Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Betis ni timu ya kawaida ambayo Real Madrid ameshindwa kumfunga hata goli moja kwenye mechi yao ya mwisho La League sio?
 
Nishasema arsenal mngecheza na Nyie uo mpira wa ujanja ujanja hata msimu mmoja mngekuwa na UCL na ueropa hata moja.

Nyie mpira wenu mzuri umewapa nini miaka yote Iyo

No EPL Cup 18 years
No ueropa for life
No ucl for life

Uo mpira mzuri mnachezea nani hata uefa mna miaka mingapi mjaenda.
Ok tuseme tuachane na yote hayo Kwanini mjacheza uefa miaka yote hiyo.
 
Betis ni timu ya kawaida ambayo Real Madrid ameshindwa hata kumfunga goli moja kwenye La League sio?
Usichojua Madrid msimu huu yupo ovyo Sana ,na Madrid wanajipanga huenda Carlo akatimuliwa au kuondoka mwisho wa msimu

Madrid amekuwa ana struggle Sana msimu huu ,it seems laliga kashalikosa
 
[emoji1]
 
Sisi tumeanza kutengeneza timu miaka mitatu hii ,Arteta era

Emery alipoleta mpira Kama mnaocheza manjesta hakuchukua muda alitimuliwa
 
Ahahahaha[emoji16] bourmouse,,,, wazee zile gori saba ilikuaje kuaaje!!???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…