Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
Ukute naye atakubali kubakiAungane na Matip wako wasepe zao.
YNWA
Hata aibu hana
Ukute naye atakubali kubakiAungane na Matip wako wasepe zao.
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Milner ni baba uwanjani
Milner ni kaka uwanjani
Milner ni kiongozi uwanjani
Tuna imani na Milner
Tunampenda Milner
Milner mitano tena ni kiongozi
😂 😂 😂 😂 Wasepe nafasi zao waje damu changa tumetoka kua na wingi wa kawaida badala ya kua na wingi wa ubora.Ukute naye atakubali kubaki
Hata aibu hana
Hivi tuna wachezaji wangapi jumla??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wasepe nafasi zao waje damu changa tumetoka kua na wingi wa kawaida badala ya kua na wingi wa ubora.
YNWA
HakunaHivi tuna wachezaji wangapi jumla??
Kweli katika waliopo wooote hamna anayeweza kubeba mikoba ya Milner ya uhamasishaji?
😂 😂 😂 😂 😂 Anahmamishisha nini kwa nafasi hii ya nje ya Big 4 ina maana nae mzigo tu hana jipya uhamashishangi wake umepitwa ja wakati kabisaaa.Hivi tuna wachezaji wangapi jumla??
Kweli katika waliopo wooote hamna anayeweza kubeba mikoba ya Milner ya uhamasishaji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Anahmamishisha nini kwa nafasi hii ya nje ya Big 4 ina maana nae mzigo tu hana jipya uhamashishangi wake umepitwa ja wakati kabisaaa.
YNWA
Chizi wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukongwe dawa
Milner mitano tena ni kiongozi
Asepe zake hatutaki uhamashishangi sisi tunataka mkata umeme pale kati kupoza mashambulizi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata tungekuwa nafasi za juu
Yaani yupo pekeyake anayejua kuhamasisha?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asepe zake hatutaki uhamashishangi sisi tunataka mkata umeme pale kati kupoza mashambulizi.
YNWA
uh will never walk without milner[emoji110] or uh will walk alone[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]Asepe zake hatutaki uhamashishangi sisi tunataka mkata umeme pale kati kupoza mashambulizi.
YNWA
😂 😂 😂 Milner ni mis use of resources kupewa mkataba mpya hanaga jipya.uh will never walk without milner[emoji110] or uh will walk alone[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]
Anamsaidia TAA ubavu wa kulia au siku dimba likihitaji mvurugaji bila kujali pasi itapelekwa wapi baada ya kupokonya mpira.😂 😂 😂 Milner ni mis use of resources kupewa mkataba mpya hanaga jipya.
YNWA
Huyo jamaa huwa ananichekesha kweli [emoji23][emoji23][emoji23]Chizi wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kua wazee mpirani ni over 30 years basi hao tunao wa kutosha kwa mfano yupo Captain mtarajiwa Allison, Fabinho soon, Robertson soon, VVD, Salah, Thiago hao wote ni ma over 30 ama wanaingia 30 hivyo kijiji kina wazee wa kutosha kabisa.Anamsaidia TAA ubavu wa kulia au siku dimba likihitaji mvurugaji bila kujali pasi itapelekwa wapi baada ya kupokonya mpira.
Kijiji hakikosi wazee.
We will never walk without Milner