Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

😜😜😜😜Hii soda hivi inakuaga na wanywaji kweli itakua imepata soko sana kipindi hiki cha kuwapiga mahasimu zile 7 juu...

Huu msimu tuuite Liverpool 7 Up season hakuna namna

YNWA
Haikuwa na wanywaji wengi
Sema toka tumeshinda zile saba, haikamatiki sokoni.

Leo tena makolo FC wanaongeza soko lake..
Kuna hatari ikaisha kabisa sokoni.
 
Wameiangusha timu yao ya taifa, benchi limejaa vipaji tupu ila wakaenda kufanya usanii uwanjani na kucheza Kwa show off.. Neymar anacheza utadhani hataki kuchafuka.
Wachezaji wa hivi mimi hapana Kwa kweli, hata kama ana kipaji kiasi gani.
 
Ivi nyie matakataka hamuyiogopi Chelsea?!
Hivi nyie livakuku muna mupango gani musimu huu?!
We takataka Jana mmefanya yule mbwa wenu amezimia
Hiyo timu ni Bure kabisa, timu linachapwa dakika za mwisho
 

Attachments

  • JamiiForums2002144580.jpeg
    24.1 KB · Views: 9
Umeona msg ya bro usiku?
Anasema Milner tayari ameandaliwa mkataba mpya😭
Kweli uchawi upoπŸ˜­πŸ™ŒπŸ’”
Hivi Klopp ni mwehu namna hii jamani chaaaaπŸ₯Ί
Klopp has already offered him a new contract, labda Milner mwenyewe akatae (Kama Firmino).

But, Contract offer ipo kwenye table tayari.
 
Kwa kweli tumeshindwa kabisa kiwafunga.
Kama vile Manchester united wasivyoweza kutufunga.

Mechi ijayo hivi huwa haiwezekani kukubali tu kwamba tumeshindwa hata kabla ya mechi?
 
Tulifungwa moja Kwa sababu Madrid walikuwa wanacheza kifather sana, Kwa kurelax,, pia bidii ya Allison kuzuia
Lakini si Kwa sababu ya kiungo hicho Cha Milner na Fabinho
Sijui ndio Kwa vile sijui mpira, ila binafsi Kwa kweli sikuona chochote alichofanya Milner.

Kumbe wengine huwa hawajasajiliwa kucheza Uefa,,
Hivi kwani brother, haiiuwezekana pale kuingiza tu yeyote aliyepo benchi kuliko kukomaa na Milner mwanzo mwisho?
Milner kweli kiungo halafu tunacheza na Madrid? 🀣
 
Yawezekana kijana ni mzuri lakini si Kwa kiwango Cha hiyo hela aisee
Hapana Kwa kweli.
 
He cant be a Captain.

Henderson akiondoka, give it to Alisson.

Virgil, is not a good captain pia.
Definitely Allison deserves th arm band but after hiki kizazi kikiodoka Liverpool hakuna mwingine anastahili zaidi ya dogo Trent amekua na msimu mbaya kama wengine but naamini mbele yake akisimama Jaoa Palhinha dogo atarudi kwenye ubora wake..

VVD is full of praise kwa sasa ana mtihani kwake arejeshe heshima.

YNWA
 

Trent cant be a captain, he's not a leader.

I dont like Henderson, but he's a definition of a good leader, same kwa Milner.

Trent, hana guts za ku-back at Thiago, Fabinho or VVD wakipoteza mipira, Trent hana uwezo wa ku-arrange meetings/crisis calls kwenye dressing room.

Katika youngster, tulionao LFC, ni Elliott tu anaweza kuwa leader, Trent is NOT a leader.


Alisson should be a captain kama Henderson akiondoka, na kama tukimsajili Jude, awe second captain, na kuja ku-take over baadae.


But, NOT Trent.
 
Klopp has already offered him a new contract, labda Milner mwenyewe akatae (Kama Firmino).

But, Contract offer ipo kwenye table tayari.
MosDef kindly enlighten me perhaps beside the scene what does Milner offer that we can't go forward without him maana this is crazy prime Milner was deemed surplus to requirement pale Ethad and yet kwetu tunaona kuliko huo mshahara waje damu changa wake tuwapa hawa madogo Kouadio Kone e au Ryan Gravenberch ambao kwa pamoja nina imani ofa ya Β£70m tunawapata mapema tu.

Kweli huyu Milner ana bahati duniani hakuna maana tazama Modric anavyosukuma ngozi pembeni yupo Camavinga na Kross sasa Milner pembeni yake yupo Henderson ambae ki uwezo wako sawa tu.. Kwa hali hio niseme hata msimu ujao tunsidikiza wengine kwenye mbio za ubingwa kwa kuwang'ang'ania wachezaji waliopita ubora wao miaka mingi na ni muda mrefu hawa jamaa wametembelea nyota ya Fabinho na kwa bahati mbaya baada ya dogo kutumika sana misimu ya nyuma ameanza kuchoka kwa sababu ni yeye tu mwenye kuelewa majukumu yake kulinda back four...

YNWA
 
Oooh unlucky Liverpool unakumbuka January 2021 i guess tukiwa kwenye super crisis baada ya kupata majeruhi back line FSG wakatuletea akina Kabak wakati Klopp alikua anaowahitaji ni akina Sven Botman, Duje Caleta-Car kweli maisha yanakwenda kasi sana maana huyo Botman kumtoa Newcastle watakomaa bei ya ajabu angalau huyu Duje just incase wakishuka daraja ama wakibakia waamue ku cash to invest naona ana adapt vyema EPL japo kwa pale I would prefer his partner Salisu na itakua a proper back line...

Nwa Gabriel since atue Arsenal alionyesha uwezo hata kipindi hawajawa compact but with the way Arsenal are playing with thier LB na RB when under attack they like become MFs to close th spaces and this makes its hard ku wa penetrate and this has worked wonders for Arteta so far.

Pep is full of sill ideas but cool nwa yaani anamtoa Cancelo akiwa ame clock lots of minutes kuliko mchezaji yotote pale Ethad na akasema nenda Bayern kwa kua anae Ake who has switched and delivering without issues.. Ake is a generation talent defence wise, its takes a lot to swith positions and perform better...

VVD is lost hua naona tukifungwo anachotafuta sana sana ni nani amnyooshe kidole duh so bad kama lile goli la Bournemouth the boy just got tired and he couldn't be there to present the cross...

YNWA
 

Thats my point, with Milner kwenye our MF, unge-expect Madrid kuwa na easy day, but we were just good kwenye defensive phases.

Madrid are not even that good this season, at Anfield tuli-collapse, kutokana na structure mbovu at the back, kutokuwepo kwa Konate kulifanya tuwe Vulnarable zaidi at the back.

At Santiago, Konate managed to kill/block direct runs karibia zote za Vinicius, na kama Konate angekuwepo at Anfield, Vinicius asingekuwa threat sana kama tulivyoona.

We lost that game at Santiago, baada ya zile subs za Klopp, our defensive structure ilivurugika baada ya zile subs.

Always nimekuwa soft spot kwa Milner, although naombea asi-renew au huwa napenda sana kama angekuwa ameondoka 2-3 years ago, but pamoja na yote hayo, huwa anajitoa anapohitajika, MFs wetu wanaolipwa millions na ambao ni. super talented kila siku wanakuwa out with injuries, Milner (kwa uwezo wake mdogo alionao) did a very good job at Santiago.

Arthur Melo, hakuwa registered kwenye team/squad ya CL.
 
I would rather play Jones or Elliott waoje presha playing at Bernabeu which is part of thier development kuliko kumchezesha Milner...

Duu Kieta again majeruhi hivi huyu dogo kweli ana miaka 27 ama alidanganya umri, i feel for him kwa huyu June 2023 ifike asahau hii chapter ya maisha yake maana he is toooo unlucky...

YNWA
 

Kuna post yangu hapo juu, nimesema kuwa huwa nakuwa na soft spot na Milner kwasababu ya "utayari" na "leadership skills" alizonazo.

Milner is a leader behind the scenes, ndiyo kiongozi wa wachezaji behind the scenes, he's a "popular" figure kwenye dressing room, Klopp anampenda kwasababu ni good motivational speaker and hard worker.

You know, Klopp huwa ana value zaidi Hard work na loyality kuliko kitu chochote kile, player's attitude ni kitu ambacho Klopp anakithamini zaidi, ndiyo maana ameumia sana kumpoteza Firmino.

But, personally, i think its time to let Milner go, (kama anataka kuendelea kucheza mpira), but kama anaamua. kuachana na mpira, just give him a role kwenye our technical staff.

As a footballer, i think muda wake at LFC umeisha, kama tutakuwa tunafikiria kuendelea kubaki na kina Milner, itakuwa ngumu sana ku-evolve as a team.

Guardiola got rid of his two leaders (Kompany, then Fernandinho), its true kwamba unaona kabisa tatizo la leadership kwenye baadhi ya games za Man City, but you have to take some risks kwaajili ya better future, you have to go extra miles kama unataka ku-evolve as a team.

We dont need Milner & we are well past the need of Henderson kwenye our team.

As long as Thiago & Alisson are in the team, hatuna tatizo kubwa sana la leaders, kuna vitu tuta-miss kwenye sense ya leadership kutoka kwa Hederson & Milner, but tunahitaji. ku-move on as a team.
 
Mkuu hilo la statement I stand with you but kama atakuja mchezaji mmoja tu Jude basi hio statement itakua useless na hilo ndio hofu yangu kwamba kama FSG hawajapata mteja kuuza share kadhaa by June upo uwezekano wakanunua mchezaji mmoja tu ana kusepa zao Boston wakisubiri maajabu mapya ya Klopp. Hofu yangu sio uwezo wa Jude mbali hio bei yake kutoa na kapu la ela liwe empty itakua disaster kwetu ndio maana Jude alone hatakua na uwezo wa kuamsha ile MF yetu ilivyo choka.. Kutokana na hio concern nikasema ni bora regardless ya kutoa statement tukomae kwa angalau wachezaj wawili aidha Caiceido na Nunes ama Kano na Nunes au Gravenberch na Nunes au Nunes na Palhinha ambao sasa MF yetu itakua Palhinha, Fabinho, Nunes wakiwa sapoti na Thiago, Elliott, Henderson...

Antony pale Manchester United was a statement signing believing they have got thier own Salah lakin unaona how the deal has proved costly..

Jude ni kweli ni after sought MF kwa sasa but i fear we don't that leisure to afford him at all cost kama hakuna wawekezaji wapya na pia ukumbuke sio tu MF inahitaji uwekezaji pia pale nyuma panahitaji mabeki wawili RB mmoja na CBR mmoja since Konate can't afford 15 games a season bila issue na Gomez, Matip have dropped scary levels we can't assume lini watakua bora rather then we strengthen..

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…