bado anategemea Trent na Robertson wapande juu kupeleka mashambulizi aafu hata kabla hayo mashambulizi hayajaanza tunakoponywa mpira mpaka hapo VVD na Konate wanakua exposed kwa kua Henderson na Fabinho hii combination imegoma kabisa kwa sasa..
Angalau uhakika wa hio Big 4 haupo na hii ni blessings in disguise kwa Klopp kwa kua FSG wataumia haswa kipesa na itawapa somo kwamba mpira ni uwekezaji edelevu sio one stop buy aafu wanasubiri maajabu ya Klopp..
Ingekua safi sana hata huko Europe League tusiwepo kuwatia adabu hawa ma Yankees.
YNWA
Kwa kikosi kipi aseno wacha wabebe bwanaWeek Ijayo Tutamfunga Arsenal Kweli
We lack intensity and solidarity[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ushanyayua mikono kumbe... Tazama highlight uone.
Allison ni pound for pound gk they come rarely na bila yeye kutuweka mchezoni msimu huu kuna uwezekano tungekua nafasi ya 15 huko...
Msimu huu kama Alison hatapata mchezaji bora wa msimu huu Liverpool basi kuna hujuma, dogo anajitahidi sana lakini wale wenye jukumu la kumpa ulinzi wamepoteana wamebaki kurushiana maneno kushoto kulia...
Sisemi kama Kelleher hawezi anayofanya Allison pengine anaweza kwa hata bora lakini hatuna muda wa trial n error pale golini wakati ndani defence pameoza.. binafsi naona big chance saver nitasimama na Allison any day of the week.
YNWA
Maajabu ya dunia eti nae Klopp analalamika haelewi nini kimetokea kwa sababu game plan imetupwa hukoo 🚮 na wachezaji wakaamua kucheza wanavyojua wao... Ikitokea wakati wowote ule timu kama Manchester City imetuzidi running, sprinting, second ball recovery, accuracy ya passing, sleeping on the job kama goli la Gudgon basi ujue ni collective responsibility sio kunyosheana vidole.. Nimeona akisema Gakpo, Fabinho, Henderson, Konate, Jota na VVD wamehitahidi sasa unajiuliza Klopp ameangilia mpira upi.Gundogan yuko free msimu huu
Ila kocha anawaamini kina milner na Ox.
Hii timu tuna safari ndefu.
Tulia naww upo na Unai Emery huko [emoji23][emoji23][emoji23]Hatimaye kubwa jinga la mwezi limepatikana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeuliza au umejisemea tu?
Klopp has been speaking haya mauzauza kwamba we will learn from this defeat we come back stronger next game sasa unajiuliza has Klopp lost the dressing room labda hawa wachezaji wamechoka kuwabeba akina Milner na Henderson 😂😂wameacha mambo yajiedee kama yalivyo kwa sasa maana Dokta hii mechi ya 9 EPL tunapoteza msimu huu na Klopp atasema we learn from this defeat and respond next game yaaani msimu mzima we are learning wakati pointi za Big 4 zinatupiga chenga lol... Klopp need his glasses back aone mambo clear n direct maana tumechoka timu haina passion, hakuna cohesion...We lack intensity and solidarity
Kwa mara ya kwanza Dokta nakumbaliana na hili yaaani there is no way wachezaji wanarudia makosa yale yale kila tukifungwo.. Its like they are programed to be pathetic loosers same result same script same mistakes same response same culprit game after game no new issue, Brighton, Brentford, Manchester City nk utaona hizo game the players went AWOL hivi hivi Klopp akaja ba na maneno mengi mengi lakini mpaka sasa ameishiwa kwa sababu hatupi jipya...Naona Wachezaji Hawataki KU Work Tena Under klopp
Hii ishu ni kama Ile ya kocha wa Leicester
Hawataki hawajitumi, wala hawakabi kabisa in short wachezaji wanataka klopp aondoke
Hawana Imani na klopp Tena maskini
I see naegelsman coming aisee trust me
Yaani niko pamoja naww, maana nakumbuka kipindi tunacheza na Man U ule mpira tulio cheza siuoni kabisa saivi. Na pale walionesha kabisa wanaweza ila saivi morale iko chini sijui kwann tu.Naona Wachezaji Hawataki KU Work Tena Under klopp
Hii ishu ni kama Ile ya kocha wa Leicester
Hawataki hawajitumi, wala hawakabi kabisa in short wachezaji wanataka klopp aondoke
Hawana Imani na klopp Tena maskini
I see naegelsman coming aisee trust me
Liverpool vs Chelsea Jumanne hii tarehe 4/4/23 itajulikana nani mwenye afadhaliSisi Liverpool wabovu
Lakini Chelsea wabovu zaidi
Naona Wachezaji Hawataki KU Work Tena Under klopp
Hii ishu ni kama Ile ya kocha wa Leicester
Hawataki hawajitumi, wala hawakabi kabisa in short wachezaji wanataka klopp aondoke
Hawana Imani na klopp Tena maskini
I see naegelsman coming aisee trust me
Natabiri sare nyengine hii.Liverpool vs Chelsea Jumanne hii tarehe 4/4/23 itajulikana nani mwenye afadhali
YNWA
Chelsea hawana finishing kabisa ,ila Liverpool mmezidi aisee yaan Midfielders zenu zikipitwa tu backline inakuwa matataniSisi Liverpool wabovu
Lakini Chelsea wabovu zaidi
Nitaangalia marudio kesho kwenye channel ya liver.😂 😂 😂 😂 Ushanyayua mikono kumbe... Tazama highlight uone.
Allison ni pound for pound gk they come rarely na bila yeye kutuweka mchezoni msimu huu kuna uwezekano tungekua nafasi ya 15 huko...
Msimu huu kama Alison hatapata mchezaji bora wa msimu huu Liverpool basi kuna hujuma, dogo anajitahidi sana lakini wale wenye jukumu la kumpa ulinzi wamepoteana wamebaki kurushiana maneno kushoto kulia...
Sisemi kama Kelleher hawezi anayofanya Allison pengine anaweza kwa hata bora lakini hatuna muda wa trial n error pale golini wakati ndani defence pameoza.. binafsi naona big chance saver nitasimama na Allison any day of the week.
YNWA