Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ngoja tuchukue kwanza UEFA maana huku kwenye manafasi hatuna cha kupoteza tena😀😀😀
😂😂😂😂Unajua ukichukua Uefa aafu Liverpool akamaliza nafasi ya nne basi natupwa hukooo Europa alipo allypipi duuh atanipa dodoo za huko maana tumeshashahua kabisa hio Ligi ya mchangani😂😂

YNWA
 
Hii timu Aina mvuto kabisa yani Man u tunagombaniwa sokoni yenyewe ipo tu.
Of course Manchester United pays premium wages with a super history hivyo wachezaji wengi kupatazama ni sawa kabisa na hizo tetesi za Mwarabu kuchukua timu na kuifanya debt free zinazidi kuvutia wengi na pia kwa mara ya kwanza mmepata kocha mwenye DNA ya Manchester United mpeni sapoti sokoni na muda ajenge kikosi cha ushindani na hatimae kuanza kuleta makombe kama enzi za Fergie...

Liverpool sana sana tunaringia Klopp factor tunavyoingia sokoni pamoja ni historia na uhakika wa kucheza UCL mara kwa mara. Upande wa wages Liverpool wanafanya payment zaidi kwenye bonus payment related kwenye performance, trophies nk...

YNWA
 
Klopp ana nuksi kila alieanza nae ametoka duki ajabu tena wale wenye vitengo muhimu..

Kwa kua mashabiki tunamwelewa vyema Klopp atasimama upya from the scratch na kutuletea tena good times kuanzia next season.

YNWA
Baba wa watu hadi anatia huruma
Ila mm ningekuwa coacher nadhani ningekuwa nazimia presha kila siku timu ikiingia uwanjani
 
Screenshot_2023-03-27-02-42-54-37_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Baba wa watu hadi anatia huruma
Ila mm ningekuwa coacher nadhani ningekuwa nazimia presha kila siku timu ikiingia uwanjani
Ishu zingine ni Klopp kujitakia mwenyewe aisee... Pale klabuni ana wachezaji kibao mizigo lakini yeye bado kakomaa nao mpaka sasa.

Kingine huu utaratibu wa kuacha wachezaji mikataba iishe waodoke bure sielewi nani alimshauri...

Wafuatao ni baadhi wameodoka/wataodoka bure baada ya mikataba yao kuisha.
Emre Can
Lallana
Origi the Legend
Gini Cool operator
Karius
Ox
Keita
Milner babu babuka.
Nk nk nk

Ina maana hapo klabu wamekaa wame relax kabisa na huu utaratibu wa hovyo kabisa.

YNWA
 
Mimi kama Liverpool HALISI nina imani na Milner aongezewe mkataba wa miaka mitano pamoja na Oxlade Chamberlain

Kutoka maktaba kuna ujumbe Kutoka kwa Mo Salah hapa
20230327_084948.jpg
 
Haaland anaweza fikisha 60.

Hiyo rekodi kuvunjwa itakuwa mtihani.

Naona Sarah limekosekana goli moja tuu, kuweka rekodi mpya.
Haaland ni balaa tupu ndio maana Manchester City wameona isiwe kesi wamempa ofa ya mkataba mpya kulipwa £500k kwa wiki upo mezani kwa dogo kazi kwake sasa akumbali ama msimu wa 2024 2025 uatue Real Madrid kama mkataba wake wa sasa unavyosema.

Salah kashafika mwisho hizo levo ni ngumu sana kufika tena.

YNWA
 
Ishu zingine ni Klopp kujitakia mwenyewe aisee... Pale klabuni ana wachezaji kibao mizigo lakini yeye bado kakomaa nao mpaka sasa.

Kingine huu utaratibu wa kuacha wachezaji mikataba iishe waodoke bure sielewi nani alimshauri...

Wafuatao ni baadhi wameodoka/wataodoka bure baada ya mikataba yao kuisha.
Emre Can
Lallana
Origi the Legend
Gini Cool operator
Karius
Ox
Keita
Milner babu babuka.
Nk nk nk

Ina maana hapo klabu wamekaa wame relax kabisa na huu utaratibu wa hovyo kabisa.

YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi Captain una ugomvi na mtaalam Milner?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom