Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
Sema pale mbele pamesheheni vipajiKwa kua yupo Nunez na Gakpo kwa sasa hio pesa ya kumnunua wawekeza kwingine aisee pale mbele inatosha wapo Salah, Jota, Nunez, Gakpo na Diaz...
YNWA
Kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raha jipe mwenyewe ukisubiri FSG na Klopp utachelewa sana aisee..
YNWA
Aisee watu mnakelaMilner mitano tena
Tuna imani na Milner
Tunampenda Milner
😂😂😂😂😂Milner aaaa wapi nikome. Huyo mcheki Klopp atakupa dodoo zote muhimu.Kabisa.
Wakati tunasubiri mechi Bobby endelea basi kunichambulia wachezaji jamani
Tuanze na hawa new comers,..Diaz,Nunez,Gakpo na wengine tuliowaacha wazee wale tukianzia na Babu yetu mpendwa JMilner.
Sema pale mbele pamesheheni vipaji
Diaz sijui anarudi lini,I'm missing him badly[emoji3064]
Afadhali arudi aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Milner aaaa wapi nikome. Huyo mcheki Klopp atakupa dodoo zote muhimu.
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji174]View attachment 2562012
Klopp jamani hiu dili kapigwa mapema hivi yaaani wenye mpunga na consistent mapema wananyakua mtu wao... Sie tuna ma babu pale kati Thiago babu, Milner babu, Henderson babu, Fabinho kachoka kama babu aafu utasikia Klopp eti ana kikosi kipana sana na hajaona wa kusajili, hii timu kuishabikia haitaki hasira.
YNWA
Ndio mimi huyo situmii kabisa data zangu kwa Milner labda kama ataachia ngazi June 2023 nitakujuza mawili matatu ya babu huyu kutoka Leeds lakini kama ataedelea kushikiria jezi ya Barela basi tena utulie hivyo hivyo 🤣🤣🤣.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hadi wewe jamani??
Wakati hua nashindwa swa kuelewa kabisa hiki kitengo cha usajili Liverpool kwa sababu baadhi hawa wachezaji trend zao za majeruhi zinajulikana hata kabla hawajaja Liverpool kwa mfano Konate, Thiago na huyu Arthur Melo...Arthur Melo will leave Liverpool at the end of the season, as expected — he’s returning to Juventus. Buy option clause won’t be triggered. [emoji837] #LFC
“He’s been unlucky with injuries, Arthur is now back but I think he will return to Juventus in July”, agent Pastorello told Tmw.
😂😂😂😂😂😂😂Ndio mimi huyo situmii kabisa data zangu kwa Milner labda kama ataachia ngazi June 2023 nitakujuza mawili matatu ya babu huyu kutoka Leeds lakini kama ataedelea kushikiria jezi ya Barela basi tena utulie hivyo hivyo 🤣🤣🤣.
YNWA
He is almost there... Meaning akirejea na Klopp aache uoga itakua itakua Diaz LW, Nunez CF, na Salah RW hapo itakua kazi kazi.Afadhali arudi aisee